13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

103Na katika mahakama ya Katiba napendelea katika Katiba hii kuwa na mahakama ya Katiba kwa sababu councillor hatumtakisisi au mBunge hatumtaki tutaenda wapi. Pale ambapo kwamba tutaende kumshtaki ni wapi ili tumrejeshe nyumbani maanaKatiba inatueleza hivi. Kwa hivyo mahakama ya Katiba iwekwe ambayo itaongoza nchi taasisi iongoze jimbo na katika afisi zijempaka katika ma-location. Ikiwa watu wa location ile councillor wao hawamtaki, moja kwa moja waenda ku-file kesi katikaofisi yao ya mahakama. Hiyo ndio itakayokuwa jinsi ya councillor kumrudisha nyumbani lakini ikiwa tutaimba tu lakinimahakama hayo hakuna tutakuwa hatutafanya lolote. Kwa hivyo ninaunga mkono katika kuiunda Katiba hii mchango wangukuwe na mahakama ya Katiba ili tufafanushie wale ambao kwamba hatuwapendi na tuwarejeshe katika uongozi wao haufai basituwe tunawarejesha nyumbani kwa usalama na urahisi.Kisha naingilia katika ukosefu wa masoko katika pwani, hasa katika jumla hii nachangia wale wenzangu ambao wamesemaMajimbo. Hivi mabwana makamishina, tukishuka hapa chini mabarabarani ikiwa twaelekea Mombasa, hapo barabara kuwe namlima. Pana majengo ambayo yalikuwa yajengwe sijui mitambo ya korosho, kuna majengo sehemu zingine ambayo ilikuwa nimiwa, kuna majengo mengi ambayo ni yamepatikaniwa katika wakati wa ukoloni huko. Mengine ni wakati huu wa serikaliambayo tunayo lakini mpaka dakika hii hakuna lolote.Tukiangalia kuna maua tu, pareto. Nayo pia yana masoko na hali nyingi kubwa kabisa huko. Ndio maana wenzanguwamechangia Majimbo na mimi ninachangia Majimbo kwa sababu Pwani imerushwa mno. Sehemu ambazo kwamba tulikuwatusomeshewe sisi, umri huu nilio nao either kama lau kama sukari ingekuwapo, bigza ingekuwapo na viwanda vinginevyo.Nisingelishilia kwenda darasa la nane au darasa la form four, ningelikuwa ninapiga hatua zaidi lakini sababu ya kuwa umaskiniumepatikana pwani. Serikali iliyopo ilituacha kabisa kabisa mpaka zile rasilimali za kuleta pato la kuweza kutusomesha sisi piawakabwaga kabisa ili Pwani awe ni mtu wa kuongozwa milele kama alivyosema mwenzangu aliyepita.Naingia katika elimu ya dunia. Ndio sababu iliyopatikana sisi mpaka dakika niliyoingia hapa makamishina anawaambia yakwamba tuwe sisi tunapawa Majimbo yetu kwa sababu rasilimali kubwa ya kenya hii inatoka katika sehemu ya Pwanilakinimpaka dakika hii tunaangalia university hatuna national school hatuna, training colleges kwa aina mbali mbali tumeachiwa tukiji-training college cha ualimu kile kitatufanya nini.Yaani watu wa Pwaniwaende hapo wakasomee huo u-teacher tu lakini udaktari hatuna, utalii hatuna, kila jambo hatuna ila uweunaenda huko huko juu na huko juu nako mpaka ukafanye kuangaliwa huyo ni nani, ni Joseph Maitha, ni Joseph nani lakiniikiwa ni Bakari Hamisi, mtu huyo anawekwa kando. Tumekuja hapa kuitunga katiba, ama katika maelezo yake. Naendeleakuwaelezea, usaidizi wa wazee wetu wazee ambao kwamba either wawe wahuduma wa kuhudumu katika serikali. Wana miakasitini sabini hawana sehemu za chumo. Serikali iangalie. Wapewe chumo hao.Na vile vile, wazee wa vijiji, machairman village, hawa watu wana kazi kubwa. Chairman village anamshinda Rais, chairman

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!