13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

53Com. Swazuri: Said Mwakafani. Nenda pale mzee uandike.Mr. Said: Bwana chairman, mimi kwa jina ni naitwa Said Ramadhani Mwakafani. Maoni yangu ni kama yafuatavyo. Kwanzanaiomba Katiba katika serikali apawe chief Kadhi mamlaka ambayo yatamwezesha kufanya kazi zake kama wale majajiwengine katika ngazi yake. kinyume cha sasa ambacho kwamba Kadhi yule anachaguliwa kwanza na kazi zake ni mbili ama nitatu. Ya kuoza, ya kutalaki na kuridhisha ambapo maswala mengine yote ya Kiislamu hayaangalii na tumo katika mwongozo waKiislamu katika Korani tunaambiwa ya kwamba waislamu wamwamini Mwenyezi Mungu na MTumena wenyewe amri juu yao.Na mwenye amri juu yetu ni chief Kadhi basi naomba awe na mamlaka kamili. Pili, serikali naiomba iwape waislamu katika haliya kuabudu kisawasawa tofauti ya kwamba, iwapo wengine wanabaguliwa na wengine hawabaguliwi kwa mfano kupawa kibalicha kuendesha mambo fulani.Com. Swazuri: Fafanua hapo.Mr. Said: Hapo nafafanua kusema kwamba iwapo pengine ni kongamano la waislamu wanataka kufanya mambo fulani, kunamshikili mshikili, yaani wanazuiliwazuiliwa kiasi cha kwamba wanafikiriwa kana kwamba wao watazungumza kinyume chaserikali kwa hivyo wao wenyewe wanachukuliwa kama raia wale halisi na watu wengine wa madhehebu tofauti tofauti.Tatu, ni kwamba waislamu wanaomba ama ninaomba Katiba iondoe ile sheria inayofanya mwanamke awe sawa namwanamume kwa sababu inapinga Korani tukufu sura ya nne, aya ya thelathini na nne ambapo mume amepawa jukumu kulikomwanamke. Tatu, tunaomba Katiba hii ibadilishwe iwe ya kimajimbo kama ifuatavyo; Wale walioko katika jimbo, waandikishewawe katika sehemu ile wakijulikana ni wangapi bila mtu yeyote kufukuzwa lakini wawe na mamlaka maalum ambapo waowenyewe watayakalia halafu wawe wanachagua wajumbe ambao watakwenda katika serikali kuu yaani central government.katika mapato yanayopatikana pale wale walioandikishwa pale kama raia wa jimbo lile wawe ndio wanaweza kufaidika, 75% iliwafanye mambo yao. Hivyo hivyo kuwe na uhuru kwamba pakipatikana pengine watu fulani wanatakikana wafanye kazi katikajimbo hili kutoka jimbo jingine kuwe na uhuru wa kufanya hivyo kama vile serikali inavyowachukua watu kutoka sehemu za nchizingine kuja kutoa ujuzi hapa kwetu. Kwa hivyo rasilimali zote zinakuwa ziko chini na sheria zote zinakuwa ziko chini ya walewalioandikishwa. Na iwapo pengine wengine katika Majimbo mengine hawataki, sisi Wapwanituwe kama vile Tanzania naZanzibari. Sisi Wapwanitupate letu na wale watanzania walivyo nao wawe na sehemu zao. Hayo ni maoni ambayo ningependaTumehii iweze kuchukua.Katika mamlaka ya ardhi, kuna yule raia ambaye ni mzaliwa na yule raia ambaye amechukua kibali. Yule mzaliwa aangaliwezaidi kuliko yule ambaye amechukua kibali kwa sababu kizazi chake chote kimetoka pale na apawe priority ya kwanza katikahali ardhi. Napenda pia kuzungumzia kwamba, Rais ambaye atachaguliwa asiwe na mamlaka ya moja kwa moja ya kwa mfanowa kulivunja Bunge, pili kuwachagua makamishina wa Tumembalimbali na kuwachagua majaji bali kazi hizo tatu nilizozitaja ziwechini ya mamlaka ya Bunge na kamati ya Bunge kwa sababu ikiwa atachaguliwa na Rais, Commission ile haitakwenda zaidi ama

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!