13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

110Mr. Mwakungu: Hatuwezi kuuza kwa sababu mimi nikiwa mdogo kama mwaka sabini na sita kama sina makosa ama sabinina saba nilisikia Ngala ameenda Ukunda kulikuwa kuna shamba ina matatizo huko. Ngala akaenda akaitoa hiyo shamba naalisema hakuna mtu ambaye ataiuza, na mpaka dakika hii sehemu hiyo ya Ukunda ya shamu hakuna mkikuyu wala nani, ni waowenyewe wanamiliki ardhi yao. Kwa hivyo kama kutakuwa tuna haki yetu kuna faida gani mimi nina shamba acre kuminikatafute mkikuyu nije nimuuzie. Ndio mambo tusiyoyataka hayo mama. Hatuuzi.Com. Swazuri: Bakari Kazi Mwakazi.Mr. Bakari: Asante sana kamati ya kurekebisha Katiba kwa kuja hapa Pwanikwa kutaka maoni ya wananchi. hivi sasaninavyozungumza, mimi jina langu naitwa Bakari Kazi Mwakazi kutoka hapa Goleni. Mimi ni mkulima. Mimi nashukuru kwakupata hii nafasi, kwa kuzungumza machache ijapokuwa mengi yameshazungumzwa na kile ililozungumzwa kwa kusema kweliimenifaa. Na kama ingekuwa watu wanachukua memorandum mpaka dakika hii ningesema hii maneno imekwisha kwa sababukila mmoja atakayekuja anasema habari ya Majimbo. Mbona matatizo haya yote uliyoyasikia katika katika mambo yawananchi vile wanavyolalamika. Ni kwa sababu ya usawa wa serikali haifanyi usawa katika wananchi wake hasa katika Kwale.Sasa basi, katika urekebishaji huu wa Katiba hii ya sasa ambayo tunatarajia pengine tutaambiwa vile tumezungumza kwasababu siku za nyumba tulikuwa na Tumekama hii ya Njonjo na akaje mpaka hapa. tukapiga kelele, tukapiga kelele baadayehiyo ikatokomea kabisa ikaenda.Com. Swazuri: Tumeya Njonjo haiandamani na Tumeya kurekebisha katiba.Mr. Bakari: Sawa, sasa wasiwasi wangu ni kwamba kwa vile hatujapata majibu naona labda imetokomea, lakini asante.Sasa, kelele zote hizi bwana mimi nataka jambo la kwanza, Majimbo. Utawala wa Majimbo katika kenya. Na kama katikakenya wengine hawataki sisi watu wa Pwanitunataka Majimbo. Pili, neno squatter kwa vile sisi tumepata uhuru liondoke. Tatu,scheme iondoke hasa katika Kwale kwa sababu haina usawa kulingana na kugawanya. Mahali scheme ni mahali ambapohakuna mimea ya watu. Ni mahali msitu hiyo inaitwa scheme kila mmoja yule ambaye hana shamba aende. Lakini scheme ikiwahapa Pwanihasa Kwale district ndio watu wagonjwa sana katika kenya nzima. Ijapokuwa watu wanasema kenya ni moja.Yes, ni moja, mtu anaweza kukaa mahali popote lakini aliyesema kenya ni mbili ni nani. Si ni moja lakini kila mmoja anastahiliakae pale mahali pake ambapo Mwenyezi Mungu alimwambia akae hapo. Kwa mfano kuna wakamba, kwao ni ukambani,wadigo kwao ni coast, wakikuyu kwao kikuyuni, wajaluo kwao ni ujaluoni. Sasa ikiwa Mwenyezi Mungu alipanga hivyo kwanini sisi tukaidi? Tufuate hivyo hivyo. Kwa hivyo kelele zote bwana hizi ni Majimbo. Na hii ya kusema 80% kila kitututatengeneza tukiwa tumepata Majimbo lakini ugonjwa mkubwa tunataka Majimbo.Na wenzangu umewapa dakika tano lakini mimi sitaki hizo ni nyingi sana. hizo zangu ni mbili tu tatu lakini yote yamezungumzwa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!