13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

65alisema mtakatifu, alikuja Ijumaa, atatoka jumamosi lakini hawezi kuambiwa MTumemohammed alisema nini. Haambiwi, hayahatuyataki.Majimbo yamemalizwa, tunataka Rais wetu. Ma-Rais wagawanywe kila upande kuna Rais wake kuna Rais wake halafuwatakutana Nairobi watakutana Nairobi, watafanya mashauri nchi yaendelea namna gani. Asanteni.Com. Swazuri: asante sana. tumpate Agnes Mnyapara.Mrs. Mnyapara: Mimi kwa majina naitwa Agnes Mnyapara na ni mkaaji hapa wa Kwale town. Namba moja, tunasema yakwamba hatutaki dini yoyote I-advocate divorce. Iwe wakristo, iwe waislamu kwa sababu watoto wengi ndio wanaumiatumekaa tukiangalia twaona watoto wengi wanaachwa kwa sababu ya divorce kuwa nyingi na wanarandaranda huko mitaanibila namna yoyote kwa sababu hakuna mama mwingine anaweza kulea mtoto kama mzazi wake. Kwa hivyo ziwe minimal. Yapili, dini hatutaki iwe associated na politics. Ya tatu, chifu anatakiwa awe mtu ambaye amesoma at least mpaka form four awena D and above. Kenya, mkenya yeyote anatakiwa awe na mali katika republic ya kenya hata kama ni wapi, provided amelipapesa zake kununua ile mali na pesa zake. Kama ni ardhi apewe title deed kwa sababu amenunua ile ardhi, hakupewa nahakuchukua kwa njia ambayo isiyo halali.La tano, tunasema ya kwamba currency hii kubadilisha currency ya kenya mara kwa mara iwachwe, I-remain currency moja tuambao ndio wanakenya wote wanatumia. Yaani currency ile picha yaani saa zote president huyu akija, unaona currencyinabadilishwa ili kulingana na president ambaye amekuja. Ya sita tunataka kuwa tuendelee kuwa na freedom of worshipisipokuwa kuna dini zingine kama hizi zina-advocate devil worshipping.Serikali tunaiuliza dini kama hizo zisiwekwe kwa sababu kuna dini zina-encourage watoto wetu kuvuta bhangi na kula miraa,kitu ambao hazina mwelekeo wowote katika nchi yetu. Tunasema hizi unaona kama mtu kenya, tunataka judiciary itofautishweiwe peke yake itengwe kwa sababu inaweza kuwa na judge. Mtu amefanya makosa lakini akiwa amefanya makosa lakini akiwaamefanya makosa kwa sababu kuna Central Governmentpale anaambiwa pitisha hii kesi namna hii. Hiyo tunataka judiciary iwepeke yake.Ya nane, tunataka hii ambayo imezungumzwa yaani tunataka mali ya bibi na bwana iwe ni yao peke yao kwa maana tunaona yakwamba mtu akifa unaona hii ni loss. Watoto wa shangazi na watu wengine na ndugu za bwana na mama za bwana wanakujakupokonya yale mali. Tunataka mali iwe ni ya bibi na bwana waamue ni nani watakaompatia. Tunataka ile elimu ya 8-4-4 ileilikuwako mpaka form six, iwe ndio hiyo irudi hiyo. Turudishe ile elimu ya zamani.Tunasema mtu yeyote katika Kenyan government au kwa serikali ya kenya, amechukua mali ya raia kwa njia ambayo si yaki-halali, yaani corruption, ashtakiwe na mali irudishwe ile amechukua kwa njia ambayo sio halali kwa sababu ndio nchi yetu

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!