13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

63ya kwanza, Katiba yetu ilikuwa imesema kwanza mtu anayecontest na akifeli hawezi kuchaguliwa kuwa mBunge lakini hivi sasamwenzangu ametangulia kusema ni wale wale waliofeli ndio ambao wachaguliwa tena wapewa hata uaziri. This is shame infactwe have gone outside the current constitution. kwa hivyo twataka mambo haya yarudi na yawekwe kwa imara zaidi. Asanteni.Com. Swazuri: Asante sana, nenda pale na uandike jina lako. Kassim AbdallahMr. Kassim Abdallah Zani: Salaam Aleikum. Asante bwana Commissioner, kwa jina ni Kassim Abdallah Zani, Maoni yangukwanza nagusa katika sehemu ya chief Kadhi. Kulingana na Katiba ya kenya chief Kadhi huwa anachaguliwa na Rais. Hatutaki.Mtu yeyote aliyefanya kuchaguliwa na mtawala huwa hawezi kuwa na mamlaka ya kuendesha dini na kufuata amri zake vileilivyo. Kwa hivyo chief Kadhi tutachagua wenyewe. Kiwango cha elimu kwa chief Kadhi. Tutachagua chief Kadhi ambayeyuko na shahada ya wanasheria wa dini ya Kiislamu halafu awe na shahada ya wanasheria ile inayoendesha nchi ambayo tunaitacircular law, ili aweze kumiliki kesi zote.Mamlaka- chief Kadhi pamoja na maKadhi wengine wawe wanapewa mamlaka ya kuendesha kesi zote. Kwanza wapewe ofisikuu, yaani koti kuu high court kama vile ilivyo katika serikali ya kenya kisha wapewe koti ya rufani. Iwapo high courtimeshindwa, koti ya rufani ifanye kazi ya Kiislamu. Kisha kuwe na law courts. Wale maKadhi wengine katika district zile kotizao ziwe zinafanya kazi sawa na vile majaji wa kiserikali.Matumizi ya kitabu cha Korani- Mwenyezi Mungu katika haya yake moja anasema (spoke in Arabic). Hakishiki kitabu hiki chaKiislamu ila kwa mtu aliyetohara. Ni jambo la kusikitisha kuona kwamba vitabu vitakatifu vya Korani vinawekwa ndani yamakoti. Anayeapishwa ni mwislamu, mwenye kuapisha ni wanjiku, alivyolala hajulikani, tohara yake haieleweki, labda amelalakimakosa vibaya, hata kuoga mwili hajui, anamwapisha mwislamu na kitabu cha Mwenyezi Mungu. Naomba, maombi yanguvitabu vitakatifu vya Korani viondolewe makotini, serikali itafute njia ya kuapishana si kutumia vitabu vyetu vya Korani.Mwezi mtukufu wa Ramadhani- limetokea tatizo kubwa kuwa waislamu wamefanywa wanafunga kiholela. Wale wanafunga,wale wanafungua, wale wanasali, wale wengine bado kwa sababu ya chief Kadhi hana mamlaka. Mwezi umetoka anaambiwanyamaza, tangaza baada ya siku tatu kwa sababu maskini anaondoka kumwaga unga wake ananyamaza. Ndio maana unakutakuna vumbi ambalo halieleweki imeleta mchafuko katika uislamu. Ibada zinaswaliwa mbalimbali. Kwa hivyo mwezi waramadhani uachiwe mamlaka yake kwa chief Kadhi. Ukitoka atangaze kama haujatoka asitangaze. Sio kuamrishwa. Fanya hiviau la. haya, hatutaki sisi waislamu.Siku kuu ni jambo la kushangaza kuwa siku kuu zote za wakristo zinatambuliwa na serikali isipokuwa siku kuu ya waislamupeke yao. Mwezi unatoka tunapewa siku moja, wengine wanaambiwa nendeni mkasali. (spoke in Arabic) hili ni jambo lamaudhi kisha jambo la dhuluma. Siku kuu za waislamu zitambuliwe. Kutoka siku kuu ya mwezi wa Ramadhani unapotokampaka idd kubwa. Siku kuu ndogo siku tatu, siku kuu kubwa siku tatu ziwe siku sita na zitambuliwe serikali nzima. Zikiwa siku

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!