13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

87Bunge lina uwezo wa kumwondolea pale mbali maanake likishasema kwamba halina imani naye kazi yake hiyo imekwisha.Nasema sasa kwamba serikali, tumesema tunataka governor awe atachaguliwa na ikiwa governor atachaguliwa hapa tunasemayeye governor atachagua watumishi wenzake wote kutoka kwa area hiyo hiyo, kutoka kwa watu hao hao. Yaani ikiwa sisitumemchagua governor wetu wa pwani, maDC wake watakuwa ni watu wa Pwanina hivyo kuendelea. Tunasema kuwa katikahiyo administration, chief kulingana na maoni ya wengi wa watu atachaguliwa na watu.Jimbo la Pwanilina wakaazi wengi ambao ni waislamu tunataka chief Kadhi awe atachaguliwa na baraza la ma-imamu, baraza lama-imamu liwe ni chombo kinachotambuliwa na serikali. Tunasema hivi, kuna sehemu nyingi ambazo zilikuwa marginalized,zilisahauliwa. Sasa tunataka iwe ni provision katika constitution kwamba elimu ya bure lazima kwa kila mtu mpaka darasa ikiwani darasa la nane au ni la saba. Yaani primary school education iwe universal, tena lazima na itasimamiwa na Majimbo kwasababu kwa sababu muda hauniruhusu, memorandum itaeleza jinsi gani ya kugawa zile fedha.Yule dada aliyekaa hapa akapendekeza kwamba watu wakisha-come-we-stay, watu wakishakaa kwa miezi mitatu iwekutakuwa na hiari, mimi nasema hivi, watu wakishakaa kwa miezi mitatu iwe kulingana na sheria ameshakuwa ni bibi yakefullstop! Mwisho namaliza nasema hivi, kwamba Rais na waziri mkuu wote watakaa kwa vipindi visizidi vipindi viwili. Amaximum of two 5-year term kisha Rais atachaguliwa siku tofauti na waBunge yaani kutakuwa na separate presidentialelections na general elections. Kwa sababu gani? Ili kusiwe na ile vaccum of powers ambayo hutumika vibaya.Kwa mfano kama huu ujira sasa tulivyo. Rais tunakwenda kumchagua na yeye bado ni Rais. Ana uwezo wa kufanya vyovyotesaa yote hata wakati mnatia kura kwenye debe. Hatutaki hiyo tunasema kwamba tutafanya general election year halafututafanya presidential elections. Na hii presidential election wakati tunapoifanya nguvu zote zile zinazomhusu Rais zitakuwazimerudi kule kwa speaker wa Bunge ili kwamba asiwe na uwezo wowote wa kuweza kufanya lolote, wa kusema haya madebehaya chukueni, bwana DC fanya hivi la.Memorandum nitaiwasilisha, jambo la mwisho la kuwa wafanya kazi wote katika jimbo hili la Pwanitunasema asilimia sabini natano watoke hapa. Wote any institution. Company, education institution, whether it is a government institution whatever. 75%must be people from here. Asante muda wangu haukutosha lakini nakushukuru.Com. Baraza: Thank you Mr. Digore. I just want to understand, constitution making is about understanding people also. I justwant to understand. This federalism, in your mind it is to bring services and governance near the people or the people of Pwaniare just allergic to people of bara. I get this feeling that it is that hatred for the people is it to bring governance and probably afairer distribution of national resources to the people or it is just these people of bara you have got nothing to do with them. Let

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!