13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

124Ikiwa wa hamu moja ni kama miaka mitano hivi, Rais akiwa kwa miaka mitano anatoka mimi ningeomba yale Majimboyakitokea ipitishe sheria ya kwamba mtu akae kwenye kiti kwa miaka mitano halafu akiondoka ipelekwe jimbo jingine. Jimbolile litolewe candidates kama wanne watano wapiganie uRais. Wazunguke hivyo mpaka Majimbo manane yote itakuwa miakakama arobaini lakini itakuwa kila mmoja amesha-taste amejaribu na ameona utamu wa uRais. Lakini ikiwa kwa mfanoitawekwa huko central, na watu wengine ama kabila jingine ni ndogo sana na kwa kawaida katika ukura watu wanaweza kutoaile majority na kabila zingine huwa ni ndogo sana. kwa hivyo itakuwa kila mwaka au miaka yote itakuwa uRais unatoka sehemumoja. Maana wengine ni wengi zaidi kuliko wengine. Lakini kama ingepitishwa kwenye Katiba hii ambayo tunaipanga sasakwamba kila miaka mitano au miaka kumi Rais anakaa pale halafu anaondolewa anapelekwa jimbo jingine, hiyo ni kamawanakwenda round sasa.Pili ni upande wa elimu. Sote tunafahamu kwamba elimu ndio nguzo ya serikali na watu wengi wanategemea elimu. Sisitumekuja hapa kwa sababu ya elimu pia lakini wakati ule wa kabla ya uhuru tulikuwa hatuhusishwi sisi. Watu walikuwahawahusishwi kwa sababu walikuwa hawana elimu. Kwa hivyo ilikuwa ni wachache tu wanaokwenda kwenye Bunge amawanapelekwa huko uingereza wanazungumza juu ya watu wote katika kenya. Kwa sababu elimu ndio chombo ambachokinategemewa katika nchi lakini naiona katika upande wa waslimu hasa waalimu wanapuuzwa kwa mambo mengi sana. hasakwa upande wa mshahara.Mishahara ya waalimu haiwezi kuangaliwa na serikali yenyewe kwamba wacha tuwape waalimu kiwango fulani ili wasiwe nawasiwasi wasiwe na taabu sababu wao ndio wafunzaji wa watoto wetu, ndio wanatupa elimu, ndio ambao wanatufanyia vitumpaka tumeanza kuona mbali. Kwa hivyo ningeomba serikali iwapatie mishahara waalimu kiwango ambacho kingewarithishaambacho hawezi kuwa mpaka wagome ndio waanze kupandishwa. Serikali yenyewe ikate shauri kwamba tukiwapa walimuwetu wa hapa ama tukiwafanyia hivi bas! Na tutakuwa hatutaweza kusema zaidi kama kwa mfano serikali imetuangalia kisawasawa.Kama vile vile elimu na afya tumesema iwe bure. Iwe bure kama vile wenzangu walivyozungumza. Wengine nimesikiawazungumzaji wengine wakisema kwamba zitatoka wapi hizo pesa za kuhudumia elimu bure na afya bure. Mtu binafsimwenyewe anaandika Kadhi kwa sababu ya kuhudumia maneno matatu manne hivi. Yaani anaangalia kwa upande wa elimu,anaangalia kwa upande wa magonjwa na anaangalia kwa upande wa umaskini wake, mtu binafsi.Serikali kwa hivyo katika zile resource zile rasilimali zake zote, huwa ngapi? Lazima wazifanye ili ziwe zinahudumia mambokama haya ya elimu na afya. Maana hivi ndivyo vitu ambavyo ni muhimu kwa mtu ambaye ameelimika na mtu ambayehakuelimika pia kwa sababu katika kenya kuna watu aina kama mbili hivi walio wasomi na ambao hawakusoma.Com. Swazuri: Asante sana na uandike pale kwa sababu tutakwenda kusoma memorandum kwa hivyo hakuna haja yakueleza.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!