Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
66<br />
7- RAPHAEL NARBAEZ ALIYEKUWA MCHUNGAJI WA<br />
MASHAHIDI WA YEHOVA (USA)<br />
Latino, Raphael mwenye miaka arobaini na mbili ni mchekeshaji mwenye<br />
kufanya maskani yake Los Angeles na ni muhadhiri wa chuo kikuu. Alizaliwa<br />
Texas, sehemu ambayo ndiyo aliyohudhuria ushahidi wake na miaka minne<br />
baadaye aliyaelekea makutano yake mwenyewe akiwa na miaka ishirini, na<br />
alipewa nafasi ya uongozi kwa Mashahidi wa Yehova 904,000 laki tisa na<br />
elfu nne nchini (USA). Aliiuza Biblia yake kwa Quran baada ya kupata<br />
ushujaa wa kutembelea msikiti wa mtaani.<br />
Novemba 1, 1991, aliingia <strong>Uislamu</strong>, huku akiiletea jamii ya Waislamu ujuzi<br />
wa kuunda usharika na kuuzungumzia alioupata miongoni mwa Mashahidi<br />
wa Yehova. Yeye huongea na Waislamu wapya kwa haraka haraka, lakini<br />
yeye ni mmoja wa wale wanaoweza kuwafanya wanaohamia <strong>Uislamu</strong><br />
wajichekee.<br />
Alisimulia kisa chake kwa mtindo wa kuigiza, nakumbuka wazi wazi<br />
nilikuwa katika mjadala ambao sote tulikuwa tumekaa katika sebule ya<br />
wazazi wangu na kulikuwa na baadhi ya Mashahidi wa Yehova wengine.<br />
Walikuwa wanaongelea juu ya: “Vita kati ya wema na uovu; muda wa<br />
Mwisho! Na Kristo anakuja! Na wajua tena, mvua ya mawe itakuwa na<br />
matone makubwa kama gari ndogo! Mungu atatumia vitu aina zote vya<br />
kuungamiza mfumo huu mbaya na kuondosha serikali! Na Biblia<br />
inayozungumzia dunia itafunguka! Itameza magorofa ya mji mzima”