13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

105hapa tunapenda wageni ambao wameingia hapa kwetu Pwanilakini wakiingia hapa kwetu pwani, sisi wazaliwa wa hapaPwanihuwa hatupati mamlaka ya kuzungumza.Kama kiongozi yule ambaye utampatia kura unasema huyu nikimpatia huyu sitapata mamlaka lakini huwa hawapati ruhusakatika ofisi yeyote kuzungumza mambo ya wananchi nyumbani. Kwa hivyo sisi sikitiko kubwa sana zaidi, ni mwananchi wahapa tupate Majimbo angalau furaha nasi tupate kidogo kwa sababu hapa kuna misitu, hapa pana mahoteli, tuko nayo hapa.Hatujui ile pesa yaenda wapi kwanza. Tuko hapa tu. Kuna chairman wa location, huyo chairman mambo yote anapelekeaserikali lakini anasemekana eti chairman hawezi kupata mshahara. Mimi napendekeza pia, apate mshahara wake kwa sababuyule ndiye anayejua shida zote za mwananchi wa hapa location. Kwa hivyo hayo machache Mungu ambariki.Com. Swazuri: Asante sana.Mr. Juma: Bi kamishina, akina baba, ndugu zangu, akina mama na nyote mliohudhuria.Yasumbua watu, wakati wote ashikwemguu kupandishwa kwenye ngazi. Kwa hivyo tunaomba hiyo isiweko. Iwe mlemavu ikiwa ame-qualify mahali popote awezekuwekwa mahali pale.Upande wa afya- mlemavu kwanza ni mtu wa kwanza ambaye yeye upande wa kazi si rahisi, kwa sababu yeye kwanzaalinyimwa elimu na mzazi wake akiambiwa hatembei. Sasa alipoambiwa hatembei akaambiwa huyu kwa vile hatembei wachaakae hata asisome, kazi utakuta tayari yeye hana. Kwa hivyo katika upande wa afya, mlemavu yeye hana pesa. Pawe na njiamaalum ya wale wafanyi kazi wa serikali katika ofisi zote za elimu ya afya wahakikishe mlemavu anapata matibabu bila matatizoyoyote. Bila kuulizwa pesa kwa sababu yeye atakuwa hana uwezo. Yeye mwenyewe kama hana uwezo pia mtoto wake awezekutibiwa.Ikiwa yeye hana uwezo iwe mpaka mtoto wake anaweza kusaidika pia kielimu kwa sababu tunasema kuna bursarieszinatolewa lakini kusema kweli hivi sasa bursary hizo zinaenda kwa ma-chief, maDO, mapolisi na wakuu wa idara, lakini yuleambaye anahitaji usaidizi kama huo hapati. Kwa hivyo sheria kama hiyo iwekwe kuwe na pesa maalum za watu kama haowaweze kupewa elimu.Upande wa uongozi- kuna kamati ndogo ndogo ambazo zinaundwa katika kila wilaya. Utakuta kwamba kuna DC wako na yaoya development katika district, katika division, utakuta kunawekwa representative ya mlemavu ambapo mlemavu mwenyeweyuko, hausishwi. Kwa hivyo tunaomba katika sehemu hizo, walemavu wenyewe wahusishwe. Hakuna habari ya representativekwa sababu ikiwa wewe shida unayo. Ukienda pale utakwenda represent kitu gani ikiwa mimi mwenyewe ndiye najua shidazangu. Awe yule yule mlemavu iwe ni kipofu, awe ni bubu na awe mtu mwenye physically disabled. Lakini awe pale badili yakuwa akawe representative.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!