13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

89NGO nyingi zinaingia huko juu na wizara hizo eti zinasimamia maslahi ya akina mama na watoto.Mfano kama AIDS na mambo ya poverty. Wizara ziko huko na maofficers wengine sijui children’s officer, sijui nani lakini hizipesa zinazotolewa na wafadhili hazifikii mama yule ambaye yuko grassroots anayepata taabu na watoto wake. Anayepata taabuna watoto mayatima ambao wazazi wao wamekumbwa na ukimwi. Hilo ni janga ambalo tumeliangalia sana na hao waBungetunaowachagua sisi akina mama ambao 90%ni kura zetu sisi akina mama. Wakienda kule wanagandamizwa hata hawazungumzimambo ya akina mama vilivyo.Huyu mBunge mmoja wa tarafa hatoshi kwa sababu yeye pengine akipewa uaziri au minister, kukosa pengine hata hakupewaataangalia mambo yake na maslahi yake ya watu wengine na familia yake. lakini hazungumzii akina mama. Kwa hivyo tunaombaMP, councillor, PS na ministers waanzie wizara yao mbali kama ile ya Zanzibar niliyokwenda iona. Kwa hakika akina mamahawana taabu nyingi. Ma-NGO yakiingia yanaingia kwa waziri. Zinaingia mpaka huko, halafu kabla hiyo wizarahaijazungumziwa na hiyo Katiba kuundwa. Kuwe na shule kila location shule special za watoto mayatima na wale needyfamilies. Kwa sababu hiyo misaada inayoambiwa inazungumziwa mambo ya mayatima sisi kina akina mama hatuioni kabisa.Halafu ombi langu lingine ni gender (jisia). Mila ya mduruma na mdigo, wakioana wana mapenzi mazuri sana lakini familiazingine huanza chuchuchu! Chochocho! Mpaka mama anajifikia aende kona halafu anafumaniwa. Akifumaniwa mama huyuanatozwa malu na akitozwa malu, haya zaenda kwa bwana. Lakini ikiwa ni gender ama jisia, tunaomba pia baba nayeakifumaniwa atozwe malu. Atozwe malu, maanake huyu mama pia anasononeka na chombo chake. Mbona huyu ameniachaameenda kutafuta mke mwingine na nimemfumania. Kwa hivyo naye pia yule mume atozwe malu. Sio mke saa zote malu malu aa! msitufanye biashara hapa.Lingine, ni malipo haya ya Kadhi ya uzeeni. Malipo haya yanachelewa sana. unaweza kustaafu ukakaa mpaka ukafa hivyohivyo, utapata fidia yako ya malipo ya Kadhi. Kwa hivyo ombi langu naomba Katiba mpya ikiwa pengine bado mwaka mmojaama miezi sita nipewe kidogo kidogo angalau mwenyewe nikienda nitamaliza ile miradi yangu kabla sijafa, mbona hii malipo yauzeeni ya wafanyi kazi yachelewa hivi? Katiba mpya ombi langu, tuanze kulipwa kabla ya ule mwaka haujamalizika. Halafumwisho kabla hujaniambia bado dakika moja, mwisho naomba hivi, hawa machifu ikiwa hawatarudi wa mlolongo ni wakufanyiwa interview na masub-chief hawa ni wafanyi kazi wa serikali kweli kweli kabisa. Basi ikiwa chief hashughulikiimaendeleo ya akina mama huko kwa location, kuwe Katiba mpya iseme hao machief na ma-subchief wapewe ma-transferkama ma-DO ili tupate ma-chief na masub-chief wengine ambao wana maendeleo waje watuendeleze sisi kwa ma-location.Asanteni.Mrs. Amina: Mabwana Commissioners, mama kamishina mabibi na mabwana Hamjambo. Mimi ninazungumza, nawakilishashirika la akina mama ninaloitwa national Commission on the status of women Kwale branch. Jina langu naitwa AminaMwaronga.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!