13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

120ambazo zilikuwa bado ni trust, walizipa majina ya trust land wakazipa whatever zote zimerudi kwa hao watu wakubwawakubwa wote. Kwa hivyo swala hilo nilikuwa napenda sana liangaliwe.Pia naungana mkono kwamba swala hili la uongozi wa sehemu za hawa ma-governor kama nilivyotangulia kwamba isiwe niuongozi wa maPC uondoke na pia uongozi jimbo liwe na full mandate ya kutengeneza serikali yake, kutoka makao makuumpaka chini. Naamini wakifanya hivyo hawatafanya vile ambavyo watu wananchi hawapendi. Labda nibakishe mengine yaleambayo nitazungumza kule Lunga lunga. Lakini tunasema basi makamishina ikiwa Katiba hii kati ya vile tunatoa maoni yetu tunawasi wasi kama haitaongoza katika serikali baada ya uchaguzi basi tuna wasiwasi watakaochukua huenda marekebisho hayakama hayataenda mfululizo mpaka kutengeneza serikali inayokuja. Tuna wasiwasi kwamba basi watakaochukua penginehuenda ikapigwa marufuku, ikatupiliwa mbali. Kwa hivyo pia natoa maoni kwamba ni serikali inayokuja iongozwe na hayamaoni ya watu wa kenya. Isiwekwe kando watu wakasema wafanye kitu kidogo kwanza kwa sababu we believe watu wenginewakija wakichukua wale ambao kwa sababu we believe wengine wakija wakichukua wale ambao kwa sababu saa hiitunaondoa mamlaka kwa mfano.Maoni yangu pia naungana na wenzangu kwamba mamlaka ya Rais yamekuwa makubwa na ni kutoka tupate uhuru. Kwa hivyoyapunguzwe na uwezo wapewe parliament. Pia napendekeza Rais wa Jamhuri ya kenya baada ya kuwa Majimbo yanajitawalaawe hatoki kwa chama chochote. Napendekeza tuwe katika serikali ya kenya katika Majimbo yanayokuja tuweze kuwa nawaziri mkuu.Pia napeana maoni yangu kama wanakenya watakataa namba kubwa ya neno la Majimbo basi tunawauliza makamishinawatafute kipengele chochote cha kuwezesha wale ambao ni kilio chao wapewe sehemu yao ya jimbo lao kwa sababu hiyoimefanyika sehemu za Canada. Kwa hivyo kwa vile tunasikiza ma-civic providers wengi wa kutoka nje na wa kutoka ndani.Kwa hivyo ikiwa ni lazima kwa sababu wengine wanayaogopa, ikiwa ni lazima basi jimbo hili la Pwanimukae mje na decisionsawasawa ya kuachiwa hili jimbo letu kwa amani. Mengine nimebakisha, tutakutana inshallah.Com. Swazuri: Asante sana councillor Mabavu.Mr. Mwajuma: Bi. Kamishina na bwana kamishina na mabibi na mabwana salaam aleikum. Mimi maneno yangu ni machachesana kwa sababu mimi nimechaguliwa huko Golini ni chairman na tumeandika ripoti yetu hapa, amekuja secretary wanguakaandika lakini akaambiwa tosha hapo na amepeleka kule. Kuna ripoti kamili ya hayo tumeandika lakini sasa mengine bilashaka tumeandika kama tumesema niseme. Ni hivi naweza kuangalia hawa makamishina. Bwana kamishina, sisi Pwanikutokakizingitini mpaka Vanga na kwa nini juzi niulize swali lile lile na leo naliuliza vile vile. Mbona ulichaguliwa wewe mwafrika pekeyako kutoka kizingitini mpaka vanga. Kwa nini?Sasa serikali hii ya Katiba haikufanya kazi. Mimi nalia choyo kabisa kwa sababu ukaniambia kwamba kuna wawili

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!