13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

116Tunataka katika Katiba hii mpya, Katiba isambazwe kote nchini na ifundishwe hata shuleni ili tuijue Katiba yetu kuanziamashinani. Asanteni.Com. Swazuri: Amin Ali.Mr. Ali: Bwana kamishina, mabibi na mabwana salaam aleikum. Katika Katiba ya kenya tumewahi kuwa na Katiba ya kenyamoja kutoka sitini na tatu mpaka wakati huu. Katiba hii ilikuwa ni ya unitary ambayo tumeweza kuona vituko vingi vyaunyanyasaji wa ardhi, wizi, abuse of office na kunyang’anywa mashamba yetu. Katika wakati huu tunataka tujaribu utawala wakimajimbo. Mimi nimejiandaa kuwa na memorandum lakini nitaigusia sehemu kidogo kidogo kwa sababu sehemu nyingizimeguswa. Katika katika Katiba ya leo tunajaribu kuona kuwa asilimia sitini na tano ya Katiba ikiwa kuna uwezekano wakubadilishwa iwe imepata vote yaani wananchi waulizwe asilimia sitini na tano wananchi wakubali Katiba kubadilishwa ama la.asili mia sitini na tano ikikubalika, inaweza kuingizwa Bunge na asilimia mbili ama tatu ya Bunge ikikubali kubadilishwa Katiba hiiiwe imepita. Hayo mabadiliko yawe katika hiyo kiwango fulani cha katiba.Citizenship- katika kenya tuko na kama makabila arobaini na mbili. Ningeliomba makabila haya yote bila ya kuulizwa ulizaliwana nani ama nani iwe ni automatic citizenship. Na wale wenye kuja kutoka kwa nchi fulani waombe citizenship kupitia kwaimmigration office na wawe hawana mamlaka ya either kumiliki ardhi moja kwa moja ama kuingia kwenye siasa moja kwamoja.Nitazungumza kuhusu defence and security- twazungumza kuhusu defence and security katika serikali ya Majimbo CentralGovernmentitakuwa ikimiliki army, navy na air force na regional government itakuwa ina huduma za polisi wao wenyewe kwahivyo kila jimbo litakuwa na polisi wake baadaye polisi bora katika kila jimbo watachaguliwa equal numbers wa kila jimbowatengeneze central police court ambayo itakuwa ni ya Central Governmentili kuweza kufanya kazi pamoja na nchi za nje.Hawa navy, central police code pamoja na army watakuwa chini ya Central Governmentambayo itakuwa under the primeminister. Political parties – ni ubora katika kenya kwa vile iko na makabila mengi si ubora kuwa kabila iwe na chama chake chakisiasa. Kwa hivyo ni ubora kuwa vyama vya kisiasa visizidi kumi na viwili. Kwa hivyo Katiba iruhusu vyama visizidi kumi naviwili katika siasa.Mawaziri – Prime Minister ndiye atakayechukua jukumu la serikali, itakuwa ni kazi yake kutoa majina au kukisia majinaambayo yatakuwa ni ministers ambapo majina yale kabla hajakuwa appointed ama kwa mfano yawe vetted na regionalprovinces. Kwa hivyo kila jina la waziri lirudishwe kwa regional ili lipate vetting asije akajipandishia minister ambaye he is socorrupt kiasi cha kuwa either ni kabila lake, ni jirani yake ama pana undugu ndani. Kwa hivyo kila mtu ambaye anachukua uaziriawe vetted na province zote nane ama kumi.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!