13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

8090 and 120 kwa sababu nasema hivi, ndio sababu unaona wakienda kule hawazungumzii mambo ya pesa za watu. Wakiendakule wanadanganywa wanazungumzia watu tunateswa na ndio wanatutesa. Kama mshahara ya MP wetu amechukua amaanalipwa 600,000 how much tax can be paid to a person who works in a DCs office as a clerk anapata elfu sita, anawezakuandika clerks wangapi kenya nzima.Com. Baraza: Si atawapatia kidogo?Mr. Mwania: Apatie nani? Hapatii mtu.Com. Baraza: Na barabara?Mr. Mwania: Na kitu kingine.Com. Baraza: Na harambee?Mr. Mwania: Harambee, mpaka tumwite yeye hajui tulimchagua. Ngoja nizungumzie kwa upande wake vile tunataka MPawe. MP tunataka awe pawekwe sheria katika kenya iwe MP kuja kuona watu wananchi kule waliomchagua iwe ni lazima naimepangwa iwe kwenye ratiba. Si wakati ule anajisikia yeye ana problem ndio anakuja na kuwe na terms zake aki-fail iwe nikama Bungeni. Mbona Bungeni aki-fail kwenda Bunge tatu haruhusiwi kuingia? Kama haruhusiwi kuona wananchi wale ambaowalimchagua wamwelezee mambo yake, sisi tuna-vote of no confidence na tunaandika barua unanimously tunasema sisihatumtaki.Upande wa chief- chief or sub-chief ni lazima awe ni mtu ambaye ana vision ya pale mahali na mtu ambaye hana vision maranyingi kulingana na world vile dunia inaenda, mtu ambaye mara nyingi vision ya mtu ambaye hajasoma iko limited. iko nakiwango chake nafikiri. Ukimwendea zaidi ya hapo anaona kama ni matusi. Chief maanake ndio kiongozi na ndio macho yaserikali. Huko ngazi ya chini, ni mpaka awe ni mtu amesoma na akiwa mpaka form four na ikiwezekana hata ikiwa ni universityna kiwango cha mishahara yao iambatane kulingana na education yake vile inakaa.Achaguliwe, maanake tumeona mambo ya kwenda kwa DC kwenda kuchaguliwa pale anamchagua kwa sababu yeye ndioanaunga mkono MP fulani apite kwa sababu ni wa chama cha KANU ama chama cha NDP. Mtu yeyote wa kenya anawezakufanya kazi mahali popote. Mimi wakati niliajiriwa niliambiwa uko tayari kufanya kazi mahali popote? Nikakubali. Kwa hivyomtu yeyote anaishi kenya, ana ruhusa ya kukaa mahali popote lakini ikiwa ana kitu ambacho anataka ku-process kama yeyeamekuja kuishi hapa.Amekuja Kwale kwa mfano kama mimi nimekuja hapa lakini within a short time nina-land over one hundred thousand acres.Sasa mimi either nitumie njia nzuri. Sasa hiyo ni lazima hiyo kitu iende na iwe open kwa administration kutoka kwa DC,

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!