13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

107national park zao mbali na wananchi. Kwa hivi sasa ndovu hawa wamerudi tunaishi nao. Mimi niko hapa, pale analisha nyasinikimwona tu na jioni niko kwangu.Com. baraza: Hakuna seng’eng’e?Mr. Mwachimonje: Hata seng’eng’e sasa wale watu wa ndovu wameleta ujanja ambao usioeleweka, wanaweka seng’eng’endovu akija akigusa seng’eng’e unaanguka ndovu anapita juu. Kwa hivyo ni kuonyesha mchungaji akiona mahindi anasema nimazuri sana kwa ng’ombe zake na hao watu wa wanyama wakiona msitu wanataka wavunje waje kule kwetu. Jambo jingine nila Rais. Rais asiwe na uwezo zaidi ya watu wengine kwa sababu Mwenyezi Mungu tu ndiye ambaye ni mkubwa kuliko watuwengine wala si binadamu. Jambo jingine tena ni yameshazungumzwa lakini nitatilia nguvu, jambo jingine ni chief achaguliwe nawananchi na awe na umri wa miaka arobaini wala asiandike application eti amepita mitihani na sisi hatumjui vile alivyo. Sisiwenyewe kwa majumbani, ndio tujue ni nani anafaa kuwa chief. Kwa hivyo bi. Kamishina sina zaidi ya hayo, nimemaliza yangu.Com. Baraza: Nenda u-sign hapo na kama umeandika maelezo yako unaweza kutuachia. Mwanakombo Mkoma.Mrs. Mwanakombo: Bi. Kamishina, mabibi na mabwana, salaam aleikum. Mimi sina mambo mengi sana kwa sababu mengiyamezungumzwa lakini ni kutia mkazo na kusisitiza hasa kuhusu jambo la elimu. Elimu yenyewe ama kusomesha baada yakusomesha hadi mtoto kufikia darasa la nane hasa hapa pwani. Huwa kupatikana mtoto ambaye amefuzu zaidi huwa ni shidasana na sio kuwa ya kwamba watu hawasomi ama hakuna waalimu wa kusoma lakini nafikiri ama tukizingatia sana ni kwasababu marking ya mtihani kule huwa ni kwa sababu labda ile equality hakuna ya kuwa baadhi ya wale walio-mark zileexamination huwa wako busy sana huko juu.Kwa hivyo ningeomba ama kusisitiza ya kwamba kila district iwe itawakilishwa na na watu kama wanane kwenda kwa markingkwa mitihani yote kama ni KCPE, kama ni KCSE, wawe wote wanawakilisha district zao. Watu wanane, ningeomba hivyo.Halafu tupate college mbili hapa na university moja, utalii college kwa sababu mambo ya utalii sana yako hapa pwani. Utaliicollege iwe inajengwa hapa na course iwe inafanywa hapa, na idadi kubwa ya wafanyaji kazi ambao watakuwa ni haowanaofanya huko mahotelini iwe inatokana hapa, at least 75%.Halafu tukija kwa university, utakuta hasa watu wa hapa Pwani ama watoto wa hapa Pwaniwanapopita kuchukuliwa kwauniversity wataenda lakini wanapofika kule mtu ame-pass sciences lakini utakuta kitu kule uchaguzi unaofanyika ameenda kupitasciences lakini anapatiwa arts ambayo kwa ile mambo ya arts hakuna hata hasa kuajiriwa sana. yeye ameenda kwa sababuamepita sciences lakini ikifika kule utakuta kuna ule uchaguzi ya kuwa kuna watu asilimia wanaotakikana kwa pale hasaatachaguliwa yale yanayohitajikana lakini mtu anayetoka Pwani anaambiwa wewe utakwenda kwa arts ambapo hilo..Com. Baraza: Akitoka hapa hajui anaenda kwa bachelor gani?

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!