13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

82Heri, mkenya kutoka mkoa wa Pwanilakini hapa nitatoa maoni yangu kama mkenya, na wala si kama mtu wa pwani. Nitaanziakwa utangulizi. Nitaanzia kwa utangulizi, nasema Katiba inayoandikwa iwe na utangulizi. Lna katika utangulizi huu, kwanza iwekatika lugha ambayo inaeleweka na wakenya wote, yaani lugha rahisi. Halafu katika utangulizi, isisitize uwezo wa watu kuiteteahata kama ni kufa.Yaani mtu yeyote ataenda kinyume na katiba. Wananchi wawe wana uwezo wa kuleta ile tunaita civil disobedience. Halafukatika utangulizi Katiba hii iwe na provision ya vifungu maalum, ile tunaita kwa kiingereza special enshrined provisions. Kwamfano, kile kifungu ambacho kitatueleza jinsi ya system ya government, muundo wa serikali citizenship, vifungu hivi viwe kati yavile vifungu maalum ambavyo kurekebishwa kwake lazima vipitie kwa referendum, wananchi wote wahusishwe kuvibadilishavifungu hivi. Na vile vinginevyo kwa sababu huenda Katiba hii tunayoindika ikapitwa na wakati basi pia nayo kamanikubadilishwa, ibadilishwe na national conference(mabaraza ya kitaifa) wala si Bunge.Nikitoka hapo ninaenda kwa system of government. Nimesema hapa mimi nitaongea kama mkenya wala si kama mtu wapwani. System of government, Katiba iwe ya Majimbo. Kuwe na provision ya federal system, si kwa sababu natokaPwanikuna uchumi mwingi, bali hii ndio muundo peke ambao unafanya vizuri kwa jamii ambayo haikushikamana.I am referring to a cohesive society. When the society is not cohesive like the Kenyan society, basi mfumo wa Majimbounatambua wakenya wanataka nini. Na katika mfumo huu ufuatiliwe na mfumo wa Bunge ule tunaita parliamentary systemkuhakikisha ile tunaita transparency and accountability kwa sababu mfumo huu wa parliamentary ni ule ambao utakuwa nawaziri mkuu ambaye atachaguliwa kutoka kwa chama kilichoshinda na waziri mkuu huyu awe mkuu wa hiyo serikali.Halafu kuwe na president ambaye atachaguliwa moja kwa moja na wananchi na president huyu awe ni mkuu wa dola (head ofstate). Hapa kutakuwa na ugawaji wa mamlaka kwa mfano, huyu mkuu wa dola awe na uwezo wa kulivunja Bunge kamaambavyo Katiba itaeleza vipi avunje Bunge kwa mfano maoni yangu nasema president huyu awe na uwezo wa kuvunja Bungewakati kuna wale tunaita MPs elect. Yaani kura za Bunge zifanywe kabla Bunge halijavunjwa.Pili, tuepushe kuwa kutokuwa na / ya Bunge kwa kipindi fulani katika kenya. Kwa hivyo baada ya kuwa na MPs elect, ndipohuyu bwana awe na uwezo wa kulivunja Bunge wakati anaopenda. Na parliamentary system hii kuwe na provision katikaKatiba ya kuruhusu serikali ya mseto. Serikali ya zaidi ya chama kimoja kwa sababu tunataka katika Katiba tuwe na Bunge,chama kinachotawala kiwe na asilimia fulani. Kwa maoni yangu, asilimia hamsini na tano ya viti vya Bunge.Kwa hivyo kuwe na provision ya opposition ili ikiwa chama kilichoshinda hakikufikisha asilimia hamsini na tano basi kusiwe nashida na gharama ya kufanya uchaguzi mwingine bali iweze kushirikiana na vyama vingine ili wajiunde serikali. Hayo yote nimatumaini yangu au ni matakwa yangu, kuwa yafanywe kwa njia ya kidemokrasia, yaani kila mahali kuchaguliwe kwa kura(direct democracy).

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!