13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

85Com. Swazuri: Ali Mgore na atafuatiwa na Fatuma Mwachichi.Mr. Ali: Salaam aleikum. Kwanza mabwana na bi. Kamishina. Huu muda wa dakika tano ni mfupi sana mtu kuweza kutoamaoni yake lakini tutajaribu na mimi nitazungumza kwa haraka haraka tu kwa sababu yatakuwa ni mengi. Halafu nitazungumzayale ambayo ni muhimu tu halafu memorandum yangu nitawasilisha baadaye. Kwanza ningependa nizungumzie ama niombenyinyi mnizikize sana kwamba watu wa Pwaniwanataka Majimbo kwa sababu ni haki ya watu wa Pwanikuipata serikaliwanayoitaka kwa sababu, tulipopata uhuru watu wa Pwaniwalifanya kushauriwa ikiwa wanataka kuwa katika serikali ya kenyaau hawataki kupitia kwa referendum.Referendum hii ilifanywa pwani, haikufanywa kila mahali. Kwa hivyo Pwani ilitambulika tangu hapo kwamba ni mahali tofautikidogo na sehemu nyingine yoyote. Tukapatiwa haki ya referendum. Kwa hivyo tukapendelea kwamba tuwe katika serikali yakenya. Hatukuwa kenya kwa kulazimishwa na mtu. Tulichagua kupitia referendum na ni makubaliano kwamba tuna haki hiyowakati wowote kwamba tukipendelea kivingine, au tukipendelea serikali ya aina nyingine watu wa Pwanini lazima wapewe hakihiyo.Bishop Njoroge: Unasema, Pwani ilikuwa sehemu nyingine ambaye haikuwa kenya na sasa wenyewe wanaonekana ndiowanataka.Mr. Ali: Nimekuelewa.Bishop Njoroge: Ngoja, sasa wewe na uhuru wa Pwaniunataka iwe / ingine au Pwani iwe kama ni ingine kama ni Nyanza auCentral ambao iko kenya lakini ina ruhusa ya kuamua mambo ambayo inahusu wananchi.Mr. Ali: Haya, twende pole pole. Nitakupeleka pole pole nasema hivi, Pwanikihistoria kulikuwa na British protectorate nakulikuwa na British colony. Wakati wangu utakwishwa kwa hivyo nataka kufupisha. Hii ilikuwa ni british protectorate, ilikuwa nisehemu mbali na british colony kwa hivyo sisi kama protectorate tulikuwa ni sehemu tofauti na tulitoa maoni yetu ya kwambatunataka tuwe kenya moja na wenzetu. Sasa ikiwa wakenya wa sehemu nyingine wale waliokuwa katika kenya colony,hawataki sisi tuwe Majimbo. Sisi tunasema watu waliokuwa katika British protectorate wanataka Majimbo wawe wakitakawasitake.Yaani sehemu ya Pwani inasema hivi, kwamba ikiwa sehemu zile saba yaani mikoa mingine saba wao hawakupendeleaMajimbo basi wao watakaa kama sehemu saba lakini humu kwa Wapwani, kutakuwa ni sehemu ya kenya ndio mapenzi yetulakini itakuwa ni jimbo. Itakuwa ni state under a governor, hapa. Nataka kwenda haraka haraka wakati wangu utakwisha.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!