13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

70chama ambacho hakijasajiliwa kenya hii na adu. Bwana Swazuri au bwana kamishina, nimepata utaka wa nafsi yanguuliponiambia ya kwamba au ulipotuambia kwamba walioandika memorandum wasisome, wapeane.Com. Swazuri: Sikusema hivyo tafadhali. Nilisema unaweza kusoma na kama hutaki kusoma ukaitoa pale au ukaipitia.Mr. Ali Said: Okey, hapo ni sawasawa. Nimekubali nilikuwa sijakuelewa maanake lilikuwa dukuduku langu ndio nilisemakwamba kwa nini naambiwa memorandum yangu niliyoiandika nisiisome. Lakini kumbe naambiwa naweza nikaipitia. Asante.Bwana kamishina, mengi yamesemwa na Kwale kuna wasemaji wazuri kama vilivyo lakini wasiwasi wetu au wangu ni kwambaje, katika haya mapendekezo yetu tunayoyanakili yatapitishwa, yataandikwa? Hiyo ndio shida yetu. Kwa sababu twawezatukasema twataka serikali ya Majimbo mpaka mamake Majimbo lakini isipitishwe. Itakuwa ni vibaya kwamba sisi twataka hivilakini kisha isitokee. Bwana Swazuri, mimi nasema Katiba hii ambayo leo tunaitayarisha, tulikuwa tuna Katiba ambayoilitengenezwa Lancaster house 1962 na waliotangulia na wakati wa Katiba ambayo ilitupeleka mpaka leo hii. Ajabu ya kenyahii, kuanzia kiongozi aliyetangulia kutawala nchi hii kenyatta aliifanya mabadiliko ya Katiba bila kushauri Bunge bila kushauriwananchi.Ina zaidi ya mara thelathini kubadilishwa Katiba hiyo. Leo hii twashukuru Mungu kwamba imepatikana nafasi ya wakenya kujakutoa maoni yao. Sasa hatujui yatakuwa sasa au itakuwa ni shere. Napendekeza, yale ambayo tutayatoa yawe yatakuwabooked, yapitishwe na yakifanya hivyo ndiyo ina maana kwamba tumeweka huo wakati wetu ya kwamba ulizingatiwa.Bishop Njoroge: Lakini mzee hakuna ile sheria ambayo inatuambia mradi huu, inasema kwamba mkishapeana maoni yenuitaandikwa na Commission na baadaye italetwa kwenu ili kwamba ikiwa kuna kitu mlisema ambayo haijawekwa, mtawezakuweka wakati ule, pia mnajua hii itapitishwa na waBunge wote na watu watatu kutoka kila district, na watu wa makanisa namisikiti pia watakuwa katika ile conference, sasa ni wapi tena inaweza kuwa haiwezi kupitishwa.Mr. Ali Said: Hili ni moja. Sisi wale ambao wako village sasa hivi ni zaidi ya watu mia sita ambao wata/ na kutakuwa kunauwezekano katika hao waBunge na wale delegates ambao watakuwako huko ni rahisi kuwa convinced. Maoni yangu nikwamba, twaomba Tumehii yale ambayo tumeyasema yawe ni sheria.Com. Swazuri: Haiwezekani hiyo maanake ni lazima tuchukue maoni ya wananchi wote wa kenya, wewe toa pendekezo lakona yule lake.Mr. Ali Said: Haya, haya bwana kamishina tumesema kwamba twataka serikali ya Majimbo na mpaka mimi nami nasematwataka serikali ya Majimbo na serikali ya Majimbo tuitakayo ni hii. Kuna aina nyingi za serikali ya Majimbo lakini tuitakayoserikali ya Majimbo ni ile ambayo itakuwa na bonge mbili. Tuwe na senate, tuwe na upper house. Na katika jimbo kutakuwa naviongozi wafuatao. Tutakuwa na governor, na huyu governor lazima achaguliwe na wananchi. na yule waziri mkuu na Rais

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!