13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

81administration yule mtu alipata na wananchi waelezewe yule mtu alipata vipi, maanake zile fununu watu wanazungumza eitherhuyo mtu apitie njia nzuri akapata, lakini wananchi wa kawaida hawawezi kuelewa ile kitu ilipatikana vipi.Lakini kama kuna procedure za kuelezewa hii kitu ilipatikana hivi na hivi hutasikia watu wakinung’unika. Kitu ingine, educationile ambayo iko, quarter system is very hopeless. Kwa hivyo serikali igeuze quarter system eti kama ni Kwale High ichukue 85%ya watoto wale wanakaa hapa. Hiyo ndiyo chanzo cha nyumba na skuli kuchomwa na strike. Kwa sababu watoto wale wako, /kunatoka watoto kumi form one na the other year walitoka watano.Those ones are very easy to organize strike in the school. Kuliko watu wamechaganyika. Maanake kama iko hapa Kwale High,it is a provincial school, kama watu wanatoka Meru, wengine wanatoka Kikuyu, wengine Kisumu kuja Kwale High, it is noteasy for these kids to organize a strike kwa sababu wote walitoka kwa hali tofauti na kila mmoja alitoka kwao akijuanimetokaje, lakini wale walitoka kijiji kimoja, ni rahisi kuchoma shule na kugoma na kukataa kusoma na ku-fail. Kwa hivyo hiiquarter system iondolewe kabisa.Na nikiondoka hiyo, nilikuwa nataka kusema, katika religious, tumezungumzia mambo ya watalii kuja hapa. Lakini inakaa watuwa religion, wale ambao ni waislamu wanajua uislamu na wale wakristo wanajua wakristo, njia zile watoto wanavalia nguo,akitoka nyumbani kwako unamwona. Mwislamu anaruhusiwa na si mwislamu yeyote, mtu yeyote haruhusiwi kuvaa nguoambayo inatoka juu ya goti. Lakini mtoto akitoka nyumbani amevaa ndefu sio lakini transparent, akikaa anaonekana suruali yandani na wewe mama pale anatoka na wewe ni mwislamu, wewe ni mkristo. Halafu unaanza kusema mambo ya nguo.Hiyo tungetaka serikali I-set. Kama religious people wataheshimu ile religion ile yao, watoto hawaruhusiwi kuvaa hivyo.Imekuwa wanavaa nguo suruali ndani akitoa ile nguo anatoa anaweka. Haheshimu mungu, haheshimu dini yake na ile watuwatazozana wakisema wameambukizwa na watu fulani lakini sisi wazazi ndio tumewaambukiza. Asante sana.Com. Swazuri: Andika jina lako.Juma: Bwana Don umezungumza vizuri lakini nataka uniweke wazi pahali pamoja. Umesema kwamba chief achaguliwe nawananchi. Elimu yake ianzie form four up to university.Mr. Don: Sheria hairuhusu. Ni Commissioners tu peke yake ndio wanaoruhusiwa kuuliza maswali.Com. Swazuri: Bwana Daima Heri.Mr. Daima Heri: Bwana kamishina na wote mliopo, Salaam aleikum warakba tulai wabarakatu. Mimi kwa jina naitwa Daima

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!