13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

64kuu zetu watu wetu waende nyumbani. Wakristo mpaka waislamu wapumzike.Mavazi- hizi ni hukumu za Kiislamu ninazotoa mimi. Sisi huku Pwaninamba kubwa ni waislamu. Tunajua mavazi yetu. Kama niurongo angalieni walivyokaa watu. Lakini kuna wageni wanaokuja tunawaita watalii, wazungu kutoka kwao. Wanakuja katikanchi yetu ambayo ina heshima kubwa, wanavaa visuruali, mashini ziko nje, tunaangalia sisi na watoto wetu na wamama zetu,jambo la kusikitisha. Mzungu akiingia hapa apewe amri ya kuvaa nguo za heshima la tutamfundisha adabu za kuvaa nguo amaasije abakie kwao.Utawala- kutoka mwaka elfu moja miaka sitini na tatu tulipata uhuru. Tulikuta utawala hapa umewekwa na mwingereza ambaomimi mwenyewe nilikuwa ulaya 1975 sikuona. Hapa kwetu bado ingawaje mama ameingia pole hii ni maombi yangu. Hapakwetu bado tuna mambo ya PC, mambo ya DC, mambo ya DO, mambo ambayo kwamba mzungu ameyaleta na huko ulayahakuna nilikuwako sikuona PC, sikuona DO, sikuona DC. Aliyaleta hapa ili mwafrika awe chini, mzungu mume aitwe bwana,mzungu mke aitwe memsahp lakini huu utawala huu hauko. Hata Tanzania hakuna, hata Uganda hakuna, kwa nini kenya pekeyake ndio kuna ma-DC na ma-PC na ma-DO. Tunataka hapa kwetu waondolewe, wapewe kazi nyingine kubwa kubwa,tubaki na chifu ahukumu kesi za mallu peke yake.Rais- hatutaki Rais awe above the law. Haya ni matatizo. Inaweza siku moja akaamka aseme sitaki dini ya waislamu walawakristo, watu wote wawe devil worshippers. Lazima tufuate maanake Rais amesema. Kwa hivyo Rais wa kuwa above thelaw hatumtaki. Tunataka Rais ambaye kwamba atachukua maoni ya wananchi. asikize, aambiwe kwamba hili na hili ndilo hilihalifai na awe anapata amri. Sio akisema hii ni basi. Huu ni utumwa.Mazingara- ni jambo moja la kutatiza kuwa siku hizi, wanyama wana dhamani kuliko mwanadamu. Mwenyezi Mungu aliwaletawanyama kuwa ni utoezi kwetu. Hakuwaleta waje wawe matingi. Leo hii ni serikali inaweka mpaka, wanyama wanatembeahuko, ndovu anatoka anaingia mashambani kwetu, wanakula mimea yote, wanaua watu, Serikali inafurahikia. Malipo hakuna.Hebu toka wewe ukaue ndovu mmoja. Serikali itaweka matanga ya siku tatu ndovu ameuawa lakini hawahuzuniki wakatimwanadamu ameuawa. Haya ni mambo ambayo ni kinyume cha Mwenyezi Mungu na labda atakasirika aweke kiama. Kwahivyo mazingara haya yatupiliwe mbali. Ikiwa kutawekwa sehemu ya wanyama wakae na wakae. Wakipita wakija kwetu nikitoweo, hakuna kesi.Uchumi- wenzangu wamezungumza kwa hivyo sina haja ya kurudia mshaelezwa vile uchumi inatakikana kuwa katika sehemuyetu, kwa hivyo hiyo inatosha. Elimu- elimu hii ninazungumzia mimi nikuwa ni kuwa wenzetu wakristo wanapohitimu, wanapewanafasi ya kuandikwa ni serikali. Wafundishe C.R.E ndani ya mashule lakini waalimu wa Kiislamu hata wanapohitimu hawawezikuandikwa na serikali wakafundisha I.R.E. kwa nini? Kwa hivyo elimu kuwe na kipengele kiwekwe katika hii Katiba mpya yakwamba waalimu waislamu waandikwe kwenye mashule, waweze kufundisha elimu ya kizungu na dini ya Kiislamu, kwa sababuhuko inapoenda ni hatari. Elimu ya Kiislamu huenda ikapotea. Watoto wanaingia shule akifika anaambiwa funga macho bwana

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!