13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

92uhuru.Com. Baraza: Na kama ni serikali kuu ambayo inaangalia watu wa Pwanina maslahi yao. Wajua, serikali mbaya ndiyoinapeleka utajiri mahali pamoja na usifikirie kule mwingine iko kitu na hiyo serikali ni nzuri? Hiyo inapeleka mahali pamojainasahau kwingine. Ikiwa ni serikali nzuri hata hiyo hamtaki au/Mr. Omari: Kama ipi/Com. Baraza: Kama ile barabara zetu inatengeneza, mahitaji yetu yanaangaliwa.Mr. Omari: Lakini sio hii tuliyo nayo. Hii tuliyo nayo inayoendelea Katiba hii haifanyi hivyo.Com. Baraza: Lakini sio Katiba ni serikali. Na serikali ikiwa mbaya ni mbaya.Mr. Omari: Kwa hivyo hii ni mbaya. Haitufai. Hii haitufai, kwa hivyo tunahitaji ile ya Majimbo. Imagine mimi hata baiskeli sinana nimekaa karibu miaka ishirini. Pili, mimi nitazungumza kwa kifupi, upande wa ardhi, ardi zetu nyingi zimechukuliwa. Kwahivyo Katiba hii mpya ijaribu iwezavyo irudishe ardhi hizo ambazo zimechukuliwa kinyume cha sheria kwa wananchi wa hapapwani. Hapo nimemaliza.Upande wa elimu- elimu inayoendelea pia inaendelea kimakosa. Serikali haienezi elimu kama inavyotakikana. Serikali hiiikijenga secondary school hapa, kule kwa wenzetu inajenga university. Serikali ikijenga hospitali hapa kule inajenga hospitali yahali ya juu. Hapa imejenga dispensary sorry. Ikijenga dispensary hapa, kule inajenga hospitali. Huko kwa wenzetu.Tunapendelea equality yaani ugawanyaji uwezo.Com. Baraza: Na kule ninatoka, natoka Western (magharibi), ushasikia mahospitali huko?Mr. Omari: Mimi naona tumemaliza.Com. Baraza: Hapana, bado. Wacha nikuambie, nikuelewana. Huko western hakuna shule, hakuna university, hakunahospitali.Mr. Omari: Western Province hiyo ni pamoja na magharibi, kakamega. Unaniambia hakuna dispensary mama? Ama hospitali?Kakamega? Wananchi hiyo ni kweli hiyo? Na ningependelea kamishina upande wa elimu ya 8-4-4, hiyo haifai kabisa kwasababu ninavyoelewa skuli watoto wanaenda siku tano. Na kwa mfumo huu wa sasa, hizo siku tano hazitoshi mtoto ni lazimaaende kwa tuition na bado hajui kusoma. Kwa hivyo tunapendelea mfumo ule wa zamani urejeshwe ili mtoto akifika seven, awe

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!