13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

111na watu ambao wameketi hapa na wakazungumza na yote yaliyozungumza ni yangu mimi. Kwa hivyo mimi ninatia mkazo.Majimbo bwana. Asante. Kwani kati ya nyinyi hapo, hamtaki Majimbo? Mimi najua mzee pale pengine alikuwa na wasiwasikabila mbili bwana ndizo ambazo hazitaki Majimbo katika kenya na mkiniambia nitaje nitataja. Kikuyu na mkamba. Jaluo hananeno.Com. Swazuri: Atafuatiwa na Ali.Mr. Ali: Bwana kamishina, wakwale wenzangu mabibi na mabwana salaam aleikum. Kamishina wetu nafikiri kitu cha kwanzaambacho tunahitaji kirekebishwe katika hii Katiba mpya ni uwezo wa Rais upunguzwe halafu serikali iwe ya Majimbo kwasababu hii ndio dawa pekee ya Wapwani. Hii ndio itatibu ugonjwa wa elimu, ugonjwa wa ardhi, ugonjwa wa kazi, ugonjwa wamakao na ugonjwa wa maendeleo na ni hali hii hii ya utawala wa Majimbo ama serikali ya Majimbo ikiwa itakubaliwa ndioitafanya DDC iwe na maana kwa sababu DDC ilikuwa introduced kutupumbaza sisi watu wa Pwanikwa sababu ile compositionya members wa DDC 95% ya departmental heads ambapo hutapata watu wa pwani, utapata ni watu wa bara na interest zaohaziko hapa pwani. Kwa hiyo wakati ukipeleka mapendekezo yenu kama wakaaji wa Kwale ama watu wa Pwanikwa sababumajority ya wale members wa DDC ni watu wa kutoka nje hawayatilii maanani na hata ikifikia wakati wakupatia ile miradipriority utakuta wenyeji ambao ni indigenous ambao ni members wa DDC watashindwa kwa sababu ni simple minority siosimple majority.Kwa hivyo kila atakayesimama hata hawa waliokuja hapa hata wale walioko nyumbani ukiwauliza rai yao kuhusu mwongozoama serikali wanayoitaka watakuambia ni Majimbo kwa sababu wanakuta hiyo peke yake ndio itakuwa ni dawa kutokana namatatizo walio nayo hapa Pwanitangu ukoloni mpaka tumepata uhuru lakini hakuna mafanikio yoyote. Nafikiri mpaka sasa hiviutapata zile universities zote ziko kwa location moja na hasa mtoto wako akichaguliwa kwenda university atapatiwa zile facultykama animal husbandry na akitoka huko atabaki nyumbani sawa na yule hakuenda shule. Tukiwa na mikutano tunaelezakwamba watu wa Pwanitumeachwa tuna watoto ni graduates lakini hawapatiwi kazi. Hii ni kwa sababu kwamba facultyambazo wanapatiwa hazimfaidishi maana zile nzuri nzuri zinapatiwa wale.Unakuta pia kama shirika ya kutoka nje tuna mengine ambayo pia yako hapa kwale lakini ukienda wale wafanyi kazi wa hiloshirika utapata hakuna hata mtu mmoja wa hapa kale lakini wale wafadhili wanajua tu kwamba watu wa Kwale wanafaidikatunawasaidia kimiradi lakini wasimamizi pia sio sisi. Kwa hivyo tuna imani ya kwamba serikali kwamba serikali inayokuwa yaMajimbo governor, DC, DO, Chifu hawa wote watakuwa ni indigenous wa hizo sehemu. Kwa hivyo wakati wanakaa kwamipango ya maendeleo. Ni wao wenyewe watapeana priority kwa miradi yao na wenyewe watatekeleza. Na kwa sababu kwaupande wa uchumi tutakuwa hizo resources zote za Pwaniziko mikononi mwetu basi hatutakuwa tunategemea centralgovernment. Kule tulikoachwa tuta-adjust wenyewe na kuona nasi tunakuwa kama wenzetu.Kwa hivyo tutasema elfu moja lakini kitu muhimu ama dawa pekee itatuokoa ni serikali ya Majimbo. Utapata mpaka sasa hivi

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!