13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

79wanasherehekea mpaka wanalalia pesa, aondoke. Two terms of 5-5. nilikuwa nazungumzia kwa upande wa elimu kidogo.Ningependekeza serikali, zile universities zote zimepangwa huko juu, hapa pawe na universities. Maanake kama Majimbotutapata, tutahitaji universities maanake wale ambao wanaendeleza Majimbo they must be learned. Kwa hivyo university hapamtoto mwingine kulingana na vile watu wanaishi wajua watu wana tabia tofauti. Kuna kasumba ambayo ya kuwa ama itikadifulani inayomfanya mtu hawezi kuenda mbali na wazazi. Unaona? Sasa kama pengine amechukuliwa university ama anakiwango cha kuchukuliwa university, ana-prefer aende college fulani badala ya kwenda university. Na hiyo ndio inalete nyumasehemu hii yetu. Inakaa mpaka hatuna nafasi nyingi katika serikali. Kwa hivyo university ikiwa hapa, hata mtu akiwa na lowgrade he can also improve university because we have some people who go to university with low grades and at the endwanajiendeleza mpaka wanakuwa ni watu wa kutegemewa. Kwa hivyo ile nafasi kama haikupatiwa watu hapa university kamaMombasa itapatia watu chance sasa ikuwe ili-fail ukienda pale utajiuliza uli-fail vipi na uta-pass.Kitu kingine ningetaka kuzungumzia ni, imezungumziwa kwa upande wa pesa (currency). Nilisikia nikiwa hapa lakini kitu yangunilikuwa nimesema hivi, kama president ndio ametoka, ile pesa isi-change. Why? It is very expensive to process another kind ofmoney ikipea picha ya yule mtu na ambapo tunalia sisi hatuna pesa. Kumbe pesa tunaitumia kindanindani zinakwisha. Kwahivyo ile process imetumia pesa nyingi.Com. Swazuri: Sasa tuweke picha ya nani?Mr. Mwania: Ya yule previous president yule alikuwa, kama vile Europe wanafanya ama America. The first president pichayake inakaa. Because ku-process hiyo pesa irudishwe ilete ni pesa nyingi sana.Com. Swazuri: Kwa hivyo tubaki na ya Kenyatta?Mr. Mwania: Hapana, sitaki ile ya Kenyatta. Nataka yule atakayeanzia ikiwa serikali itakubali. Sitaki warudishwe mpakakule. Nasema the current president yule yuko, ikubaliwe president atakayekuwa ile pesa iliyoko akitoka picha yake iendeleehivyo.Ingine ni kind of government. the kind of government ingetakiwa wale ambao wanasema national unity, ikiwa ndio itakuwapawe na follow-up maanake mtu ameajiriwa ofisini the other day anapewa mabasi manne na mshahara wake uki-assessiwakwa serikali unajulikana, zile grades zinajulikana. Serikali ifuatilie yule mtu amepataje mpaka amejenga magorofa tano, naamefanya kazi miaka mitano. Na kiwango cha mshahara wake kinajulikana. Hiyo pesa ametoa wapi.Com. Swazuri: They should declare their wealth.Mr. Mwania: Their wealth. Upande wa MPs, mshahara yao should be lowered to less than two hundred thousand. Between

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!