66imekuwa na shida zile tuko nazo kwa sasa kwa sababu mali zetu zina watu wamechukua pesa, wakajitajirisha, sisi tunakaamaskini na watu wamechukua mali.Na kile kingine tunasema ni tukikuwa mabibi tunakataa. Yaani bwana ameoa bibi hapa, amemfanya ni kama ni mbuzi yakekupika kila wakati, hiyo tunakataa, yaani ashtakiwe, akimpiga mwanamke. Kitu kingine nitazungumzia na ndio ya mwishoingawa sikumaliza karatasi nitapeana donors kenya tunataka wakija wa-deal na associations bila pesa kupelekwa kwagovernment kwa sababu zikienda huko kama ni kwa jua kali fulani, ama association fulani haipati zile pesa, zinaenda njia zinginekwa hivyo tunataka kama ni kikundi fulani kipewe hizo pesa kifanyie kazi hicho kikundi.Com. Swazuri: Asante sana mama. Andika jina lako pale na utuachie hiyo memorandum hapo na atafuatiwa na councilorMwajuma ajiweke tayari.Mr. Juma Ali: Mimi kwa majina ninaitwa Juma Ali Mwachiama, councilor wa kutoka Ziwani ward, Kwale town council. Sisikama watu wa Pwanitulivyo, mengi yameshasemwa kwamba tunataka Majimbo kwa hivyo swala hilo siwezi kulirudia tenalakini naongezea tu kwamba tunataka Majimbo kivipi. Sisi watu wa Pwanihapa kutoka tupate uhuru naona tumetengwa sana.kuna rasilimali zetu kama minazi, korosho, na hali kadhalika. Hii imerudishwa yaani iko nyuma hata haitajwi lakini kwa sehemuzingine kama kahawa, chai, hata kuna mabodi yamekuwa set-up, hili ni jambo la kuhuzunisha.Kwa nini hizi miti miwili korosho na mnazi usifanyiwe board nayo ikafanyiwa utafiti na ikawa inatambuliwa na serikali tukapatamazao yetu. Mapato yetu kwa sababu mtu wa Pwani yeye ametegemea sana mnazi, ametegemea sana korosho na huu mnazi nimti ambao hakuna chochote unaweza kutupa. Mnazi tunajengea nyumba, mnazi tunapata pombe, tunapata kila kitu kamba, kilakitu, mafuta lakini hautambuliki. Tunaomba katika Katiba hii tunaiandika saa hii, hii miti miwili nayo itambuliwe. Iwe inafanyiwakama vile kahawa na chai.Pili, tunataka Majimbo kivipi? Tunataka Majimbo ambilikanayo na sisi tuwe sawa na wale wenzetu wa bara. Tukiangaliakielimu, kiafya, mambo yote yako huko bara. National schools ziko huko bara, public universities ziko huko bara, hapaPwanihakuna chochote. Jingine, tunataka kimajimbo vipi? Tunataka kimajimbo kwa sababu za ardhi zetu. Ardhi zilinyakuliwampaka sasa mtu wa Pwani amekuwa ni squatter na hii ni jambo la kuhuzunisha kabisa. Basi katika Katiba hii, mimi ninaomba nanataka iandikwe kwamba wale walionyang’anywa ama ardhi zao zilizonyakuliwa zirudishwe, warudishiwe wenyewe na zileardhi za serikali ambilikanazo zimechukuliwa, zirudishwe, zigawanywe kwa wananchi ambilikanao hawana mashamba.Kuhusu mambo ya mapato ya pwani, mengi yamesemwa lakini mimi naongeza. Katika hapa Pwanisisi tuna mapato mengi. Tunamapato ya utalii, tuna mapato ya port yetu hapa ndio ambilikanao ni kama mlango wa kenya. Mapato haya yote katika hizi kodina mapato mengineyo, mimi nasema 75% iwe inamilikiwa na jimbo. 25% iwe inaenda kwa central government, kwa sababutukiangalia barabara zetu zimewachwa nyuma, mambo ya hospitali yameachwa nyuma, kila kitu, hii 75% iwe inagharamia haya
67mambo yetu ya development ya barabara, mahospitali yetu, tuwe mwananchi wa kawaida akienda kule hospitali asiambiwe etikuna cost sharing. No! hiyo cost sharing iwe haiko.Mambo ya elimu- kuanzia nursery mpaka std. 8 iwe completely bure. Kuwe kuna vitabu vya kuandika, vitabu vya kusoma, nazile ambilikanazo ni kama pencils, pens vyovyote ambilikanacho yule mwanafunzi anahitajika awe ni bure kwa sababu umekuwani mzigo wa sisi wazazi. Kuna watoto wengi sana hivi ninavyosema wako nje kwa sababu juu ya kitu kidogo ya vitabu hana,mzazi hawezi kununua. Kwa hayo machache sitasema mengi sana lakini ninarudi hapo kwa upande wetu kuna hizi factories zetukama kenya sugar factory, ilikufa zamani, lakini jambo la kusikitisha, hapa pwani, vitu kama vile vikifa serikali haiangalii.Kuna mambo mengi kule kwa wenzetu, sijui ni sony sugar, sijui ni chemilil, zikifa serikali inatia mkono inaendelea. Kwa nini sisiwatu wa Pwanituwe ni kama tunabaguliwa, tunataka vitu kama hivi. Hivi nisemavyo, serikali isikie kwamba watu waPwaniwanataka mtambo wao wa korosho, wanataka mtambo wao wa sukari, iwe inarekebishwa na sisi tujione kwamba yes!Tuko huru. Kwa hayo machache ninasema ni asante sana.Com. Baraza: Two clarifications. You understand English. Kiswahili I don’t understand, I don’t speak it well. Umesemaincome ya pwani, 75% ipatiwe kwa jimbo lenu, 25% iende kwa Central Governmentna pia unasema elimu iwe free. Sasa hiiitagharamiwa na nani, hiyo elimu.Mr. Juma: Hii elimu tumesema itagharamiwa na hii 75% kwa sababu mapato yote tutagawanyia serikali 25% sasa sisitumebaki na sanduku letu la pesa.Com. Baraza: Okey, sawa. Swali lingine, umesema industry na vitu vingine vya Pwanivikifa vinakufa tu, hakuna mtu ana….Serikali haihusiki na huko bara, sukari nini. Mimi huona hao waBunge wa kule wanafanya kazi sana. wao ndio wanatetea nyinyiwaBunge wenu huwa mnahusikana namna gani kwa hii mambo ya representation kwa sababu mimi nimeona waBunge wetuhuko kwa sukari, wanapigana. Nimeona huko watu wa chai na majani ni waBunge, sio tu wa serikali. Niambie, mmekuwa nawaBunge na wamewafanyia nini?Mr. Juma: Bi kamishina hebu kidogo, si kwamba waBunge wetu hawasemi. WaBunge wetu wanasema mpaka machoziyanatoka ya damu lakini nasikitika hawasikilizwi. Wanasema tu kama hivi hata haya ninayosema sijui yatapelekwa ama namnagani lakini naamini yatapelekwa na waBunge wetu ndio vile vile, wanalia lakini hakuna chochote ambilikanacho kinashughulikiwapwani. Liko swali lingine ama niongeze zaidi.Com. Swazuri: Baada ya councilor mwajuma tuna Rashid Mwatsuma.Mr. Rashid: Asante bwana kamishina, jina langu kamilifu naitwa Rashid Abdallah Mwatsuma kutoka location ya Gombeni.
- Page 45: VERBATIM REPORT OF45
- Page 50 and 51: 50ONMAY 3, 2002.CONSTITUENCY PUBLIC
- Page 52 and 53: 52watu wenyewe walio na jimbo mapat
- Page 54 and 55: 54kinyume cha yule aliyemchagua. Un
- Page 56 and 57: 56machache asante sana.Com. Swazuri
- Page 58 and 59: 58Com. Swazuri: Andika jina lako pa
- Page 60 and 61: 60kuna uwezekano kuwa mwananchi yul
- Page 62 and 63: 62ardhi kwani hakuna mtu yeyote amb
- Page 64 and 65: 64kuu zetu watu wetu waende nyumban
- Page 68 and 69: 68Kwanza langu mimi nitazungumzia k
- Page 70 and 71: 70chama ambacho hakijasajiliwa keny
- Page 72 and 73: 72yawafikie wenyewe.Bahari- bwana S
- Page 74 and 75: 74Serikali iwe na makao ya wazee ma
- Page 76 and 77: 76Mrs. Juma: Bwana kamishina, Bi. K
- Page 78 and 79: 78Mr. Salim: Bwana kamishina, akina
- Page 80 and 81: 8090 and 120 kwa sababu nasema hivi
- Page 82 and 83: 82Heri, mkenya kutoka mkoa wa Pwani
- Page 84 and 85: 84Mr. Daima: Itapata the same testi
- Page 86 and 87: 86Kama ilivyo desturi ya serikali y
- Page 88 and 89: 88me understand this. ‘Mr. Ali: A
- Page 90 and 91: 90Serikali- tumesema twataka serika
- Page 92 and 93: 92uhuru.Com. Baraza: Na kama ni ser
- Page 94 and 95: 94I say, the constitution of kenya
- Page 96 and 97: 96Sisi vina, sauti ya umma tunacho
- Page 98 and 99: 98Com. Swazuri: Asante sana, nenda
- Page 100 and 101: 100elimu ya kutosha. Kwa hivyo ni l
- Page 102 and 103: 102na anakosa kunufaika na ile ardh
- Page 104 and 105: 104village anamshinda mBunge, chair
- Page 106 and 107: 106Katika hizi uongozi iwe vile vil
- Page 108 and 109: 108Mrs. Mwanakombo: Hata kama anaju
- Page 110 and 111: 110Mr. Mwakungu: Hatuwezi kuuza kwa
- Page 112 and 113: 112issue kama ya national identity
- Page 114 and 115: 114kwa vile mimi ni mama, watoto pi
- Page 116 and 117:
116Tunataka katika Katiba hii mpya,
- Page 118 and 119:
118industry yoyote. Kwa hivyo all f
- Page 120 and 121:
120ambazo zilikuwa bado ni trust, w
- Page 122 and 123:
122mambo yote yawe sawa.Com. Swazur
- Page 124 and 125:
124Ikiwa wa hamu moja ni kama miaka
- Page 126 and 127:
126Makamishina hili jambo liwekwe k
- Page 128 and 129:
128wakati mmoja kwa sababu itakuwa
- Page 130:
130mtu. Lakini waislamu yetu ni Iju