08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

78<br />

9- DR. GARY MILLER (ABDUL-AHAD OMAR)<br />

MWANAHISABATI NA MMISHIONARI WA KIKRISTO<br />

(CANADA)<br />

Gary Miller (Abdul-Ahad Omar) anaonyesha jinsi tunavyoweza kuanzisha<br />

imani ya kweli kwa kuweka viwango vya ukweli. Yeye anafafanua jambo<br />

lepesi, lakini ni njia yenye kufanya kazi sana katika kuupata mwelekeo sahihi<br />

katika uchunguzi wetu wa kusaka ukweli.<br />

G.R. Miller ni mwanahisabati na ni mtaalamu wa mambo ya kitikadi.<br />

Alikuwa ni mchapakazi katika umishionari wa Kikristo akifanyakazi katika<br />

maeneo maalumu maishani mwake lakini punde tu alianza kugundua mambo<br />

yasiyowiana katika Biblia. Mwaka 1978, ilimtokea kuisoma Quran akitarajia<br />

kuwa nayo vilevile itakuwa na mchanganyiko wa ukweli na uongo.<br />

Kwa mshangao, aligundua kuwa ujumbe wa Quran kwa usahihi kabisa<br />

ulikuwa ni ule ule kama ilivyo asili ya ukweli alioutiririsha kutoka katika<br />

Biblia. Akawa Mwislamu na tangu hapo amekuwa ni mchapakazi<br />

mchangamfu katika kutoa mafunzo ya <strong>Uislamu</strong> kwa watu wengine ikiwemo<br />

njia ya kutokea redioni na katika Tv. Pia, yeye ni mtunzi wa makala nyingi na<br />

machapisho kadhaa juu ya <strong>Uislamu</strong>.<br />

Mmishionari muhimu sana wa Kikristo ameingia <strong>Uislamu</strong> na amekuwa mpiga<br />

debe mkubwa wa <strong>Uislamu</strong>, alikuwa ni Mmishionari mchapakazi sana na

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!