13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

101yetu mpya tungeomba mamlaka ya Rais yapunguzwe vilivyo kwa sababu hayo yamechangia umaskini mkubwa katika nchinyingi. MaRais wapunguziwe uwezo na uwezo urejeshewe Bunge kwa sababu waBunge ni wateule wa wananchi na kwa hivyomaoni mengi na kazi nyingi za wananchi zinapitishwa kwa waBunge. WaBunge wapewe mamlaka ya kujitawala huru na uongoziwa Rais kwa sababu kama sasa Bunge letu linafanya kazi kidogo sana kwa sababu Rais mara kwa mara anaingilia kazi zao.Anapokuwa na harambee anawabeba waBunge, hawafanyi kazi ya wananchi. kwa hivyo Bunge lipewe uhuru kamili mbali nauongozi ule wa serikali zilizoko mamlakani.Mahakama- kuna mahakama za wazee ambazo ambazo zinatumika zikiumia kutuchukua mzigo mkuu wa kuweka amani katikamiji na mitaa lakini hazitambuliki kiserikali. Zinatambulika tu kijina. Tungeomba Katiba mpya ikumbuke hizi mahakama za wazeezilizoko manyumbani ziwalipe mshahara na kuwatambua kama mahakama zingine kubwa zilizoko mamlakani sasa.Com. Baraza: Zinafanya kazi gani?Mr. Solomon: Zinatatua matatizo ya ugonjwa wa jamii kama sasa unakuta ugomvi wa mipaka ya mashamba, ugomvi wa vitavya nyumbani vya mabibi na mabwana, visa kama vya utunganaji wa mimba wa watoto. Kesi nyingi kama hizi hutatuliwa na haowazee lakini hawatambuliki. Na utakuta hata saa nyingine wanashtakiwa kwa mapolisi kwa mapolisi, wanatatizwa nawamepitishwa hukumu za kisawa na wananchi wanaishi kwa upendo. Kwa hivyo serikali hii inayokuja sasa tungependaiwatambue na itambue hizi mahakama.Serikali za mitaa- tungependa mayor achaguliwe na wananchi na naibu wake kwa kipindi cha miaka minne. Awe alikuwa mzurikupita kiasi, awe alitenda maovu lakini miaka minne ikiisha apishe mwenzake naye akiye ujuzi wake katika kuendeleza sehemuhiyo. Elimu- elimu ya wananchi tungependa elimu ya msingi hadi ya upili iwe ya bure. Ichangiwe na kuangaliwa na serikali katikahali zake zote. Kuanzia mavazi na mahitaji yote ya wanafunzi hadi viwango hivyo vya shule ya upili.Kura ya maoni- tungependa wananchi wapewe mauwezo, mkuu wa kuchagua Rais kama hawajaridhika na maongozi yake hatakama amechaguliwa kwa kura nyingi lakini uongozi wake umeonekana haufai, wananchi wawe na uwezo wa kutoa kura yaimani, kuchagua ama kuamua uendelezaji wa kazi ya Rais huyo, mBunge na hata diwani.Haki za ardhi- tungependa wakuu wa wilaya watolewe kama wenyekiti wa Tumehizi za ardhi kwa sababu mara nyingi wengiwamechangia kupoteza ardhi. Wao ndio wenye viti lakini utakuta mara nyingi ardhi nyingi zinatolewa kimagendo, nyinginezinatoa miradi ambayo haifanikiwi na ardhi zinapotea na wananchi wanateseka na kuitwa masquatter hali kuna ardhizilizokuwako zikatumiwa kimakosa.Mali ya asili- kama mfano madini na sehemu zingine kama bahari, mara nyingi zimekuwa zinatesa wananchi kwa sababu yakuwa zimeingiliwa na serikali, zinafunguliwa miradi halafu mwananchi yule mzaliwa wa hapo sehemu hiyo anatengwa na serikali

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!