13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

60kuna uwezekano kuwa mwananchi yule akawa ni mwananchi wa nchi mbili. Tulisema, mambo hayo yaondolewe, ili mtuakizaliwa aamue kama anataka kuwa mkenya awe mkenya au anataka kuwa nchi ingine.Halafu tukazungumzia mambo ya usalama ambayo ni defence national security, tukasema Rais asiwe peke yake katika uamuziwa mambo kama hayo. Lazima kuwe na speaker wa senate ambaye atakuwa anasaidia Rais katika mambo hayo, kutakuw navile vile waziri ambaye anahusiana na usalama na vile vile mkuu wa majeshi pamoja na mkuu wa sheria. Tukazungumzia habariya vyama vya siasa. Sasa vyama vya siasa vimekuwa vingi sana zaidi ya vyama arobaini. Tulizungumza tukasema kwamba natukakubaliana kwamba vyama viendelee kusajiliwa lakini visipate ruzuku yoyote kutoka kwa serikali na vyama hivi vitaishavyenyewe automatically.Vitapunguzwa halafu vile vinaonekana ni vya haki, vitaendelea na shughuli zao. Halafu tukazungumza mfumo wa serikalitunayoitaka na tukakubaliana tunataka mfumo wa serikali ya Majimbo ambayo itakuwa inaangalia watu wake. Katika mfumowa serikali ya Majimbo tulizungumzia tunataka maBunge mawili, ile lower house na upper house. Katika lower house ile originalhouse ambayo itakuwa maamuzi yatafanywa hapa na kama kuna umuhimu, ya upper house itakuwa inashughulika na mambo yanchi nzima yote lakini regions zipewe powers zake. Halafu tulisema Rais asiwe ni mBunge wa sehemu yoyote. Awe ni presidenttu wa nchi, kwa sababu system ya sasa iliyoko Rais anakuwa ni mBunge inaonekana inalalia kwake zaidi. Hizi system zipo hataTanzania, Rais sio mBunge wa sehemu yoyote, kwa hivyo hata sisi tulipendekeza kuwa katika serikali ijayo Rais asiwe mBungewa sehemu yoyote. Apiganie kiti cha uRais peke yake, halafu atangaze mapema kuwa mimi nasimamia uRais lakini makamuwangu atakuwa mtu fulani, tujue mapema.Halafu, watu wa Waa tulisema katika zile powers ambazo tutakuwa nazo katika regions kuna power fulani tutazipeleka katikacentral government, kwa mfano usalama, na foreign affairs mambo ya nje kwa sababu usalama tuliona tukichukua katikaMajimbo, Majimbo mengine yanaweza kuchukua advantage wakazusha vita ambavyo vitaleta balaa.Halafu watu wa Waa, tulisema Majimbo ambayo tumetaka sisi ni yale yaliyopo sasa. Coast province, central province, Nyanzaprovince, Nairobi, whatever na hayo Majimbo yote yaende vile vile yalivyo. Halafu tukasema ma-mayor wote na ma-chairmankatika mabaraza wachaguliwe kwa mfano chairman wa Kwale county council achaguliwe na watu wa Kwale wote, siomadiwani kama vile tunavyofanya hapa lakini wananchi wote wa Kwale wahusike katika kuchagua madiwani kama viletunavyofanya hapa lakini wananchi wote wa Kwale wahusike katika kuchagua ma-mayor au ma-chairmen wao.Halafu tukasema, kwa sasa nafikiri umri wa kupiga kura ni miaka ishirini na moja lakini tukasema upunguzwe mtu kuanzia miakakumi na nane awe na uwezo wa kupiga kura. Watu wa Waa tulipitisha kuwa mtu yeyote anayepigania kiti cha uBunge awe naelimu ya shahada ya chuo kikuu kinachotambulika. Kwa hivyo waBunge wote tunataka wawe na elimu ya juu ya chuo kikuukinachotambulika, halafu ma-mayor au madiwani wawe na elimu ya form four na kuendelea.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!