Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
74<br />
“Kwanza kabisa, huu ndiyo ukumbi wetu wa kuswalia, vua viatu vyako katika<br />
eneo hili.”<br />
“Hivi ni vitu gani?”<br />
“Hiki ni chumba kidogo, Hapa ndiyo sehemu ya kuweka viatu vyako.”<br />
“Kwa nini?”<br />
“Vizuri, kwa sababu wewe unasogelea eneo la kuswalia, na eneo hilo ni<br />
takatifu sana. Huruhusiwi kuliingia na viatu vyako; sehemu hiyo inakuwa safi<br />
kabisa muda wote.”<br />
Kwa hiyo, alinichukua na kunipeleka eneo la wanaume.<br />
“Na hapa, ndiyo sehemu tunayotilia wudhu.”<br />
“Voodoo! Sijasoma chochote juu ya voodoo!”<br />
“Hapana, sio voodoo. Ni wudhu!”<br />
“Sawa, kwa sababu nilimuona mfanyakazi huyo akiwa na mwanasesere na<br />
pini, nami sipo tayari kufanya ahadi ya aina hiyo.”<br />
Yeye anasema; “Hapana, wudhu, hapo ni pale tulipojisafisha.”<br />
“Kwa nini unafanya hivyo?”<br />
“Vizuri, wakati unaswali mbele ya Mungu, lazima uwe msafi, kwa hiyo,<br />
tunaosha mikono yetu na miguu yetu.”<br />
Kwa hiyo, nikajifunza vitu vyote hivyo. Naye akaniruhusu niondoke, na<br />
alisema, njoo tena. Nilienda tena na nikamuomba yule mtunza maktaba vitabu<br />
vya swala, na nilirudi nyumbani na kuvifanyia mazoezi. Nilihisi kuwa<br />
ninajaribu kutenda hiyo swala vizuri, Mungu ataikubali. Niliendelea kusoma<br />
na kusoma na kuutembelea msikiti ule.<br />
Nilikuwa na ahadi ya kutembelea Midwest katika umoja wa wanamaigizo.<br />
Vizuri, nilichukua kizuria cha kusalia. Nilijua kuwa nilitakiwa niswali kwa<br />
wakati maalumu, lakini kulikuwa na maeneo maalumu ambayo huruhusiwi<br />
kusali, na mojawapo ni chooni. Nilienda chumbani kwa wanaume katika kituo<br />
cha watalii na nikatandika zulia langu na nikaanza kusali sala zangu.<br />
Nikarudi, na Ramadhani ilipofika, nilianza kupokea simu kutoka sehemu<br />
mbali mbali za hapa nchini niende nikatoe muhadhara nikiwa ni mchungaji<br />
wa Mashahidi wa Yehova aliyeingia <strong>Uislamu</strong>. Watu waliniona ni mgeni na ni<br />
mpya. [Wahamiaji wawili waliongea:]<br />
Kijana huyu ni kama epple pie na anaendesha (a Chevy truck). Yeye ni<br />
Mmarekani Mwekundu Alikuwa ni Shahidi wa Yehova.”<br />
“Watu hao walikuja asubuhi hiyo?”