08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

61<br />

6- MARTIN JOHN MWAIPOPO ALIYEKUWA KASISI MKUU<br />

WA KILUTHERANI (TANZANIA).<br />

Ilikuwa ni Desemba 23, 1986, siku mbili kabla ya Krismasi, wakati Askofu<br />

mkuu Martin John Mwaipopo, alipotangaza kwa makutano yake kuwa<br />

anauacha Ukristo na kuingia <strong>Uislamu</strong>.<br />

Yale makutano yalipooza kwa mshtuko wa kusikia habari hiyo walishtushwa<br />

sana kabisa kiasi ambacho msimamizi wake alisimama kutoka kitini kwake,<br />

akafunga milango na madirisha na kutangaza kwa wanakanisa kuwa akili ya<br />

Askofu imeganda, yaani amechizika. Vipi ashindwe kufikiria na kusema<br />

hivyo, wakati katika kipindi cha dakika chache tu zilizopita, mtu huyo huyo<br />

alichukua kifaa chake cha muziki na kuimba kwa kucheza cheza sana na<br />

kuliimbia kanisa? Ni kidogo mno walichokijua cha ndani ya moyo wa Askofu<br />

kama kulikuwa na uamuzi ambao utawapasua akili zao, na burudani ile<br />

ilikuwa ni sherehe ya kuagana tu. Lakini hisia za makutano zilifadhaishwa<br />

sana, naam! Wakawaita polisi waje wamwondoshe mwendawazimu”<br />

Akawekwa kolokoloni hadi mida ya usiku wa saa sita ndipo Sheikh Ahmed<br />

Sheikh, mtu aliyemwingiza katika <strong>Uislamu</strong> alipoenda kumtoa. Tukio hilo<br />

lilikuwa ni mwanzo mdogo mdogo wa mshtuko uliojificha dhidi yake.<br />

Magazeti yote ya habari za Qalam, Simphiwe Sesanti, yalizungumzia juu ya<br />

mtu aliyezaliwa Tanzania na aliyekuwa Askofu mkuu wa Kilutherani Bwana<br />

Martin John Mwaipopo, aliyeingia <strong>Uislamu</strong> amekuja na kujulikana kuwa ni<br />

Al-Haji Abu Bakar Mwaipopo.)<br />

Sifa lazima ziende kwa ndugu wa Kizimbabwe, Sufiyan Sabelo, kwa<br />

kusababisha huu udadasi wa maandishi, baada ya kusikiliza maneno ya<br />

Mwaipopo katika kituo cha Kiislamu cha Wyebank mjini Durban. Sufyan si<br />

mpiga debe, lakini usiku huo lazima atakuwa amesikia kitu naye hakusimama<br />

kuongelea kuhusu mtu huyo! Ambaye hataathiriwa baada ya kusikia hayo<br />

naye ni Askofu mkuu, ambaye hakuwa na stashahada ya BA na Uzamili peke<br />

yake, lakini pia alikuwa na stashahada ya udakitari wa falsafa, ya mambo ya<br />

kiitikadi, mwishowe amebadilika na kuwa Mwislamu? Na kwa kuwa vigezo<br />

vya kigeni ni muhimu sana kwake, basi huyo mtu alipata diploma ya uongozi<br />

wa kanisa nchini Uingereza na baadaye digrii, mjini Berlin, Ujerumani! Mtu<br />

ambaye, kabla hajakuwa Mwislamu, alikuwa ni katibu wa Baraza la makinisa<br />

ulimwenguni kwa nchi za Afrika mashariki – zikiwemo Tanzania, Kenya,<br />

Uganda, Burundi, na sehemu za Ethiopia na Somalia. Katika baraza la

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!