08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

37<br />

zaidi; 3)- mabadiliko ya itikadi hizo kama ya nafsi tatu kwa moja ya Mungu<br />

na uwana wa Yesu, amani iwe juu yake; 4)- mambo ya wasiokuwa na dini<br />

yapo katika kanuni za imani na mafundisho ya Wakristo wengi; 5)- kuwepo<br />

kwa makanisa yote hayo ya mwanzo na harakati za Kikristo ambazo<br />

hazikubali itikadi ya utatu wa Mungu, na ambazo kamwe hazikubali itikadi ya<br />

uungu wa Yesu, amani iwe juu yake; 6)- mengineyo (baadhi ya matunda haya<br />

ya elimu yangu ya seminari yanasimulia habari nyingi zaidi katika kitabu<br />

changu kipya, Msalaba na Mwezi; mazungumzo ya imani mchanganyiko<br />

kati ya Ukristo na <strong>Uislamu</strong>, yaliyochapishwa na Amana Publications<br />

2001.)<br />

Kwa hiyo, si ajabu kabisa kuwa wanaomaliza masomo ya seminari wengi wao<br />

wanatoka kutoka katika seminari si kwenda “kujaza majukwaa,” sehemu<br />

ambayo wataombwa wahubiri kile wanachokijua kuwa si cha kweli, lakini<br />

kinyume chake wanajiingiza katika kazi mbali mbali za ushauri. Hali hiyo<br />

ndiyo iliyonikumba, kwani nilijiendeleza ili nipate stashahada ya uzamili na<br />

udaktari ya matibabu ya kisaikolojia. Niliendelea kujiita Mkristo, kwa sababu<br />

hilo lilikuwa linahitajika kwa ajili ya kujitambulisha, na kwa kuwa nilikuwa<br />

Mkristo, baada ya yote, ni mchungaji msimikwa, hata hivyo, kazi yangu ni<br />

kazi ya kutibu magonjwa ya kiakili. Hata hivyo, elimu yangu ya seminari<br />

ilikuwa ni kinga dhidi ya imani ya kuamini utatu wa Mungu, au uungu wa<br />

Yesu, amani iwe juu yake. (Kura za maoni mara kwa mara zinabainisha kuwa<br />

wachungaji wanaimani ndogo katika kuamini mambo hayo na imani<br />

nyinginezo za kanisa kuliko walei (waumini wa kawaida) wanaowahudumia,<br />

kwa sitiari, huku wakazi wa parokia wakifahamu jambo hilo kimaneno tu.)<br />

Mimi nilikuwa Mkristo wa Krismasi na Pasaka.” Naenda kanisani mara moja<br />

moja sana, kisha nikakerekeza meno yangu na kuuma ulimi wangu<br />

nilipokuwa nasikiliza mahubiri yaliotetea kile nilichokijua kuwa hakikuwa<br />

kadhia husika.<br />

Hakuna hata moja katika hayo yaliyopita liwezalo kuchukuliwa ili lionyeshe<br />

kuwa mimi nilikuwa nina upeo wa dini mdogo au uelewa wa kiroho mdogo<br />

kuliko vile nilivyokuwa zamani. Nilikuwa ninasali kila siku, imani yangu kwa<br />

Mungu Mkuu ilibaki imara na salama, na niliendesha maisha yangu binafsi<br />

katika mstari pamoja na maadili niliyofundishwa kanisani na katika shule ya<br />

Jumapili. Kiwepesi, nilikuwa ninajua lilobora zaidi kuliko kununua imani<br />

zilizotengenezwa na mtu na mamlaka za kiimani za usharika wa kanisa,<br />

ambazo zilikuwa zimeshehenezwa mambo mazito mazito ya kipagani, fikra

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!