13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

129kumi na mbili au zaidi asiitwe squatter tena serikali impatie pale pahali pawe kwake.Kitu cha pili, ni kuhusu waBunge na macouncillor. Sisi wananchi twapatiwa hawa waBunge na ma-councillor, lakini twaombawananchi waelimishwe kazi za macouncillor zijulikane. Ajulikane huyu councillor kazi yake muhimu ni ipi kwa mwananchi. Siocouncillor tu kuchaguliwa tu halafu wananchi hawaoni huduma za councillor kisawasawa. Asiwe ni councillor kuwa mwananchiajua mimi nikipatiwa pesa basi huyu ni councillor. Ala! Ajulikane concillor akichaguliwa umuhimu wake ni nini?Jambo la tatu, ni katika magawanyo ya kazi. Serikali hugawanya kazi katika provinces. Sisi kama watu wa Pwanitwalalamikahizi kazi zikitoka. Tutaona mfano askari wamechaguliwa hapa Kwale lakini tutaona nafasi kubwa itapatiwa watu kutoka juuwatoto wetu hapa watarudi nyumbani aweza kuchukuliwa mtu mmoja tu. Na huyo mtu mmoja na aliyechukuliwa hizo taabuatakazozipata kabla hajachukuliwa hata hiyo kazi atakuwa hana raha nayo. Kwa hivyo twaomba serikali ikiwa itafikiria mambohaya magawanyo ya kikazi, watoto wetu wafikiriwe na waweze kupatiwa nafasi ya kutosha. Ikiwa ni asilimia watotowanaotakikana ni hamsini, basi asilimia watoto thelathini watoke hapa pwani, wale ambao wamekuja kufanyiwa yale mazoeziwaweze kuchaguliwa. Isiwe sisi twalia watoto wamebaki hapa na tukifika huko watoto waliochukuliwa ni wa kutoka juu na sisitwajua watu wa juu wamegawanyiwa nafasi zao na watu wa Pwaninao wamegawanyiwa nafasi zao.Kitu kingine kuna wakati kulikuwa na district focus. Hii district focus ilipokuja tuliona ilitusaidia sana wakati huo. Watu walipatamakazi, waalimu walichukulia wale wale waliotoka hapa na kazi nyingine. Tungeomba hii district focus irejeshwe kwa niniililetwa kwa muda mfupi na ikaondolewa na tuliiona faida yake.Kitu cha nne, nazungumzia upande wa wanawake. Wanawake wapatiwe maternity leave baada ya kuwa amezaa mtoto waketu aambiwe hii ndio maternity yako leave na apatiwe miezi mitatu aweze kupumzika vya kutosha.Com. Swazuri: Na je, bwana?Mrs. Mwachai: Hata ikiwezekana bwana apatiwe maternity leave amsaidie bibi yake kwa miezi mitatu. Jambo lingine, kunakatika uislamu wetu kuna wanawake hufiliwa akiwa makazini na kuna neno eda wanawake hukaa. Hii eda tunavyojuamwanamke anatakikana akikaa hiyo eda asiweze kukaribiana na mwanamume wala asishikaneshikane na mwanamume kwamiezi minne na siku kumi. Sisi twaambiwa sasa mtu akifiliwa aende kazini. Kule kazini anakaa karibu na wanaume anawasalimiayaani hakuna tofauti yoyote ya kuwa huyu ana eda na huyu ana eda.Tungeomba wale akina mama wa eda ikiwa itawezekana wapatiwe ruhusa ya kukaa ile miezi minne na siku kumi na walipwe.Wasiambiwe wamekaa halafu wafutwe kazi. Walipwe pesa zao za miezi minne na siku kumi zikiisha warudi kazini.Kitu kingine, kuna hii siku ya Ijumaa. Wenzetu wakristo walibahatika wana jumapili ambayo ni siku ya mapumziko kwa kila

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!