13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

57Bunge- mBunge atengewe muda wa kukutana na kamati maalum kutoa kila ward ama location kutadhmini maendeleo yasehemu hiyo ya uakilishi Bungeni. MBunge akikiuka kanuni hiyo kukutana na wale viongozi ambao kwamba wamechaguliwalocation atolewe Bungeni maanake sasa Bunge anaweza kukaa bila hata kukutana na watu wake na hakuna njia ya kumwondoakwa hivyo kuwekwe vifungu kama hivyo ukutane na watu muda kadha akipatikana kwenye vikao hivyo atolewe.MBunge maalum asiwe mtu aliyeshindwa kisiasa alipigania akaangushwa halafu anachaguliwa na Rais anakuwa waziri. Huku nikufedhehesha wale wananchi ambao walimwangusha. Kwa hivyo asichaguliwe kabisa. Kuwe na kamati maalum ya kutadhminimishahara ya waBunge na marupurupu yao. Umilikaji wa ardhi- wananchi wawe na uwezo wa kumiliki crown land kwauhusiano wa baraza la wilaya ya wilaya. Mtu asiwe na shamba kubwa lenye hekari ya zaidi ya mia moja, kuwe na minimum.Kenya hii kusiwe na mtu ana hekari hamsini ama hekari elfu hamsini na kuna mwingine hana kabisa. Kwa hivyo kiwango cha juukabisa kiwe hekari mia moja kwa kenya nzima kwa yale mashamba makubwa makubwa.Kila mwananchi awe na si chini ya hekari ishirini katika yale mashamba madogo madogo. Unaona mtu anakosa shamba kwasababu shamba lote limechukuliwa na watu wawili katika district nzima. Kwa hivyo kuwe na kiwango maalum. Kadhi mkuuachaguliwena Tumemaalum. Tumehii iwe ni ya watu kutoka kila wilaya humu nchini. Tumeiwe na uwezo wa kupendekeza mtuawe na kiwango ya kupendekeza mtu ambaye kwamba atakuwa Kadhi mkuu na mwenye kupendekeza awe ni kiwango chaelimu, dini awe na sheria ya Kiislamu. Na katika mambo ya kizungu awe na sheria ya kizungu vile vile ya kiingereza na zaidi.Awe muumini na tabia nzuri, sio Kadhi achaguliwe na yeye ndio anakwenda kuzungumza na barabara kama tulivyo wakati huu.Kadhi anakwenda huko anacheza na mabati yaliyowekwa kujengewa nyumba. Umri asiwe chini ya miaka thelathini na tano.Kadhi mkuu akichaguliwa awe na kuanzia miaka thelathini na tano kuendelea mbele. Asiingiliwe kikazi, awe na uhuru wakuamua maswala ya dini bila ya kuingiliwa na serikali. Tumehiyo ya Kadhi iitwe Kadhi service Commission na iwe na mamlakaya ofisi ya Kadhi.Basi ungeniacha nikazungumza kitu kimoja kisha. Nataka kuzungumza kwa upande wa wanawake kwa sababu inaonekana hilijambo la wanawake limetutia matatizo sana. viwango vya uongozi vya wanawake au viwango vya wanawake vya uongozi.Maoni yetu tulikaa tukapitisha ya kwamba mwanamke wa Kiislamu awe na uwezo wa kuongoza mpaka daraja ya makamu waRais. juu kuwe na Rais yeye awe hapa chini. Itakuwa ni dhambi kumsomesha mtoto mpaka afike university halafu umwambieaje awe mwanamke wa jikoni. Itakuwa ni laana. Kwa hivyo tumependekeza sisi kwamba wanawake wa Kiislamu wawezekuongoza mpaka daraja ya makamu wa Rais ama kama kuna Rais awe waziri mkuu. Asanteni. Kuna maswali ama niondoke.Bishop Njoroge: Nataka kukuuliza, hawa watu wana mashamba makubwa na umesema vile ni acre mia moja ikiwa mtuanaweka elfu mbili ungetaka ile ikiondolewa apewe compensation na serikali au anyang’anywe yote bila kupewa chochote.Mr. Ali: Swali lako ni nzuri. Sio kwamba anyang’anywe kwa sababu kumnyang’anya itakuwa ni kumdhulumu. Kufanywekiwango fulani ambacho kwamba atapewa kama ridhaa ya ile sehemu ambayo kwamba imechukuliwa na serikali. Asante.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!