You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
61<br />
6- MARTIN JOHN MWAIPOPO ALIYEKUWA KASISI MKUU<br />
WA KILUTHERANI (TANZANIA).<br />
Ilikuwa ni Desemba 23, 1986, siku mbili kabla ya Krismasi, wakati Askofu<br />
mkuu Martin John Mwaipopo, alipotangaza kwa makutano yake kuwa<br />
anauacha Ukristo na kuingia <strong>Uislamu</strong>.<br />
Yale makutano yalipooza kwa mshtuko wa kusikia habari hiyo walishtushwa<br />
sana kabisa kiasi ambacho msimamizi wake alisimama kutoka kitini kwake,<br />
akafunga milango na madirisha na kutangaza kwa wanakanisa kuwa akili ya<br />
Askofu imeganda, yaani amechizika. Vipi ashindwe kufikiria na kusema<br />
hivyo, wakati katika kipindi cha dakika chache tu zilizopita, mtu huyo huyo<br />
alichukua kifaa chake cha muziki na kuimba kwa kucheza cheza sana na<br />
kuliimbia kanisa? Ni kidogo mno walichokijua cha ndani ya moyo wa Askofu<br />
kama kulikuwa na uamuzi ambao utawapasua akili zao, na burudani ile<br />
ilikuwa ni sherehe ya kuagana tu. Lakini hisia za makutano zilifadhaishwa<br />
sana, naam! Wakawaita polisi waje wamwondoshe mwendawazimu”<br />
Akawekwa kolokoloni hadi mida ya usiku wa saa sita ndipo Sheikh Ahmed<br />
Sheikh, mtu aliyemwingiza katika <strong>Uislamu</strong> alipoenda kumtoa. Tukio hilo<br />
lilikuwa ni mwanzo mdogo mdogo wa mshtuko uliojificha dhidi yake.<br />
Magazeti yote ya habari za Qalam, Simphiwe Sesanti, yalizungumzia juu ya<br />
mtu aliyezaliwa Tanzania na aliyekuwa Askofu mkuu wa Kilutherani Bwana<br />
Martin John Mwaipopo, aliyeingia <strong>Uislamu</strong> amekuja na kujulikana kuwa ni<br />
Al-Haji Abu Bakar Mwaipopo.)<br />
Sifa lazima ziende kwa ndugu wa Kizimbabwe, Sufiyan Sabelo, kwa<br />
kusababisha huu udadasi wa maandishi, baada ya kusikiliza maneno ya<br />
Mwaipopo katika kituo cha Kiislamu cha Wyebank mjini Durban. Sufyan si<br />
mpiga debe, lakini usiku huo lazima atakuwa amesikia kitu naye hakusimama<br />
kuongelea kuhusu mtu huyo! Ambaye hataathiriwa baada ya kusikia hayo<br />
naye ni Askofu mkuu, ambaye hakuwa na stashahada ya BA na Uzamili peke<br />
yake, lakini pia alikuwa na stashahada ya udakitari wa falsafa, ya mambo ya<br />
kiitikadi, mwishowe amebadilika na kuwa Mwislamu? Na kwa kuwa vigezo<br />
vya kigeni ni muhimu sana kwake, basi huyo mtu alipata diploma ya uongozi<br />
wa kanisa nchini Uingereza na baadaye digrii, mjini Berlin, Ujerumani! Mtu<br />
ambaye, kabla hajakuwa Mwislamu, alikuwa ni katibu wa Baraza la makinisa<br />
ulimwenguni kwa nchi za Afrika mashariki – zikiwemo Tanzania, Kenya,<br />
Uganda, Burundi, na sehemu za Ethiopia na Somalia. Katika baraza la