13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

98Com. Swazuri: Asante sana, nenda uandike pale. Na sasa ni Ngome Amani.Mrs. Ngome Amadi: Wageni mliohudhuria salaam aleikum. Kwa jina naitwa Mwamtenda Ngome Amadi kutoka Gombeni.Maoni yangu kwanza, tungependekeza kuwa ofisi za maKadhi ziwe mpaka ngazi za kata, yaani kwenye ma-location. Hii nikupunguza zile kesi za ndoa na talaka kusikizwa katika ofisi za ma-chief.Com. Baraza: Rudia mama.Mrs. Amadi: Ningependekeza kuwa ofisi za maKadhi ziwe mpaka ngazi za kata, yaani kwenyee ma-location ili zile kesi zandoa na talaka zisisikizwe na ofisi za machifu. Pili, magawanyo ya makazi. Twapendekeza kuwa Rais akiwa mume mdogo awemke, mayor akiwa mume, mdogo awe mke, chairman akiwa mume, mdogo awe mke, wazee wa mitaa wawe wake kwawaume, sio wanaume peke yao.WaBunge maalum wawe wanawake na madiwani maalum wawe wanawake na madiwani maalum wawe wanawake. Piatwapendekeza kuwa katika milolongo ya serikali kama kwenye vitambulisho ama hospitali, wanawake wenye mimba kamamimi na wanawake wenyewe watoto wapewe nafasi ya kwanza.Pia twapendekeza kuwa serikali iondoe ile hospital funds. Twapendekeza pia serikali iondoe ile hospital fund kwa wafanyajikazi wote wa serikali kwa sababu utaona sisi tutatozwa pesa zile za hospitali na hatuna hospitali yoyote ambayo tunakwenda.Pia, twapendekeza kuwa kuna haya mambo ya rape. Msichana aki-rapiwa na baba yake twapendekeza kuwa baba huyoafungwe milele. Na msichana wa shule au mvulana wa shule wakiwekana mimba hawa watoto wawili twapendekeza kwambahawa watoto wapewe kifungo cha nje ili iwe funzo kwa wale watoto wengine. Watoto wawili wa shule yaani msichana namvulana wakiwekana mimba twapendekeza sisi wazazi kuwa watoto wale wapewe kifungo cha nje ili iwe funzo kwa walewatoto wengine na pia ipunguze zinaa.Kwa upande wa serikali za wilaya, tungependekeza kuwa wale wafanyi kazi wa serikali za wilaya, wapewe mishaharakulingana na standard of education, kwa sasa huwa wanapewa mshahara kulingana mwaka walioingia kazini na pia mshaharauongezwe kulingana na mwaka ambao aliingia kazini. Lakini sisi tungependekeza kama wale wafanyi kazi wengine wa serikalihata kwenye mabaraza ya wilaya, mishahara iwe inafuatilia standard of education. Ikiwa ni wa darasa la saba aangaliwe styleyake ifuate ile ya form four au form six and above.Upande wa madiwani na waBunge twapendekeza kuwa hawa watu hawana ofisi. Hatuwajui baada ya kuwachagua tuwafuatewapi. Twapendekeza kuwa kila mBunge kila diwani, mahali ambapo ana-represent ajenge ofisi yake.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!