13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

118industry yoyote. Kwa hivyo all food products zipatikane cash crops zote ziwe na factory hapa hapa pwani. Asanteni.Com. Swazuri: Toa memorandum pale na uandike majina. Chief Mamba.Chief Mamba: Asanteni sana makamishina wote mlio hapa pamoja na ndugu wote mlio hapa, akina baba na akina mamasalaam aleikum. Kwa jumla taratibu zote zimezungumzwa lakini yangu natoa tu kupatana na zile memorandum ambayo natarajiazikiwa ndani zitakuwa zimesaidia zitakuwa zimesaidia wananchi wengi. Kwanza wazee wa vijiji kwa kila location wapatiwemishahara ya kikawaida ili zile kazi ziwe rahisi kwa location na itakuwa kwa division mpaka kwa district. Ulipaji wa mishaharaya wafanyi kazi wote wawe wa serikali, wawe wa makampuni iwe mishahara ya hali ya juu ili iweze kusababisha wafanyaji kaziwale waweze kutekeleza mahitaji yao kwa watoto wao yaani mambo ya family zao na mambo ya masomo.Passport number tatu, passport irahisishwe sawa na kitambulisho pamoja na birth certificate viteremshwe viwe hali ya urahisi ilimtu ile passport asipate kwa ugumu, ule ambao hata sasa unaendelea kuwa ni lazima wathamini sijui watatu, tena kule mpakaitapitia sijui ni njia ngapi, hiyo passport hata inachukua muda hata ukipata umepata taabu sana. kwa hivyo ifanywe kibali sawana kile cha ID card kwa sababu ukitaka kwenda nchi ya nje tayari kinakuruhusu.Upande wa ID cards hizi ID cards zote zirudishwe kwa ma-location mahali ma-chief wako, wazee wale wa vijiji wako hapokwa hivyo kila ofisi ya chifu itumiwe wafanyi kazi wa vitambulisho na vetting itakuwa moja kwa moja pale ofisini kwa chief.Birth certificate. Masharti ambayo yalipangwa kule yapunguzwe maana ni jambo la ajabu kuwa mimi pengine sijachukua birthcertificate lakini inasemekana mpaka niwe na card ya clinic. Sasa mama alikufa na hata akiwa ni mzima, si rahisi mtu kama mimikuwa na ile clinic card. Kwa hivyo irahisishwe kikamilifu masharti hayo sijui clinic card, sijui nini, yote yatolewe ili ipatikane kwasababu ni kibali ambacho ni muhimu.Haya narudi kwa mambo ya vyuo vikuu. Vyuo vikuu kila mkoa mfano sasa kama hapa Pwanipawekwe chuo kikuu kama vileMombasa polytechnic ama kama kule shanzu teachers college viwe hata ikiwa ni viwili vitatu hata Matuga DDI iwe na chuokikuu ili watu wawe karibu na hivyo. Hivi nikisema vyuo vikuu vitamaanisha kati ya hivyo viwe vitatu ama vinne viwe vyaudaktari, viwe vya utalii na aina nyingine na itakuwa imerahisha wale wasomi kuwa karibu.Nikishamalizia, hawa ma-NGOs mashirika ambayo huwa yakiwasili kwa mfano kwa district headquaters. Mawasiliano yapitiethrough chief’s office ili wale wafadhili, wale machifu wote wa kila ma-location ndio wanajua zile shida za pale. Hiyo itakuwa nijambo bora na hizi shida kama ni za maji, kama ni za madaraja, kama ni wapi na wapi mambo yote yatakuwa rahisi kwasababu wale ma-chief wanajua taratibu za shida hizo.Nikimaliza, huduma za mahospitali. Huduma za mahospitali kwa kusema kweli mpaka ziwe na wale waangalizi yale ambayowanafuatilia. Kwanza kwa njia rahisi pesa zimekuwa juu. Kuwe kwa jumla pesa hakuna. Na madawa yawe ya kutosha kisha

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!