13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

56machache asante sana.Com. Swazuri: Nenda uandikishe jina lako pale. Tumpate bwana Ali.Mr. Ali: Salaam Aleikum. Mimi sitaki kuzungumza sana. maoni yangu kwanza, mimi nina maoni mara mbili hapa. Nina maoniyangu ya kibinafsi, na maoni ya wanakijiji wangu. Maoni yangu ya kibinafsi nataka Katiba hii itakayoanza, amatutakayoitengeneza maoni yangu ili jina la kenya libadilishwe. Kimaoni yangu ni kwamba, hili jina Kenya halikukusudia wananchiwa kenya mzima. Bali maoni yangu nawaahidi neno kenya, ni neno ambalo kwamba limetengenezwa na taifa fulani ama na jamiifulani. Ndivyo nilivyoelewa mimi. Na nimejaribu kuuliza maana ya kenya nini mpaka sasa sijapata. Maana ya kenyaninavyoelewa mimi hii K ni Kirinyaga, E ni Embu, Nya ni Nyandarua. Muungano wa mataifa haya ndio ilitengeneza kenya.Kwa hivyo maoni yangu mimi nataka iwe jina la kenya iwe serikali ya demokrasia ya muungano wa bara wa pwani. Maoniyangu nataka iwe serikali ya demokrasia ya muungano wa bara la Pwanina wala sio kenya. Hayo ni maoni yangu. Serikali amamfumo wa serikali- nataka serikali ya Majimbo. Serikali ambayo kwamba itamiliki, kila jimbo limiliki mahali yake kamailivyozungumzwa, asilimia themanini iwe wafanya kazi iwe wa jimbo lile.Iwe na Rais ambaye atachaguliwa serikali hiyo ya muungano. Iwe na Rais ambaye atachaguliwa na raia. Ambaye kwambaatakuwa si wa serikali kuu na kila jimbo liwe na Rais wake yaani governor. Pili, mali asili. Kiwango cha mapato kutoka mahaliya asili kigawanywe kama ifuatavyo. Asilimia hamsini ipatiwe wilaya iliyo na mali hiyo. Asilimia thelathini ipatiwe mkoa ulio namali hiyo na asilimia ishirini ipatiwe serikali kuu. Mwananchi aliyepakana na mali asili mfano mbunga za wanyama, msitu, baharina kadhalika, anufaike na mali hiyo, kwa mfano kupatiwa shule, hospitali, maji safi na misaada ya masomo.Mali asili iliyoko shambani mwa mtu. Mtu huyo apatiwe asilimia hamsini ya faida ya mali hiyo. Utalii na mbunga za wanyamashuleya utalii ijengwe Pwanikwa sababu Pwanindio kuna utalii kwa wingi. Asilimia themanini ya wafanya kazi wanaofanya kazikatika mahoteli, iwe ni watu wa pwani. Mapato yanayopatikana kutokana na mali ya utalii asilimia hamsini ipatiwe wilaya,thelathini ipatiwe mkoa na ishirini ipatiwe serikali kuu.Ardhi- watu walionunua mashamba zote hizi ziondolewe na waruhusiwe pesa zao na mashamba hayo yagawanywe kwamasquatter ambao kwamba hawana ardhi. Sehemu zifuatazo Vanga, Shimoni, Wasini, Garsen na Mombasa ni ardhi ya watu waasili na hao ni wadigo. Mazrui ni wageni wa wadigo, asili ya ardhi ya Kwale, ni ya wadigo na waduruma. Kama wataka nirudienitarudia hapo. Iwe ni ardhi ya wadigo kama vile wanadai katika ile chama cha wamiji kwamba hizo sehemu ni zao. Wana mijikumi na moja, kuanzia shimoni mpaka Lamu, wanadai katika chama chao hii ni sehemu haiko katika Katiba ya zamani. Kwahivyo twataka hii miji yote ambayo kwamba nimezungumza ifikishwe kwa wenyeji wa asili ambao ni wadigo na waduruma nawala sio hao mazrui, waarabu walikuja tu.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!