Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
84<br />
10- REV. DAVID BENJAMIN KELDANI (ABDUL’L-AHAD<br />
DAWUD) (IRAN).<br />
Profesa Abdu ‘l-Ahad Dawud, B.d., mwandishi wa mtiririko wa makala kwa<br />
sasa, zamani alikuwa ni Padri wa Roman Katoliki kwa jina la Reverend David<br />
Benjamin Keldani, B.D., wa Uniate-Caldean sect. Alipoulizwa vipi aliingia<br />
<strong>Uislamu</strong> aliandika:<br />
“Kuingia kwangu <strong>Uislamu</strong> hakukuweza kumpa sifa mtu yeyote<br />
aliyesababisha zaidi ya maelekezo ya Mwingi wa rehema. Bila ya mwongozo<br />
huu mtakatifu juhudi zote za masomo na uchunguzi wa kutafuta ukweli<br />
huenda zingepelekea mtu kupotea. Kipindi ambacho niliamini Umoja<br />
kamilifu wa Mungu na Mtume wake Mtukufu, Muhammad amekuwa ni<br />
sehemu ya mwenendo na tabia yangu.”<br />
“Abdu ‘l-Ahad Dawud ni padri wa Roman Katoliki wa zamani kwa jina la<br />
Rev. David Benjamin, B.D., wa Uniate – Caldean Sect. Alizaliwa 1867 mjini<br />
Umia Persia alisoma shule ya watoto mjini mwake. Toka 1886-89 (kwa miaka<br />
mitatu) alikuwa katika walimu wa Uaskofu wa Canterbury`s Mission to the<br />
Assyrian (Nestorian) Wakristo wa Urmia. Mwaka 1892 alipelekwa na<br />
Cardinal Vaughan hadi Rome, sehemu ambayo alipitia kozi ya masomo ya<br />
falsafa na nadharia katika chuo cha Propandanda cha Fide, na mnamo mwaka<br />
1895 alikuwa ni padri msimikwa. Katika kipindi hicho alitawanya mlolongo<br />
wa makala katika vibao juu ya “Assyria, Rome na Canterbury”; pia Aryland