13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

71aliyoko kule katika central government, benefit yake au source yake ya kupata njia ya kuongoza hii serikali ni 25% ambayoataipata kutoka kwenye original.Serikali ya waziri mkuu huyo huko na Rais aliyoko huko atakuwa anasimamia mambo matatu katika nchi. Anasimamia mamboya nchi za nje, anasimamia jeshi la nchi, anasimamia na pesa. Hii itakuwa ni njia ambayo itaelekeza vile ambavyo serikali yaMajimbo itaenda. Iliyobakia 75% itakuwa sasa governor na timu yake huko chini wanaangalia miradi ile ambayo imekwama naambayo imeachwa na serikali hizi mbili, za kenyatta na mwenzake moi kufafanua na kutengeneza maendeleo.Ukweli ni kwamba governor atakuwa ni mtu mkubwa sana katika pwani, au katika kule jimbo. Ni wao sasa ndio wanawezakufanya mapendekezo haya na hali hii tunayoitaka leo iwe itadumu kwa sababu bila kusimamia itakuwa ni tatizo kesho vile vile.Hii ina maana kwamba serikali ambayo tunaitarajia ni kwamba itakuwa ni serikali ya watu si ya mtu kama leo hii ambayotunakwenda nayo. Serikali ya unitary government ambayo ni ya watu wachache. Serikali ya ukoo.Itakapokuwa governor amelinda rasilimali za nchi na uongozi bora wa nchi kwa kweli nchi hiyo, nchi nzima kwa jumla itakuwaina sura ya kuonekana kama zile sura nyingine nchi zingine za kilimwengu. Hiyo in one. Pili, au tatu, ardhi- bwana kamishinayamesemwa mengi sana lakini pendekezo langu nasema, ardhi ndio ilikuwa ni kidonda ndugu cha ulimwengu mzima lakini ajabuardhi ya watu wa Pwani ilichukuliwa kama zawadi ya maofisa wa serikali kuja kupewa zawadi baada ya kazi yao nzuri kuifanyahuko serikalini.Ardhi hizo zilizochukuliwa kiholela kiasi hicho hakuna njia nyingine, hakuna short cut ni kuwa revoked na zirejeshewe wenyewe.Iwe ni ya PC, iwe ilikuwa ni ya Moi, iwe ilikuwa ni ya Kenyatta, iwe revoked maanake alichukua haki ya watu bila kuwashauriwenyewe. Elimu- elimu kenya ndio mwongozo lakini watu wa Pwanikwa jumla wameachwa kwenye giza mpaka leo. Hakunachombo chochote cha elimu ambacho kimefanya mtu wa Pwanikuonekana mpaka sasa hivi wenzangu waliokuweko hapawamedhibitisha kwamba watu wanalemezwa kushindwa kusomeshwa watoto wao kwa sababu kila kitu kimekuwa juu. Ajabukitabu kimoja cha std. 1 au 2 utakinunua kwa shillingi mia sita mpaka saba cha mtoto mmoja na vitabu ni kumi.Inahitajika kama shillingi elfu sita stationery peke yake ambazo uzi-waste. Kwa hivyo ni wazi kwamba elimu ni lazima iwe burekuanzia nursery mpaka form six, na ikiwezekana mpaka university kwa sababu resources za nchi ndizo zitasimamia hilo neno.Barabara- ni lazima ziwe safi na zihudumiwe kama zilivyo mbali na kwamba sasa hivi kuna mpango ambao unaendelea waserikali ya unitary government kwamba kule coast area inapewa shillingi millioni tano kwa development areas lakini hizo pesahazionekani.Pesa kuonekana, waBunge tumewachagua, watu wa serikali wote ni conmen. Kwa hivyo barabara lazima zihudumiwe, vilivyo.Maji- bwana Swazuri maji yatoka hapa marere lakini ni ajabu mtu wa Kwale hapa analala siku tatu bila kupata maji. Majiyanapita na barabara mpaka kwa watalii huko baharini. Huyo mwananchi wa kawaida atakwenda / ya maji. Lazima maji

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!