13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

66imekuwa na shida zile tuko nazo kwa sasa kwa sababu mali zetu zina watu wamechukua pesa, wakajitajirisha, sisi tunakaamaskini na watu wamechukua mali.Na kile kingine tunasema ni tukikuwa mabibi tunakataa. Yaani bwana ameoa bibi hapa, amemfanya ni kama ni mbuzi yakekupika kila wakati, hiyo tunakataa, yaani ashtakiwe, akimpiga mwanamke. Kitu kingine nitazungumzia na ndio ya mwishoingawa sikumaliza karatasi nitapeana donors kenya tunataka wakija wa-deal na associations bila pesa kupelekwa kwagovernment kwa sababu zikienda huko kama ni kwa jua kali fulani, ama association fulani haipati zile pesa, zinaenda njia zinginekwa hivyo tunataka kama ni kikundi fulani kipewe hizo pesa kifanyie kazi hicho kikundi.Com. Swazuri: Asante sana mama. Andika jina lako pale na utuachie hiyo memorandum hapo na atafuatiwa na councilorMwajuma ajiweke tayari.Mr. Juma Ali: Mimi kwa majina ninaitwa Juma Ali Mwachiama, councilor wa kutoka Ziwani ward, Kwale town council. Sisikama watu wa Pwanitulivyo, mengi yameshasemwa kwamba tunataka Majimbo kwa hivyo swala hilo siwezi kulirudia tenalakini naongezea tu kwamba tunataka Majimbo kivipi. Sisi watu wa Pwanihapa kutoka tupate uhuru naona tumetengwa sana.kuna rasilimali zetu kama minazi, korosho, na hali kadhalika. Hii imerudishwa yaani iko nyuma hata haitajwi lakini kwa sehemuzingine kama kahawa, chai, hata kuna mabodi yamekuwa set-up, hili ni jambo la kuhuzunisha.Kwa nini hizi miti miwili korosho na mnazi usifanyiwe board nayo ikafanyiwa utafiti na ikawa inatambuliwa na serikali tukapatamazao yetu. Mapato yetu kwa sababu mtu wa Pwani yeye ametegemea sana mnazi, ametegemea sana korosho na huu mnazi nimti ambao hakuna chochote unaweza kutupa. Mnazi tunajengea nyumba, mnazi tunapata pombe, tunapata kila kitu kamba, kilakitu, mafuta lakini hautambuliki. Tunaomba katika Katiba hii tunaiandika saa hii, hii miti miwili nayo itambuliwe. Iwe inafanyiwakama vile kahawa na chai.Pili, tunataka Majimbo kivipi? Tunataka Majimbo ambilikanayo na sisi tuwe sawa na wale wenzetu wa bara. Tukiangaliakielimu, kiafya, mambo yote yako huko bara. National schools ziko huko bara, public universities ziko huko bara, hapaPwanihakuna chochote. Jingine, tunataka kimajimbo vipi? Tunataka kimajimbo kwa sababu za ardhi zetu. Ardhi zilinyakuliwampaka sasa mtu wa Pwani amekuwa ni squatter na hii ni jambo la kuhuzunisha kabisa. Basi katika Katiba hii, mimi ninaomba nanataka iandikwe kwamba wale walionyang’anywa ama ardhi zao zilizonyakuliwa zirudishwe, warudishiwe wenyewe na zileardhi za serikali ambilikanazo zimechukuliwa, zirudishwe, zigawanywe kwa wananchi ambilikanao hawana mashamba.Kuhusu mambo ya mapato ya pwani, mengi yamesemwa lakini mimi naongeza. Katika hapa Pwanisisi tuna mapato mengi. Tunamapato ya utalii, tuna mapato ya port yetu hapa ndio ambilikanao ni kama mlango wa kenya. Mapato haya yote katika hizi kodina mapato mengineyo, mimi nasema 75% iwe inamilikiwa na jimbo. 25% iwe inaenda kwa central government, kwa sababutukiangalia barabara zetu zimewachwa nyuma, mambo ya hospitali yameachwa nyuma, kila kitu, hii 75% iwe inagharamia haya

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!