08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

66<br />

7- RAPHAEL NARBAEZ ALIYEKUWA MCHUNGAJI WA<br />

MASHAHIDI WA YEHOVA (USA)<br />

Latino, Raphael mwenye miaka arobaini na mbili ni mchekeshaji mwenye<br />

kufanya maskani yake Los Angeles na ni muhadhiri wa chuo kikuu. Alizaliwa<br />

Texas, sehemu ambayo ndiyo aliyohudhuria ushahidi wake na miaka minne<br />

baadaye aliyaelekea makutano yake mwenyewe akiwa na miaka ishirini, na<br />

alipewa nafasi ya uongozi kwa Mashahidi wa Yehova 904,000 laki tisa na<br />

elfu nne nchini (USA). Aliiuza Biblia yake kwa Quran baada ya kupata<br />

ushujaa wa kutembelea msikiti wa mtaani.<br />

Novemba 1, 1991, aliingia <strong>Uislamu</strong>, huku akiiletea jamii ya Waislamu ujuzi<br />

wa kuunda usharika na kuuzungumzia alioupata miongoni mwa Mashahidi<br />

wa Yehova. Yeye huongea na Waislamu wapya kwa haraka haraka, lakini<br />

yeye ni mmoja wa wale wanaoweza kuwafanya wanaohamia <strong>Uislamu</strong><br />

wajichekee.<br />

Alisimulia kisa chake kwa mtindo wa kuigiza, nakumbuka wazi wazi<br />

nilikuwa katika mjadala ambao sote tulikuwa tumekaa katika sebule ya<br />

wazazi wangu na kulikuwa na baadhi ya Mashahidi wa Yehova wengine.<br />

Walikuwa wanaongelea juu ya: “Vita kati ya wema na uovu; muda wa<br />

Mwisho! Na Kristo anakuja! Na wajua tena, mvua ya mawe itakuwa na<br />

matone makubwa kama gari ndogo! Mungu atatumia vitu aina zote vya<br />

kuungamiza mfumo huu mbaya na kuondosha serikali! Na Biblia<br />

inayozungumzia dunia itafunguka! Itameza magorofa ya mji mzima”

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!