08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

74<br />

“Kwanza kabisa, huu ndiyo ukumbi wetu wa kuswalia, vua viatu vyako katika<br />

eneo hili.”<br />

“Hivi ni vitu gani?”<br />

“Hiki ni chumba kidogo, Hapa ndiyo sehemu ya kuweka viatu vyako.”<br />

“Kwa nini?”<br />

“Vizuri, kwa sababu wewe unasogelea eneo la kuswalia, na eneo hilo ni<br />

takatifu sana. Huruhusiwi kuliingia na viatu vyako; sehemu hiyo inakuwa safi<br />

kabisa muda wote.”<br />

Kwa hiyo, alinichukua na kunipeleka eneo la wanaume.<br />

“Na hapa, ndiyo sehemu tunayotilia wudhu.”<br />

“Voodoo! Sijasoma chochote juu ya voodoo!”<br />

“Hapana, sio voodoo. Ni wudhu!”<br />

“Sawa, kwa sababu nilimuona mfanyakazi huyo akiwa na mwanasesere na<br />

pini, nami sipo tayari kufanya ahadi ya aina hiyo.”<br />

Yeye anasema; “Hapana, wudhu, hapo ni pale tulipojisafisha.”<br />

“Kwa nini unafanya hivyo?”<br />

“Vizuri, wakati unaswali mbele ya Mungu, lazima uwe msafi, kwa hiyo,<br />

tunaosha mikono yetu na miguu yetu.”<br />

Kwa hiyo, nikajifunza vitu vyote hivyo. Naye akaniruhusu niondoke, na<br />

alisema, njoo tena. Nilienda tena na nikamuomba yule mtunza maktaba vitabu<br />

vya swala, na nilirudi nyumbani na kuvifanyia mazoezi. Nilihisi kuwa<br />

ninajaribu kutenda hiyo swala vizuri, Mungu ataikubali. Niliendelea kusoma<br />

na kusoma na kuutembelea msikiti ule.<br />

Nilikuwa na ahadi ya kutembelea Midwest katika umoja wa wanamaigizo.<br />

Vizuri, nilichukua kizuria cha kusalia. Nilijua kuwa nilitakiwa niswali kwa<br />

wakati maalumu, lakini kulikuwa na maeneo maalumu ambayo huruhusiwi<br />

kusali, na mojawapo ni chooni. Nilienda chumbani kwa wanaume katika kituo<br />

cha watalii na nikatandika zulia langu na nikaanza kusali sala zangu.<br />

Nikarudi, na Ramadhani ilipofika, nilianza kupokea simu kutoka sehemu<br />

mbali mbali za hapa nchini niende nikatoe muhadhara nikiwa ni mchungaji<br />

wa Mashahidi wa Yehova aliyeingia <strong>Uislamu</strong>. Watu waliniona ni mgeni na ni<br />

mpya. [Wahamiaji wawili waliongea:]<br />

Kijana huyu ni kama epple pie na anaendesha (a Chevy truck). Yeye ni<br />

Mmarekani Mwekundu Alikuwa ni Shahidi wa Yehova.”<br />

“Watu hao walikuja asubuhi hiyo?”

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!