08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

6<br />

Kisha baba yangu alieleza kuwa mtu huyo ni ‘Mwislamu.’ Awali, nilichukia<br />

wazo la kukutana na mtu asiye na imani, mtekajinyara, mlipuaji mabomu,<br />

gaidi, kafiri.’ Mtu yeyote wa kawaida angelikataa wazo hilo. Sikuamini<br />

masikio yangu. Mwislamu?’ Haiwezekani! Nilimkumbusha baba yangu<br />

mambo mbali mbali tuliyoyasikia juu ya watu hao ‘Waislamu.’<br />

Uongo dhidi ya Waislamu na <strong>Uislamu</strong> – walitwambia, kuwa Waislamu:<br />

• Hata hawaamini Mungu.<br />

• Wanaabudu boksi jeusi liliopo jangwani.<br />

• Na wanabusu ardhi mara tano kwa siku.<br />

Haiwezekani! Sikutaka Kukutana Naye!<br />

Sikutaka kukutana na Mwislamu huyo. Haiwezekani! Baba yangu alisisitiza<br />

nikutane naye na akanihakikishia kuwa mtu huyo ni mwema sana. Hilo<br />

lilikuwa ni kubwa mno kwangu. Na hasa hasa walokole tuliokuwa tunasafiri<br />

nao wote waliwachukia sana Waislamu na <strong>Uislamu</strong>. Hata walikuwa wakisema<br />

vitu visivyo vya kweli ili kuwatisha watu waougope <strong>Uislamu</strong>. Kwa hiyo, kwa<br />

nini mimi nihitaji kitu cha kufanya na watu hao?<br />

Wazo: ‘Kumbadilisha Awe Mkristo.’<br />

Kisha wazo fulani lilinijia, ‘Tunaweza kumbadili mtu huyo awe Mkristo.’<br />

Kwa hiyo, nilikubali na kuafiki kukutana naye. Lakini kwa masharti yangu.<br />

Nikutane naye nikiwa na Biblia, Msalaba na kofia ya chopeo (kepu)<br />

iliyoandikwa ‘Yesu ni Bwana.’ Nilikubali nikutane naye siku ya Jumapili<br />

baada ya kutoka kanisani. Kwa hiyo, sote tungesali na kusimama vizuri na<br />

Bwana. Ningechukua Biblia yangu chini ya kwapa kama desturi. Ningekuwa<br />

na msalaba wangu mkubwa ung`aao na kuning`inia pia ningevaa kofia yangu<br />

isemayo: ‘Yesu ni Bwana.’ Maandishi yaliyo kwa mkato upande wa mbele.<br />

Mke wangu na mabinti zangu wawili wadogo wangekuja na sote tungekuwa<br />

tayari kwa kukabiliana kwa mara ya kwanza na ‘Waislamu.’<br />

Yupo wapi? Nilipoingia dukani na kumuuliza baba; “Huyo Mwislamu yupo<br />

wapi”, aliashiria na kusema: “Yule pale.” Nilichanganyikiwa. Huyo hawezi<br />

kuwa Mwislamu. Haiwezekani.<br />

Kiremba na midevu? Nalitafuta jitu kubwa lenye majoho yanayoburura,<br />

mremba mkubwa kichwani mwake, midevu inayofikia nusu ya shati lake na

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!