13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

102na anakosa kunufaika na ile ardhi ambayo Mungu mwenyewe amemjalia kuzaliwa pale ili anufaike na mazingira yale aliyo nayo.Kwa mfano kama madini utakuta viongozi wa kiserikali hata wakisiasa, utakuta mbinu nyingi za kuvuruga wananchi, kuondoakisababu za hila kama sehemu wamegundua zina madini na kukosa kunufaika wale wananchi wazaliwa wa pale ambao Mungumwenyewe amewajalia yale madini wanufaike. Kwa hivyo tungependa jamii zinazotoka sehemu zile ambazo zimegunduliwamadini na mali zingine za asili zifaidi wale wale watu.Serikali ichukue kodi kama inataka lakini isiwakoseshe wale haki zao ambazo Mungu amewabarikia. Kwa hivyo kama dakikaimebakia hapo nashukuru na hayo machache, asanteni sana.Com. Swazuri: Asanteni sana. Mohammed sheikh. Atafuatiwa na Fatuma Mwamakeba.Mr. Mohammed: Commissioners na wananchi wapendwa salaam aleikum. Nashukuru kupata hali kama hii ya kuelezea katikamchango wa katiba. Wenzangu ambao wamepitia wameelezea mengi na nimeyaunga mkono yote yale ambayo kwambayamepita. Nami pia nina machache yangu ambayo ninaweza kuchangia ndani yake na kisha baadaye mengi sana nitayatoa kulekwa ajili ya maelezo ya ziada.Katika upande wangu naingia kwanza katika upande wa ma-chief Kadhi. Mamlaka yao yazidishwe. Badala ya kuhukumu tundoa na talaka, waweke katika mamlaka yao yawe na uwezo zaidi. Ikiwa kuna mtu masalani ni mwislamu na ameua mwenzakekwa kusudia, jambo hilo ndani ya dini linapatikana hukumu zake. Ikiwa ameua kwa kusudia katika kiserikali lazima ipitishwehukumu na hukumu hiyo inaafikiana na Kadhi katika mamlaka ya kidini, basi arejeshwe mwenyewe Kadhi ili mambo haya yaweyanaweza waislamu nao kujihumudu. Kuwe na mahakama hizo ziada ambazo zitakuwa mahakama hizi zitahukumu sisi ambaokwamba tuna imani kama za dini. Malasani katika ukubwa kabisa kuhusu habari ya mambo mengi yameelezewa kama urithi namengineo. Ndani ya dini yameelezwa kwa wingi sana lakini mpaka dakika hii nastaajabu ikiwa akina mama wanasema ya kuwaurithi uwe sawasawa ndani ya (a) ama ndani ya vitabu vya Mwenyezi Mungu vimeeleza urithi wa akina mama. Sasa jambokama hili ndilo ambalo kwamba linalotuletea katika hali ambayo sio.Pili ninaingia katika upande wa elimu. Elimu, sababu yote ya kuona mambo haya ya kuwa kwmaba sisi tunahitajia mambo yaurathi, yaani tuwe sawasawa katika waume na wake, haya yote ni kwa sababu ya elimu ya taaluma ya dini haijawa katikasehemu zetu na sababu hiyo serikali iliachana na kuna mambo ya elimu ya kidini na ambayo mambo haya yangelikuwa lau kamakungelikuwa na ajira ya kuwalipa katika masomo ya dini na ndivyo inavyohitajia katika Katiba hii iwakilishwe, Katiba hiiipitishwe ya kuwa masomo ya dini katika ukristo, katika uislamu, katika dini hizo na ikiwa kuna nyinginezo ambazozitakubalikana katika kisheria, serikali pia nayo isimamie katika ajira hizo, elimu hizo zifundishwe, ili watu wajue sheria za diniyao katika hukumu aina mbali mbali kwa sababu ninaona katika kuangalia kwangu kumekuwa na upungufu wa hali ni kama hiyona hayo mambo yote yameelezwa ndani ya Korani hata katika biblia.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!