13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

113Com. Swazuri: Mwingine ni Bi. Omari.Mrs. Omari: Bwana kamishina mabibi na mabwana. Salaam Aleikum. Mimi kwa ufupi mambo yangu yamesemwa na watuwengi lakini jambo la kwanza mimi nataka Majimbo kwa sababu Majimbo kukiwa kuna Majimbo jimbo la Pwanikujitawalaitakuwa ni urahisi watoto wetu kupata kazi yatakuwa ni rahisi serikali kutusikiza, wakati huu ambapo serikali ni hiyo kubwahuko watoto wetu hawapati makazi, kwanza hatuna university ambayo ni kitu cha muhimu. Tumepiga kelele kwenye mikutanokila siku tunaomba university hapa lakini hata inaonekana serikali haitujali. Kwa hivyo kwa ufupi tukipata Majimbo tutakuwatunaweza kujitawala ama kujifanyia sisi wenyewe. Jambo la pili ni kuhusu mashamba. Tumenyanyaswa kwa muda mrefu. Mtuumeishi miaka karibu hamsini sitini mahali. Unaambiwa kwamba ni squatter. U-squatter huu hatujui tumetoka Tanzania amatumetoka wapi. Mambo ya squatter hatuyataki. Sisi ni wananchi wa Kenya, na mtu kama umeishi zaidi ya miaka ishirini hainahaja ya kwamba mtu mwingine aje na karatasi kutoka Nairobi huko au kutoka headquaters huko anasema kwamba amepatakaratasi unaambiwa uondoke hapo na una miaka ishirini au thelathini hapo. Mambo ya mashamba ningeomba serikali mpyainayokuja iwe yataachiwa wenyeji. Watu kutoka zamani wanaishi bila title deed na watu walikuwa wakiishi bila kusukumana,bila kupigana. Jambo jingine ni kuhusu akina mama, kina mama kidogo tumebaguliwa, mna-apply kazi, mtu umepita mtihani wahiyo kazi lakini kunakuwa kuna mambo mengine hapo ambayo hayaeleweki.Kwa hivyo akina mama pia tunataka uwezo wa kikazi, tuwe tunapatiwa makazi ya kisasa. Bado kidogo bwana kamishina.Jambo jingine ni kuhusu hao maKadhi pia kama tuliyosema kwamba serikali iwe ya Majimbo, mambo yote tufanye wenyewehapa. na ikiwa pengine haitakuwa hivyo basi sisi watu wa Pwanitupewe jimbo letu tujitawale maanake tumesumbuliwa watotohawapati makazi kwa ufupi kwa vile ameitwa mwenzangu, mimi nasema asante bwana kamishina lakini msisitize hayo mamboya Majimbo.Com. Swazuri: Nasikia kuna machifu ambao wanaogopa kusema. Tunawaambia kwamba tumewasomea hapa sheria, hakunamtu anayeruhusiwa kuadhibu mwingine au kumzuia kutoa maoni yake. hiyo nilisema hapa mbele. Chief, DC, DO hatanilimwambia hata yeye aseme maoni yake kwa sababu chief na DO na wewe ni mwananchi wa kenya. Hutakuwa chief amaDO permanent, kwa sababu utakuwa raia wa kawaida. Kama maoni yangu ukiyatoa. Kwa hivyo ma-chief mlioko hapa,hakuna kuogopa. Sheria iko ambayo inawaruhusu mseme. Wale ma-chief tuliokuwa nao Kinango walisema kila kitu mbonanyinyi mnaogopa? Mama endelea.Mrs. Kauchi : Asante sana bwana kamishina na wazee, na viongozi wa ngazi mbali mbali pia. Mimi jina langu naitwa KauchiChivumba.Com. Swazuri: Wacha tumpishe mama kwanza akimaliza utapata nafasi.Mrs. Kauchi: Mimi kwa jina naitwa Kauchi Chivumba, nawakilisha chama cha national council of women of Kenya, na pia

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!