13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

121walichaguliwa lakini wale wawili kwa kusema kweli hatutaki kutaja kabila lakini wale wanafuata ukabila. Hata siku moja weweumesimama hapa mara kadha wa kadha. Hata siku moja mwenzako wa huko uliochaguliwa nao hajaja akazungumza nasi.Hajaja akazungumza nasi hapa. sasa hatufai huyo, tunataka bwana ama bibi atakayesema aseme nasi na sisi tumjibu ili makusudiafahamu tunasema nini na yeye aseme yale yale.Lakini mpaka sasa nasikitika bwana, wewe peke yako huwezi Pwanihii. Mimi nataka nyinyi muwe watano. Nataka nyinyimuwe watano, kutoka kizingitini mpaka vanga, kutoka mombasa mpaka taita, hii ni nchi kubwa sana, mtu mmoja hawawezi. Nawale wenzako wamechaguliwa lakini ni kimbelembele. Ni watu wa kimbelembele, najua nimeketi nao mimi. Najua watukimbelembele, sitaki kuwataja.Com. baraza: Hata sisi ni makamishina, kwani hatuwezi kuelewa mambo ya coast?Mr. Mwajuma: Ndio sasa namweleza yeye sasa ataelewa na wewe utaelewa vile vile madam. Kwa sababu kwa ninimlimchagua mtu mmoja tu, mwafrika mmoja tu kutoka kizingitini mpaka vanga. Kutoka Mombasa mpaka taita mwafrikammoja. Ni nani mwafrika mwingine mnayemtaja?Com. Baraza: Mimi na yeye tu waafrika.Mr. Mwajuma: Ni mwafrika lakini sasa kwa kusema kweli sisi tunazungumza Majimbo, mimi nikizungumza nazungumzaMajimbo. Sasa wewe hauko katika jimbo. Sasa kwa sababu hii, tafadhali nataka wewe uongezwe wenzako maana weweutakufa bwana. Unasema mpaka kichwa kinaumia, uende Vanga, uende Lunga Lunga, uende Diani, uje Kwale na kila kitu kwanini? Kwa nini iwe namna hiyo? Mimi nasema hivyo kwa sababu ya mimi sina maneno mengi, na maneno yote nitayaonakwenye Katiba ile lakini nasema tafadhali, mama amesema lakini mama yeye ni wa upande wa bara. Sasa bwana, bibi weweuko upande wa bara bibi wewe. Wewe uko upande wa bara wewe.Com. Baraza: Ee mimi natuka bara lakini huyu jamaa wa coast anaweza kuenda asikize maneno yao.Mr. Mwajuma: Ngoja. Lakini je, mtu wa coast mmoja aangalie ma-district saba, ma-DC manane mtu mmoja peke yakeatafanyaje. Watembea naye lakini wewe hujui hii lugha tunazungumza. Sasa mimi nikisema kilugha yeye atasikia lakini wewehausiki.Com. Swazuri: Haya mzee tumesikia.Mr. Mwajuma: Basi mimi sina mambo mengi lakini naomba Mungu kwamba kazi yenu iwe nzuri na sisi tuendelee vizuri tupatehakika tupate Majimbo. Tukipata Majimbo kelele zitakwisha. Tupate governor wetu tupate na nyinyi na kadhalika na kadhalika

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!