13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

93anaweza kuzungumza kiingereza fluently.Bishop Kariuki: Umesema ya kwamba yarudie wenyewe. Yaani yale yalinyakuliwa kutoka kwa wenyewe yaregeshwe. Atleast ningetaka useme yakirudi kwa wenyewe yasichukuliwe na governor yapewe wenyewe. Kwa sababu inaweza kurudi kwagovernor, governor apatie watu wake.Mr. Omari: Pia kwa kuongezea mfumo unaoendelea shamba iko gombeni lakini inagawanywa hapa kwa meza. Kwa hivyo niwatu wale wako gombeni wakae wajue hii shamba ni ya ukoo gani na itagawanywa ipewe nani? Wazee wa gombeni, ukoommoja unatoa maDC kumi na hapa DC mmoja hatoki, hiyo itakuwa sasa. Asante sana.Mr. Ngati: Kwa majina naitwa Jackson Ngati, ni civic provider. Maoni yangu ni kuhusu, ninaonelea Katiba ipunguze uwezo namamlaka ya Rais na pili kuwe na serikali ya Majimbo. Na kila jimbo liweze kutawalwa na mtu mweusi. Tatu Bunge liwe nauwezo wa kipimo. Nne, umri wa kugombea viti vya uRais na uBunge iwe miaka arobaini na tano mpaka hamsini.Umri wa kugombea viti vya uRais na uBunge ni miaka arobaini na tano mpaka sitini na tano. Umri wa kupiga kura ni miakakumi na minane na kuendelea. Sita, waBunge wafanye kazi kulingana na utaratibu wa wananchi wala sio wao.Saba, marupurupu yatolewe kabisa ibaki mshahara pekee. / ya waBunge na madiwani maalum itolewe. Haki za binadamu –Katiba ilinde haki ya binadamu kwa kuwapatia maji safi, matibabu ya bure, shule ziwe hali ya juu na tuwe na barabara safi.Rasilimali- bandari, msitu, viwanda na mbuga za wanyama vitunufaishe sisi watu wa Pwanina hiyo inaweza kupata asilimiathemanini.Viwanda vyetu viweze kufufuliwa, hiyo ni ramisi, kilifi, kenya bidza na msambweni coconut development na tuwe na vifaa vyakisasa vya kulima na vya kunyunyizia mashamba yetu maji.Ardhi- zisiuzwe bila kamati kukaa. Shamba za ukoo zisiuzwe. Kuwe na adhabu kwa wenye kuharibu mazingira. Lugha za kigenizifundishwe kutoka primary school mpaka secondary school. Hiyo ni kizungu, kijerumani pia tuwe na computer ifundishwe pia.Ingine machifu wachaguliwe kwa muda wa miaka mitano. Hiyo ndio maoni yangu.Com. Swazuri: Asante sana. Mzee Kanda.Mr. Jasper: Commissioners, ladies and gentlemen, distinguished guests, how are you? This is mzee Jasper, Kenya Society ofthe Physically Handicapped community based rehabilitation coordinator coast branch. I am here representing my views fordisabled people.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!