13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

88me understand this. ‘Mr. Ali: Asante sana bi. Kamishina. Kwanza ningependa nikueleze kwamba sisi watu wa Pwani iko desturi ni watu wapoletena tunawapenda wenzetu sana. kwa hivyo tunavyosema tunataka mfumo huu wa serikali ni kwa sababu tumeona huo ndiomfumo peke yake unaoweza kumpatia yule asiyetaka fujo, asiyetaka dhuluma kupata haki yake. yaani tunawapenda wenzetulakini imeonekana kwamba wao wanapopata mamlaka wanatumia vibaya mamlaka na kunyakua hata kile ambacho ni chandugu yao.Sasa serikali hii tumeipendekeza ndio ambayo inaweza kumpatia ulinzi wa haki zile ambazo ni /. Ambazo zile hata mtu wa Pwanianaweza kuzifurahia maanake hapendi fujo mtu wa pwani. So it is to bring those services and rights closer to the people. Siokwa chuki, kwa sababu madola mengi katika ulimwengu huu leo ambayo yana watu tofauti tofauti kama hizi sisi. Kwa mfanokuna dola nyingine zina watu kabila mia mbili na hamsini. Mifumo ambayo inatumika kule ni ya Majimbo kwa sababu mwafrikaana unyonge fulani.Ikitumika unitary government na tumeshaona akitoka mtu kutoka huko mahali fulani kama hapa hapa kwetu, pia sisi twawezakupata rai siku nyingine. Basi aweza kuteua maDC wote.60% ya maDC wakiwa ni kabila lake na sisi huwa hatupendi fujo,nyinyi ndio husema kwamba kule hufanya maandamano na nini. Sisi huwa hatupendi huwa twaumia lakini hatupendi fujo sisi.Sasa tunasema kuwa mfumo huu ambao tunaopendekeza ndio utakaowezesha sisi kama wakenya kuishi kwa amani, kwamapenzi, kila mmoja akiwa na haki yake I karibu naye. Asante.Com. Swazuri: Mama Fatuma atafuatiwa na mama Amina.Mrs. Fatuma: Salaam aleikum warakba tulai ta Allah wabarakatu. Bismillahi rahman rahim. Naanza maoni yangu.Com. Swazuri: Jina lako?Mrs. Fatuma: Fatuma Mwanyuchi. Mimi nazungumza kama mama wa Kwale, mwenyekiti, member wa maendeleo yawanawake Kwale district. Ombi langu, naomba serikali ama Katiba inayokuja na serikali ambayo itakayokuwa ni mpya yaKatiba hii tunayoitolea maoni, isiwe na uchoyo wowote mbali na vile sasa waBunge wanapokea laki tano, laki sita na kunamambo mengine yanaharibika huku grassroots. Utetezi wangu ni akina mama. Naomba Katiba ijayo na imeshazungumza naakina mama wengine waliokuja hapa, kuongezewe wizara nyingine ya akina mama na watoto. Mfano kama ile iko Zanzibar.Wizara hii itaanzia grassroots. Kutakuwa na councillor na mBunge, minister na PS. Basi wizara hiyo itakayoundwa hivyo, yulecouncillor ambaye anashughulikia mambo ya akina mama na watoto na ni mwanamke na ameungana na councillor yulemwingine na ameungana na mBunge yule mwingine, hawa akina mama hawatapata taabu wala hawatanyanyaswa kwa sababu

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!