13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

74Serikali iwe na makao ya wazee maskini wasiojimudu kwa mfano wasio na watoto au waliosahauliwa na watoto wao ili kuwezakupunguza huu mzigo wa kuwa mtu anaishi na njaa na kudhoofika. Na hii sana inatulalia sisi wanawake kama mnavyojua.Wanaume mara nyingi wao wakiona taabu namna ile hukimbilia kwa, sisi tuna haya. Hatuwezi kukimbilia kwa ndugu ili kukaakuhifadhiwa. Kwa hivyo kuwe na makao ya aina hiyo ili kuangaliwa watu wa aina hiyo. Kwa hayo machache asanteni.Com. Swazuri: Asante sana. Magana.Mr. Magana: Salaam Aleikum. Mimi kwa jina naitwa Salim Magana kutoka Mwaluvanga. Maoni yangu nimeyatayarisha,sitazungumza kwa maelezo.Com. Swazuri: Ushaandika. Haya, asante sana. mwingine ni Zeinab Tchizuga.Mrs. Tchizuga: Bwana kamishina, mabibi na mabwana, salaam aleikum. Kwa jina naitwa Zeinab Tchizuga nawakilishamakundi ya akina mama Kwale district. Haya ndio maoni yetu. Kwanza, tunapendekeza Rais lazima awe ni mtu ambaye anamiaka arobaini na tano na awe ameoa. Na kama ni mke naye awe ameolewa. Pia tunapendekeza serikali itakayokuja iwe niserikali ya Majimbo. Majimbo hayo, Rais atakuwa hako juu ya sheria. Atagawanya mamlaka yeye na waziri mkuu. Na kamaRais ni mume waziri mkuu atakuwa ni mke.Tumependekeza kwamba kutakuwa na sehemu mbili za utawala. Serikali kuu na serikali katika Majimbo ambayo itasimamiwana governor. Tunapendekeza ya kwamba wale walanguzi waliolangua mali za raia hasa tukifikiria barabara zetu viletunavyoteseka sisi akina mama. Tunazaa njiani kwa ukosefu wa barabara. Mimea inaoza kwa ukosefu wa barabara. Wale walewanaotuma zile pesa vibaya walazimishwe kuzilipa sio kupewa transfers.Mavazi- hivi sasa inaonekana kupitia kwa utalii mavazi, watoto wetu wanatembea uchi. Kwa hivyo tunapendekeza kwambamavazi yale ambayo wale watu wanatembea uchi yapigwe marufuku. Elimu- tumependekeza elimu iwe ni ya lazima kwa mtotowa kike na mtoto wa kiume, kuanzia darasa la kwanza mpaka darasa la nane iwe wazazi wameachiwa Majimbo. Yale mambomengine yote yasimamiwe na county councils ambapo wao watakuwa wanapata yale mapato yanayopatikana katika jimbokupitia kwenye zile kodi.Tunapendekeza kuwe na Commission maalum ya akina mama na watoto na Commission hii ichaguliwe na Bunge, sio Rais pekeyake. Kwa sababu kumekuwa na mambo ya biasness katika Commission zingine isipokuwa hii ambayo ni ya Katiba at leastkila jimbo limewakilishwa. Akina mama wakati tunasema tunataka haki zetu katika nyumba mabwana mutuelewe vizuri, kidinipia tumepewa haki hasa sisi waislamu maana tukiangalia zaidi katika dini tunaambiwa bibi ni wa kupamba nyumba tu nakustarehesha mwenzake lakini imekuwa sasa mabwana majukumu yale yamewashinda ndipo tukapigania haki zetu na tumefikiatunaweza kusoma. Kwa hivyo hatukusema nyinyi muwe chini yetu La! lakini mfahamu kichwa hakiwezi kusimama bila ya

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!