13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

99Tukija upande wa wapigaji kura, tungependa hawa wapigaji kura wote wapige kura mahali walipozaliwa. Hii hupunguzaununuaji wa kura. Kuna wengine wana pesa kununua kura, wengine hawana na ni viongozi bora. Kwa hivyo kila mpigaji kuratwapendelea Katiba hii, mpigaji kura apige kura katika mahali alipozaliwa.Tukija kwa upande wa stakabadhi, tungependa kuwe na uwazi baina ya mwanamke na mume na watoto wake. Hii nikifafanuakuwa upande wa title deed mwanamume akinunua shamba majina matatus yaweko. La bwana, la bibi na la mtoto kama mtotoyuko kama hayuko, liwe la bwana na la bibi. Bibi akinunua shamba liwe la bwana na bibi.Upande wa stakabadhi za kazi kuna mambo ya next of kin. Hii ijulikane kuwa bibi anajua yeye ni next of kin of bwanake. Nabwana naye ajue next of kin wa bibi yake. halafu kwenye malipo ya uzeeni, bibi lazima ajue kuwa incase bwanangu akufemapema mimi ndio mrithi wa malipo ya uzeeni. Na bwana naye hali kadhalika ajue kuwa bibi yake pia ni next of kin. Kunamabwana wengine huwa na bibi pale nyumbani na watoto lakini bibi hajui next of kin ni nani. Incase atakufa mapema kumbenext of kin wake ni mama yake. hatutaki Katiba ya sasa.Upande wa urithi, twapendelea kuwa, mtoto anayezaliwa nje ya ndoa arithi mali ya mama yake lakini asirithi mali ya baba. Namwanamke wa nje ya ndoa pia asirithi mali ya mume yule. Kwa hivyo ikiwa mmeamua hamtaoana mtakaa hivi hivi wewe mkebaada ya mume akifa usirithi ile mali. Na ikiwa kutatokea mtoto ambaye alitokana na zinaa, asirithi mali ya yule baba, arithi maliya mamake peke yake.Nitamalizia upande wa utawala. Tungependelea la mwisho kuwa machifu tuwachague kwa mlolongo na pia wazee wa mitaa.Kwa hayo machache nasema asante.Com. Swazuri: Tunamtaka mama Mwanarusi akifuatiwa na Zolo Muma awe tayari.Mrs. Mwanarusi: (Arabic) Bismilahi Rahman Rahim. Salaam aleikum warakba tulai ta Allah wabarakatu. Mimi kwa jinanaitwa Mwanarusi Rashid Indago kutoka Gombeni sublocation Gombeni location. Maoni yangu nasema muhimu natakaMajimbo na singetaka Majimbo ni kumiliki ardhi yangu kama mwananchi wa hapa Pwani ama mzaliwa. Nataka Majimbo kwasababu ya ardhi nimiliki kutoka hapa niliposimama mpaka chini.Nataka Majimbo nami nijisikie kwamba hapa pamezaliwa nani na nani mpaka ikafikia mimi. Ikiwa leo hii nimesimama hapa tuniko hapa hapa juu juu lakini chini ya ardhi kukipitika ni kitu sicho changu. Hiyo ndio sababu nikataka Majimbo nimiliki vilivyoPwanikama mwananchi wa pwani.Nikirudia hapo, nasema hivi, sisi twasema hatuna elimu. Twataka Majimbo lakini hatuna elimu. Hatuna elimu vipi.nikisema hapapwani, diploma zimelala kwa mifuko, ma-pilot tunao. Wakati huo tulipata uhuru tulikuwa sisi hatuna elimu lakini sasa tunayo

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!