13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

112issue kama ya national identity card hapa imekuwa na matatizo amewekwa mtu kutoka nje ambaye ni registar of persons nahata akiletewa barua ya chief ambayo chief ndio indigenous na anajua ya kwamba huyu ni mtoto wa fulani bado atahangaishwa,mara anaambiwa afanyiwe vetting mara afanyiwe nini. Wakati kule kwingine sehemu nyingine za kenya ambaye anahusika nakuandikisha ama utoaji wa vitambulisho ni mwenyeji wa ile sehemu hakuna hizo conditions. Kwa hivyo ningeomba katikaKatiba hii uwezo wa kuandikisha vitambulisho urudi ofisi ya ma-chief, kwa sababu chief kupitia kwa village chairman wake ndiowanajua wazi kwamba huyu ni mtoto wa nani na anastahili kupata nini.Habari ya matatizo ya mashamba kama ilivyoelezwa ya kwamba ni ajabu, mtoto wako umemzaa wewe halafu jina lakelikatolewe Nairobi. Ardhi iko kwale imepimwa hapa lakini uwezo wa kibali unatoka Nairobi kwa Commissioner of lands ndiopekee ana uwezo wa kukupatia wewe document. Kwa nini kama composition ya kamati ya ploti ya location ni indigenouswenyewe. Local office kama district isiwe na uwezo wa kutoa hizo document. Ni makosa makubwa kila baada ya miaka kumina mitano tunachagua waBunge only kuenda tu kupitisha ya kwamba mwanadamu akiuawa na ndovu ridhaa yake iwe shillingielfu thelathini ambazo hata yule kin of interest atakufa na hajalipwa.Kwa hiyo tunataka wanyama wa mwitu katika wale watu wanaoishi sehemu za hifadhi za wanyama wa pori wawe beneficiariesdirect na kwa sababu tunataka federal government ni kwamba hizo resources zote zitakuwa kwetu mikononi na ni hiyo 25%ambayo tunajaribu kupendekeza itaenda kwa Central Governmentotherwise mapato yote ya Pwani yabaki kwa mPwanimaanaaliachwa na mpaka sasa hivi anatumiwa kama stepping stone. Asante.Com. Swazuri: Halima na Idriss awe tayari.Mrs. Halima: Makamishina, kina baba, kina mama salaam Aleikum. Mimi kwa ufupi bwana kamishina maoni yangu nilikuwakwanza kabisa naomba katika hii Katiba itakayoandikishwa sasa kuwe na utangulizi na utangulizi huu utaje juu ya Majimbo.Halafu kuhusu mfumo wa serikali nilikuwa naomba serikali ya Majimbo na Majimbo haya tunataka kuwe na Rais mmoja lakiniRais yule asiwe na mamlaka katika jimbo. Kila watu wawe watajisimamia wenyewe katika jimbo lao. Katika chochote kilekitakachopatikana kwenye jimbo, asilimia sabini na tano ibaki kwenye jimbo, asilimia ishirini na tano iende kwa centralgovernment. Kuhusu mambo ya kuuza mashamba. Mimi kwa maoni yangu sipendelei kuuza mashamba bali mashamba, mtukwa mfano amependezwa na shamba awe akikodisha badala ya kuuza.Kuhusu kina mama- kina mama wawe na uridhi kwa mabwana zao kusudi tupunguze mambo ya talaka na pia vile vile waridhimakwao kabla hawajaolewa wawe wameridhishwa na kuhusu watoto pia wasinyanyaswe na wasibaguliwe kimakazi. Kama nikufanya kazi wafanye kazi sawa na mtoto wa kiume afanye kazi sawa na mtoto wa kike. Kuhusu walemavu, wasibaguliwe,wapatiwe makazi sawa na wale wengine. Kama magari yaletwe ya kutosha, machine hizi za kushonea waletewe za kutosha,naona hayo kwa leo bwana kamishina nasema asante sana.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!