08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

24<br />

2 – ABDULLAH M. AL-FARUQUE ALIYEKUWA AKIIITWA<br />

KENETH L. JENKINS, MCHUNGAJI NA MZEE WA KANISA<br />

LA PENTECOSTAL. (USA)<br />

Nikiwa ni mchungaji na ni mzee wa kanisa la Kristo, hapo zamani, ilikuwa ni<br />

wajibu wangu kuwaelimisha wale wote wanaoendelea kutembea kizani.<br />

Baada ya kuingia <strong>Uislamu</strong> nilihisi haja kubwa mno ya kuwasaidia wale wote<br />

wasiobarikiwa na kupata nuru ya Kiislamu.<br />

Namshukuru Mungu Muweza, Allah, anihurumie, anijaalie niujue uzuri wa<br />

<strong>Uislamu</strong> kama ulivyofundishwa na Mtume Muhammad na maswahaba 4 zake<br />

waongofu. Ni kwa rehema za Allah tu, ya kwamba sisi tunapokea uongofu wa<br />

kweli kweli na uwezo wa kufuata njia iliyonyooka, inayoongoza katika<br />

mafanikio katika maisha haya na ya kesho ahera.<br />

Mungu asifiwe kwa wema niliofanyiwa na sheikhi “Abdallah bin Abdul-<br />

Azeez bin Baz” wa Falme ya Saudi Arabia juu ya kuingia kwangu <strong>Uislamu</strong>.<br />

Naishi kwa matumaini na nitapitia juu ya elimu yote iliyopatikana kutokana<br />

na kila kikao nlichokaa naye. Kuna wengine wengi walionisaidia kwa kunipa<br />

nguvu na kunielimisha. Ni jambo la kutosha kusema kuwa namshukuru<br />

Mungu Muweza, Allah, kwa madada na makaka wote walioruhusiwa na<br />

Mungu kushiriki katika ukuaji na maendeleo yangu nikiwa Mwislamu.<br />

Naiombea kazi hii fupi, iwe ni kwa faida ya wote. Natarajia Wakristo<br />

watagundua kuwa bado kuna matarajio licha ya masharti ya ukaidi<br />

yanayoshawishi makundi mengi ya Wakristo. Ufumbuzi wa matatizo ya<br />

Wakristo haupatikani kwa Wakristo wenyewe, kwani wao, kwa namna<br />

4 Swahaba ni mfuasi wa Mtume Muhammad (S.A.W) aliyekuwepo zama za Mtume.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!