13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

100elimu ya kutosha. Kwa hivyo ni lazima tupewe Majimbo yetu. Majimbo iliambiwa baada ya miaka mitano watu wawe naMajimbo au miaka kumi. Miaka kumi ilipokwisha mambo yakaharibika. Kwa hivyo sasa ni muhimu tupewe jimbo letu,wakataka wengi, wasitake wengi lakini sisi watu wa Pwanitunataka jimbo letu.Hatukatai wageni kutoka nje ya sisi lakini kwa heshima, tusiogopane tuheshimiane, tupendane. Hizo nguzo nne nasema hukoziambiwe na zijulikane hizo nguzo nne. Kuna nguzo nne ya kwanza kupendana. Pili, ni kukutana hizo mziandike zieleweke nisheria ya kenya itakayotungwa leo hapa.Ya tatu, ni kukutana, ya nne, ni kuzungumza kama hivi kushauriana. Kama tulikuwa hatupendani hatungekutana, na kamahatukutani hatungekuwa hatushauriani, na kama hatushauriani, hatufanyi. Kufafanua hizo nguzo nne za Majimbo. Leo sisi tukohapa twataka Majimbo tumiliki mali zetu bahari, mahoteli, kila kitu kilicho juu ya ardhi na ndani ya ardhi.Narudi hapo kwenye machifu. Machifu wachaguliwe na wananchi wenyewe. Tena chief huyo awe aliposoma alipitia kamamwalimu, alitumia hiyo kazi ya jumuia. Asichukuliwe chifu amesoma tu analetwa hapo ndani. Wawe wametoka kwenyewaalimu, sasa nataka huo uchifu lakini si awe alicheza mpira ama alikuwa mtu wa sarakasi kwa sababu alisoma kwa sababualisoma aje ahudumu wananchi.Chifu awe na umri wa miaka thelathini na tano mpaka hamsini atakuwa amechoka huyo chifu. Kwa sababu chifu naye piaachaguliwe na wananchi. ikiwa hatachaguliwa apewe transfer kama vile DO anavyopewa transfer akapate elimu kwa nchinyingine, aje aongoze wananchi. mBunge naye huyo mBunge akichaguliwa awe na wenzake awajue wananchi ni akina naniwalionichagua awajue wananchi walionichagua kwa sababu hao ndio matajiri zake na wafanye mikutano kujua wananchiwanataka nini. Asije akawa anangojea wakati wa kura ndio aone wananchi. Pia kwa upande wa akina mama. Akina mamawasinyanyaswe na mabwana. Wawe hiyo inaitwa hiyo kikundi. Lakini kikundi kiwe ni cha bwana na bibi kwanza, maendeleoyatoke mle ndani ya nyumba.Urithi kwa bwana upatikane kwa bibi na watoto wake. Kwa mama hiari na kwa baba ni hiari. Bado, kuna kitu sijasema.Asichapwe makofi, achapwe kwa maneno tu, kwa maelewano. Kama nilikosa kuchapwa huko, akinichapa nitasikia lini.Muhimu ni Majimbo, tupate Majimbo yetu, tusinyanyaswe, tusipigwe, tusikae mtu anasema naweka spare, hakuna sparenasema serikali hii isiwe na spare bwana nje. Ukimtongoza mume akitongoza bibi awe ana hakika atamuoa. Hii ndio inaletwaukimwi, hii spare. Asante.Com. Swazuri: Solomon Kuba. Atafuatiwa na Mohammed.Mr. Solomon: Makamishina, wananchi wenzangu hamjambo. Maoni yangu niliyokuja kutoa hapa katika kuchangia Katiba

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!