13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

78Mr. Salim: Bwana kamishina, akina baba, akina mama nyote salaam aleikum. Mimi maoni yangu kwanza nitazungumzia kwaupande wa serikali. Kwa maoni yangu nataka serikali iwe ya Majimbo na watafadhahisha wale ambayo wakati tukitajaMajimbo nasikia woga sio hivyo, sisemi wale wenzetu wa bara. Mimi nasema Majimbo sio kukosana bali tu nikuwa kupawauwezo ili wa kuweza kujisimamia wenyewe. Pili, nazungumzia kwa upande wa Rais.Rais asiwe na mamlaka zaidi, apunguzwe mamlaka kwa sababu, kwa mfano huyu wetu tuliyenaye Rais moi shida yake nikwamba kwa mfano ameteua Tumekama hii akiona pengine inamlemea yeye anasema hiyo Tumeninaivunja. Kwa hivyo nasemaRais asiwe na mamlaka zaidi wakati anapoteua tume. Hata hii Tumeya kurekebisha katiba, kwa maoni yangu nasema ghaiawepo na Tumehiyo hiyo iendelee bila kubadilishwa mpaka iweze kumaliza kazi yake. Kuhusu utawala- mapendekezo yangunasema hivi kuhusu upande wa special wa wilaya, toka niwe mkubwa ama niwe na fahamu sijaona DC wa kidigo hapa Kwalena maDC wako wa kidigo. Kwa hivyo naomba sheria ama hii Katiba iweko ya kila mtu hapa kenya aweze kuenda ile sehemuatakayo ataweza kupawa hiyo kazi. Kwa hivyo, kwa maoni yangu nasema kuwe na hiyo sheria kwamba kila mwananchi awezekufanya kazi popote.Michezo- kulingana na maoni yangu. Ninaona matatizo makubwa sana hapa kenya nikiona mfano timu ya taifa ambaowanacheza ni akina Omondi, akina Waweru lakini utaona mdigo ama mtu wa coast hakuna. Kwa hivyo kwa maoni yangunasema iwe sheria kwa kila mkenya aweze kupatiwa hiyo nafasi. Kuhusu mashamba- sitazungumza zaidi nafikiri jambo hililimezungumza sana lakini natilia mkazo ya kwamba kuna viongozi ama kuna wale ambilikanao walikuwa uongozini zamani nawakanyakua hizo ploti na mpaka sasa wako nazo. Kwa maoni yangu nasema hizo ploti zirudishwe kwa wananchi.Elimu- kuhusu elimu nataka irudishwe ile ya zamani kama mfano ile ya std. 1 mpaka std. 7 halafu form 1 mpaka form 4, na form5 mpaka form 6. hii inawezesha mtu awe akimaliza awe na elimu ya kutosha kuliko hawa sasa mtu anapita university na hatakizungu hawezi kuongea. Kuhusu hospitali kwa mawazo yangu hii cost-sharing iondolewe kabisa kwa sababu wengi waohawana uwezo wa kuwezesha kuenda hospitali. Kwa mfano kuna mtu haendi hospitali na ni mgonjwa anaweza kutibiwa namnagani kama hana cost sharing. Daktari akipewa mtu huyo anapuuza na mtu huyo yuafa bila matarajio.Bunge- kwa mawazo yangu nasema mBunge asiweze kupewa mshahara wa juu kama hivi sasa ambapo anapata laki sitaambapo anapata laki sita. Ambapo mfano kuna councilors, mtu anapata elfu saba ama elfu tano. MBunge kwa mfano kwamaoni yangu apate kama laki nne na nusu ama tano, councilor apewe kama kumi na tano. Kwa maoni yangu, asante sana.Com. Swazuri: John Mwania na atafuatiwa na bwana Kaimba Mbelu.Mr. John Mwania: Asante sana wanaohusika. Mimi maoni yangu nilikuwa nazungumzia kwa upande wa president. Presidentanaruhusiwa awe na kipindi ambacho kimekubaliwa na wananchi, kama ni kipindi cha two terms na awe ni mzuri kiasi gani.Yaani iwe ni kama ni sheria yeye ashamaliza kipindi, kama ni two terms akimaliza awe amefanyia kenya 800% profit wakenya

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!