Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
78<br />
9- DR. GARY MILLER (ABDUL-AHAD OMAR)<br />
MWANAHISABATI NA MMISHIONARI WA KIKRISTO<br />
(CANADA)<br />
Gary Miller (Abdul-Ahad Omar) anaonyesha jinsi tunavyoweza kuanzisha<br />
imani ya kweli kwa kuweka viwango vya ukweli. Yeye anafafanua jambo<br />
lepesi, lakini ni njia yenye kufanya kazi sana katika kuupata mwelekeo sahihi<br />
katika uchunguzi wetu wa kusaka ukweli.<br />
G.R. Miller ni mwanahisabati na ni mtaalamu wa mambo ya kitikadi.<br />
Alikuwa ni mchapakazi katika umishionari wa Kikristo akifanyakazi katika<br />
maeneo maalumu maishani mwake lakini punde tu alianza kugundua mambo<br />
yasiyowiana katika Biblia. Mwaka 1978, ilimtokea kuisoma Quran akitarajia<br />
kuwa nayo vilevile itakuwa na mchanganyiko wa ukweli na uongo.<br />
Kwa mshangao, aligundua kuwa ujumbe wa Quran kwa usahihi kabisa<br />
ulikuwa ni ule ule kama ilivyo asili ya ukweli alioutiririsha kutoka katika<br />
Biblia. Akawa Mwislamu na tangu hapo amekuwa ni mchapakazi<br />
mchangamfu katika kutoa mafunzo ya <strong>Uislamu</strong> kwa watu wengine ikiwemo<br />
njia ya kutokea redioni na katika Tv. Pia, yeye ni mtunzi wa makala nyingi na<br />
machapisho kadhaa juu ya <strong>Uislamu</strong>.<br />
Mmishionari muhimu sana wa Kikristo ameingia <strong>Uislamu</strong> na amekuwa mpiga<br />
debe mkubwa wa <strong>Uislamu</strong>, alikuwa ni Mmishionari mchapakazi sana na