100elimu ya kutosha. Kwa hivyo ni lazima tupewe Majimbo yetu. Majimbo iliambiwa baada ya miaka mitano watu wawe naMajimbo au miaka kumi. Miaka kumi ilipokwisha mambo yakaharibika. Kwa hivyo sasa ni muhimu tupewe jimbo letu,wakataka wengi, wasitake wengi lakini sisi watu wa Pwanitunataka jimbo letu.Hatukatai wageni kutoka nje ya sisi lakini kwa heshima, tusiogopane tuheshimiane, tupendane. Hizo nguzo nne nasema hukoziambiwe na zijulikane hizo nguzo nne. Kuna nguzo nne ya kwanza kupendana. Pili, ni kukutana hizo mziandike zieleweke nisheria ya kenya itakayotungwa leo hapa.Ya tatu, ni kukutana, ya nne, ni kuzungumza kama hivi kushauriana. Kama tulikuwa hatupendani hatungekutana, na kamahatukutani hatungekuwa hatushauriani, na kama hatushauriani, hatufanyi. Kufafanua hizo nguzo nne za Majimbo. Leo sisi tukohapa twataka Majimbo tumiliki mali zetu bahari, mahoteli, kila kitu kilicho juu ya ardhi na ndani ya ardhi.Narudi hapo kwenye machifu. Machifu wachaguliwe na wananchi wenyewe. Tena chief huyo awe aliposoma alipitia kamamwalimu, alitumia hiyo kazi ya jumuia. Asichukuliwe chifu amesoma tu analetwa hapo ndani. Wawe wametoka kwenyewaalimu, sasa nataka huo uchifu lakini si awe alicheza mpira ama alikuwa mtu wa sarakasi kwa sababu alisoma kwa sababualisoma aje ahudumu wananchi.Chifu awe na umri wa miaka thelathini na tano mpaka hamsini atakuwa amechoka huyo chifu. Kwa sababu chifu naye piaachaguliwe na wananchi. ikiwa hatachaguliwa apewe transfer kama vile DO anavyopewa transfer akapate elimu kwa nchinyingine, aje aongoze wananchi. mBunge naye huyo mBunge akichaguliwa awe na wenzake awajue wananchi ni akina naniwalionichagua awajue wananchi walionichagua kwa sababu hao ndio matajiri zake na wafanye mikutano kujua wananchiwanataka nini. Asije akawa anangojea wakati wa kura ndio aone wananchi. Pia kwa upande wa akina mama. Akina mamawasinyanyaswe na mabwana. Wawe hiyo inaitwa hiyo kikundi. Lakini kikundi kiwe ni cha bwana na bibi kwanza, maendeleoyatoke mle ndani ya nyumba.Urithi kwa bwana upatikane kwa bibi na watoto wake. Kwa mama hiari na kwa baba ni hiari. Bado, kuna kitu sijasema.Asichapwe makofi, achapwe kwa maneno tu, kwa maelewano. Kama nilikosa kuchapwa huko, akinichapa nitasikia lini.Muhimu ni Majimbo, tupate Majimbo yetu, tusinyanyaswe, tusipigwe, tusikae mtu anasema naweka spare, hakuna sparenasema serikali hii isiwe na spare bwana nje. Ukimtongoza mume akitongoza bibi awe ana hakika atamuoa. Hii ndio inaletwaukimwi, hii spare. Asante.Com. Swazuri: Solomon Kuba. Atafuatiwa na Mohammed.Mr. Solomon: Makamishina, wananchi wenzangu hamjambo. Maoni yangu niliyokuja kutoa hapa katika kuchangia Katiba
101yetu mpya tungeomba mamlaka ya Rais yapunguzwe vilivyo kwa sababu hayo yamechangia umaskini mkubwa katika nchinyingi. MaRais wapunguziwe uwezo na uwezo urejeshewe Bunge kwa sababu waBunge ni wateule wa wananchi na kwa hivyomaoni mengi na kazi nyingi za wananchi zinapitishwa kwa waBunge. WaBunge wapewe mamlaka ya kujitawala huru na uongoziwa Rais kwa sababu kama sasa Bunge letu linafanya kazi kidogo sana kwa sababu Rais mara kwa mara anaingilia kazi zao.Anapokuwa na harambee anawabeba waBunge, hawafanyi kazi ya wananchi. kwa hivyo Bunge lipewe uhuru kamili mbali nauongozi ule wa serikali zilizoko mamlakani.Mahakama- kuna mahakama za wazee ambazo ambazo zinatumika zikiumia kutuchukua mzigo mkuu wa kuweka amani katikamiji na mitaa lakini hazitambuliki kiserikali. Zinatambulika tu kijina. Tungeomba Katiba mpya ikumbuke hizi mahakama za wazeezilizoko manyumbani ziwalipe mshahara na kuwatambua kama mahakama zingine kubwa zilizoko mamlakani sasa.Com. Baraza: Zinafanya kazi gani?Mr. Solomon: Zinatatua matatizo ya ugonjwa wa jamii kama sasa unakuta ugomvi wa mipaka ya mashamba, ugomvi wa vitavya nyumbani vya mabibi na mabwana, visa kama vya utunganaji wa mimba wa watoto. Kesi nyingi kama hizi hutatuliwa na haowazee lakini hawatambuliki. Na utakuta hata saa nyingine wanashtakiwa kwa mapolisi kwa mapolisi, wanatatizwa nawamepitishwa hukumu za kisawa na wananchi wanaishi kwa upendo. Kwa hivyo serikali hii inayokuja sasa tungependaiwatambue na itambue hizi mahakama.Serikali za mitaa- tungependa mayor achaguliwe na wananchi na naibu wake kwa kipindi cha miaka minne. Awe alikuwa mzurikupita kiasi, awe alitenda maovu lakini miaka minne ikiisha apishe mwenzake naye akiye ujuzi wake katika kuendeleza sehemuhiyo. Elimu- elimu ya wananchi tungependa elimu ya msingi hadi ya upili iwe ya bure. Ichangiwe na kuangaliwa na serikali katikahali zake zote. Kuanzia mavazi na mahitaji yote ya wanafunzi hadi viwango hivyo vya shule ya upili.Kura ya maoni- tungependa wananchi wapewe mauwezo, mkuu wa kuchagua Rais kama hawajaridhika na maongozi yake hatakama amechaguliwa kwa kura nyingi lakini uongozi wake umeonekana haufai, wananchi wawe na uwezo wa kutoa kura yaimani, kuchagua ama kuamua uendelezaji wa kazi ya Rais huyo, mBunge na hata diwani.Haki za ardhi- tungependa wakuu wa wilaya watolewe kama wenyekiti wa Tumehizi za ardhi kwa sababu mara nyingi wengiwamechangia kupoteza ardhi. Wao ndio wenye viti lakini utakuta mara nyingi ardhi nyingi zinatolewa kimagendo, nyinginezinatoa miradi ambayo haifanikiwi na ardhi zinapotea na wananchi wanateseka na kuitwa masquatter hali kuna ardhizilizokuwako zikatumiwa kimakosa.Mali ya asili- kama mfano madini na sehemu zingine kama bahari, mara nyingi zimekuwa zinatesa wananchi kwa sababu yakuwa zimeingiliwa na serikali, zinafunguliwa miradi halafu mwananchi yule mzaliwa wa hapo sehemu hiyo anatengwa na serikali
- Page 45:
VERBATIM REPORT OF45
- Page 50 and 51: 50ONMAY 3, 2002.CONSTITUENCY PUBLIC
- Page 52 and 53: 52watu wenyewe walio na jimbo mapat
- Page 54 and 55: 54kinyume cha yule aliyemchagua. Un
- Page 56 and 57: 56machache asante sana.Com. Swazuri
- Page 58 and 59: 58Com. Swazuri: Andika jina lako pa
- Page 60 and 61: 60kuna uwezekano kuwa mwananchi yul
- Page 62 and 63: 62ardhi kwani hakuna mtu yeyote amb
- Page 64 and 65: 64kuu zetu watu wetu waende nyumban
- Page 66 and 67: 66imekuwa na shida zile tuko nazo k
- Page 68 and 69: 68Kwanza langu mimi nitazungumzia k
- Page 70 and 71: 70chama ambacho hakijasajiliwa keny
- Page 72 and 73: 72yawafikie wenyewe.Bahari- bwana S
- Page 74 and 75: 74Serikali iwe na makao ya wazee ma
- Page 76 and 77: 76Mrs. Juma: Bwana kamishina, Bi. K
- Page 78 and 79: 78Mr. Salim: Bwana kamishina, akina
- Page 80 and 81: 8090 and 120 kwa sababu nasema hivi
- Page 82 and 83: 82Heri, mkenya kutoka mkoa wa Pwani
- Page 84 and 85: 84Mr. Daima: Itapata the same testi
- Page 86 and 87: 86Kama ilivyo desturi ya serikali y
- Page 88 and 89: 88me understand this. ‘Mr. Ali: A
- Page 90 and 91: 90Serikali- tumesema twataka serika
- Page 92 and 93: 92uhuru.Com. Baraza: Na kama ni ser
- Page 94 and 95: 94I say, the constitution of kenya
- Page 96 and 97: 96Sisi vina, sauti ya umma tunacho
- Page 98 and 99: 98Com. Swazuri: Asante sana, nenda
- Page 102 and 103: 102na anakosa kunufaika na ile ardh
- Page 104 and 105: 104village anamshinda mBunge, chair
- Page 106 and 107: 106Katika hizi uongozi iwe vile vil
- Page 108 and 109: 108Mrs. Mwanakombo: Hata kama anaju
- Page 110 and 111: 110Mr. Mwakungu: Hatuwezi kuuza kwa
- Page 112 and 113: 112issue kama ya national identity
- Page 114 and 115: 114kwa vile mimi ni mama, watoto pi
- Page 116 and 117: 116Tunataka katika Katiba hii mpya,
- Page 118 and 119: 118industry yoyote. Kwa hivyo all f
- Page 120 and 121: 120ambazo zilikuwa bado ni trust, w
- Page 122 and 123: 122mambo yote yawe sawa.Com. Swazur
- Page 124 and 125: 124Ikiwa wa hamu moja ni kama miaka
- Page 126 and 127: 126Makamishina hili jambo liwekwe k
- Page 128 and 129: 128wakati mmoja kwa sababu itakuwa
- Page 130: 130mtu. Lakini waislamu yetu ni Iju