08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

16<br />

4. – Tafakari juu ya maana yake na uzingatie ukarimu wa Mola wako.<br />

5. – Tafuta – kusamehewa dhambi kwa Mungu na jifunze<br />

kuwasamehe watu wengine.<br />

6. – Omba – kimoyo moyo uongozwe kutoka juu.<br />

7. – Funga – moyo wako na akili zako.<br />

8. – Endelea – kufanya haya kwa miezi michache. Na jizoeshe kufanya<br />

hayo kila siku.<br />

9. – Jiepushe – na sumu ya shetani wakati moyo wako utakapofunguliwa<br />

ili “kuzaliwa upya kwa moyo wako”.<br />

Kumbuka – kujisafisha; kutoa shukrani; kusoma; kutafakari, kisha tafuta,<br />

“na nyinyi hakika mtapata. Omba, na utapewa. Bisha hodi utafunguliwa.”<br />

Kisha endelea na Jiepushe:<br />

Lililobaki ni kati yako na Mungu Muweza wa Ulimwengu. Kama kweli<br />

unampenda Mungu, Yeye tayari anajua hilo na atatushughulikia kila mmoja<br />

wetu kulingana na mioyo yetu.<br />

Majibu ya Maswali:<br />

Kwa sasa kama nilivyowaahidi kuna majibu ya maswali mengi niliyoulizwa<br />

yanayofungamana na chaguo langu la <strong>Uislamu</strong>:<br />

1. Vipi umebadilika kutoka katika mpango mkamilifu wa uwokovu<br />

wa Yesu Kristo msalabani kuokoa dhambi zako?<br />

Jibu: Swali lako linaashiria bado hujazingatia mlingano uliopo kati ya<br />

mafundisho ya Biblia na Quran.<br />

“<strong>Uislamu</strong>” maana yake ni kujisalimisha, kunyenyekea na kumtii Mola wako<br />

kwa uaminifu na amani.” Yeyote anayejaribu kufanya hayo, ni Mwislamu.<br />

“Kama mtu anaamini Mungu Muweza kuwa ni Mungu Mmoja na ni Mola<br />

Mmoja anayetaka kuyafanya maisha yao ili kumtumikia Yeye na kutii amri<br />

zake, mtu huyo atakuwa katika njia sahihi na watu hao watakuwa<br />

“wameokolewa.” Kulingana na Rehema za Mungu. Hakuna wa kuchukua<br />

dhambi za wengine na waovu lazima wasimame na kushitakiwa kwa vile<br />

walilivyovitenda. Itakuwa ni juu ya Mola Muweza kuwasamehe au<br />

kuwaadhibu kwa mujibu wa Hukumu yake katika siku hiyo.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!