13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

72yawafikie wenyewe.Bahari- bwana Swazuri au bwana kamishina, bahari ndio rasilimali ya watu wa pwani. Ajabu kutokana na hali halisi ya serikalituliyonayo, imeangalia kwa makini kumpokonya mwananchi wa Pwaniuhai wake huu. Inamfuata na bahari mpaka inamzuilia kituambacho hawezi kupata baharini kupata maisha yake kila siku. Kumewekwa Marine Park, kumefanywa nini, ili kumfanya yulemwananchi wa kawaida ambaye kuenda Pwani akapata riziki yake inashindikana, haiwezekani.Lazima tuachie fuazi, bahari tuitumie kwa wale ambao wanaweza kuitumia ili wapate maisha yao. Dini- watu wa Pwaniniwaislamu kama inavyosemekana, 95% ni waislamu lakini ajabu wamechanganywa akili walipoambiwa na serikali kwambawatawekewa chief Kadhi, wakaona kwamba Kadhi ni kiongozi wa serikali. La Kadhi ni Kadhi kama jaji mwingine katika nchi.Tunachotaka waislamu tunataka tupewe jukumu, tupewe nafasi ya kumchagua mufti ambaye atakuwa ni kiongozi wa waislamukwa mambo ya Kiislamu.Serikali ya Majimbo nishapitia hapo, wafanyi kazi, bwana Commissioner, ukweli wa mambo ni kwamba nchi hii ilikuwa badohaijatawala na sasa inaenda kujitawala. Wafanyi kazi mpaka sasa hivi, isitoshe nikilinganisha ndugu zangu waalimuwanahangaishwa na madaktari. Ni kwa maana vyombo vya wafanyi kazi vilifanya harusi na ikulu. Vilifanya ndoa na state thatmeans COTU, KKTC, zote zilifanya ndoa na serikali. Ina maana kwamba mpaka sasa hivi utaona serikali ili-sign agreement yawaalimu kuwalipa mshahara wao na serikali inakataa hiyo hiyo kuonekana kwamba wafanyi kazi hawawezi kuenda kokote.Kwa hivyo twataka wafanyi kazi wawe na vyombo vya kufanya kazi independent. Hii inachukulia pamoja na judiciary. Nafikirikwa hayo machache nisiwe nikaharibu mambo yangu lakini nasema asante sana bwana kamishina na nakuombea mungu hayayote nitayapata baada ya miezi hiyo itakayokuja.Com. Swazuri: Asante sana nenda u-sign jina lako pale.Ali akifuatiwa na Bibi Omar awe tayari.Mr. Ali: Bwana kamishina mimi kuna mengi ambayo yamezungumzwa kuhusiana na mambo ya Majimbo na kila kitu kwa hivyomimi sitazungumza mengi zaidi. Kitu ambacho nitazungumzia mtu ambaye yuatawala. Nataka awe chini ya Katiba asiwe juu yaKatiba asiwe juu ya Katiba na wakati wa Katiba ikiwa sheria itawekwa, tunataka itoe kibali ili Rais ikiwa aweze kuondolewamamlakani kwa kitendo kisichokuwa halali kupitia kwa maoni ya wanachama, wa mikoa na kwa mambo ya usalama, mamboya maendeleo. Katiba pia ipitishe ikiwa sheria itapitisha nchi ndio iliyo na uhusiano kati ya Bunge na Rais.Serikali kuu ikiwa itakuwa sheria, ihakikishe kuwa wakenya wote wanafurahia haki za kimsingi kama vile usalama, hata mali naelimu na mengineo. Na ikiwa Katiba itachukua maoni yangu ni kuwa wakenya wawe na haki ya kupata habari zilizoko mikoani,mikononi mwa serikali au shirika lolote la serikali, ili na sisi pia tupate habari zozote. Na Katiba pia ichukue oni langu kuwawahakikishe kuwa wafanyi kazi wote wana haki ya uakilishi katika vyama vya wafanyaji kazi. Na nitakuwa na maoni yangu

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!