08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

84<br />

10- REV. DAVID BENJAMIN KELDANI (ABDUL’L-AHAD<br />

DAWUD) (IRAN).<br />

Profesa Abdu ‘l-Ahad Dawud, B.d., mwandishi wa mtiririko wa makala kwa<br />

sasa, zamani alikuwa ni Padri wa Roman Katoliki kwa jina la Reverend David<br />

Benjamin Keldani, B.D., wa Uniate-Caldean sect. Alipoulizwa vipi aliingia<br />

<strong>Uislamu</strong> aliandika:<br />

“Kuingia kwangu <strong>Uislamu</strong> hakukuweza kumpa sifa mtu yeyote<br />

aliyesababisha zaidi ya maelekezo ya Mwingi wa rehema. Bila ya mwongozo<br />

huu mtakatifu juhudi zote za masomo na uchunguzi wa kutafuta ukweli<br />

huenda zingepelekea mtu kupotea. Kipindi ambacho niliamini Umoja<br />

kamilifu wa Mungu na Mtume wake Mtukufu, Muhammad amekuwa ni<br />

sehemu ya mwenendo na tabia yangu.”<br />

“Abdu ‘l-Ahad Dawud ni padri wa Roman Katoliki wa zamani kwa jina la<br />

Rev. David Benjamin, B.D., wa Uniate – Caldean Sect. Alizaliwa 1867 mjini<br />

Umia Persia alisoma shule ya watoto mjini mwake. Toka 1886-89 (kwa miaka<br />

mitatu) alikuwa katika walimu wa Uaskofu wa Canterbury`s Mission to the<br />

Assyrian (Nestorian) Wakristo wa Urmia. Mwaka 1892 alipelekwa na<br />

Cardinal Vaughan hadi Rome, sehemu ambayo alipitia kozi ya masomo ya<br />

falsafa na nadharia katika chuo cha Propandanda cha Fide, na mnamo mwaka<br />

1895 alikuwa ni padri msimikwa. Katika kipindi hicho alitawanya mlolongo<br />

wa makala katika vibao juu ya “Assyria, Rome na Canterbury”; pia Aryland

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!